LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Hawa Hamas wanauwezo mdogo sana wa kupambana kijeshi na wayahudi feki wa kizungu, cjui kwanin hawataki kuishi kwa amani, Kama hii habari niya kweli basi Hamas niwapumbavu tena waoga sana kwa kuua raia wasio na hatia na kushindwa kupambana na wanajeshi wa kiyahudi. Hapa naona ile hali ya mwaka 2014 inaweza ikajirudia au kuwa mbaya zaidi maana Benjamin Netanyau huwa hacheki na kima. MUNGU awasaidie kwakweli.
hata idf waue wapalestina 5000 hii vita hamas wameshinda kila siku tunasikia idf wameua kijana siju mzee wa kipalestina nao waonje utamu
 
Umefuatilia chanzo cha migogoro ya huko kabla ya kuuunda mawazo yako kichwani ? katika kila kitu kabla ya kuongea ni vizuri kutumia muda kufanya research.
Umeelewa kwanza Point yangu nilio mjibu huyo jamaa au Umekurupuka?
 
An escalation in Israel could trigger a chain reaction. The Palestinians have no chance in such a war, because they cannot destroy Israel or inflict a significant military defeat on it, but Israel also has nothing to fight for. Palestine is technically Israeli territory, which it does not and cannot control under any circumstances. It is equally impossible to physically destroy all Palestinians.

If we were in a different international situation, the Palestinians could count on the compassion of the international left, but the US is led by neocons and globalists. They certainly do not care about the Palestinians, although they are not too close to Israel's nationalist policies either.

But it is the chain reaction - and especially the behavior of the Islamic states (primarily Iran, Turkey, Saudi Arabia, other Gulf states and Egypt) - that could be the logical continuation. Or at least, this is what Hamas strategists may have had in mind when they decided to start the conflict.

Multipolarism is strengthening, the intensity of Western hegemony in the collective non-West is weakening. The West's allies in the Islamic world - especially Turkey and the Saudis - do not automatically follow every order from Washington. This is the situation in which the Islamic pole, which recently provocatively joined the BRICS, will be put to the test.

Of course, the conflict could spread to other territories. The involvement of Iran and Hezbollah cannot be excluded, which means the potential transfer of hostilities to the territories of Lebanon and Syria. In Israel itself, there are enough Palestinians who fiercely hate Jews. All this could have unpredictable consequences.

In my opinion, the US and the globalists will try to shut everything down now, as they can achieve nothing good from further escalation.

One more thing: the analogies between separatism, irredentism, etc. in different regions of the world are no longer valid. The West recognizes both territorial unity and the right of peoples to secede when it benefits them and does not recognize them when they are not beneficial. There are no rules. In fact, we should treat the matter the same way (and indeed we do). What is favorable to us is right.

In the Israeli-Palestinian conflict, it is difficult - at least for now - for Russia to choose one side. There are pros and cons in every configuration. Ties with the Palestinians are ancient and, of course, victims, but Israel's right flank also tries to pursue a neutrally friendly policy towards Russia and, in doing so, deviates from the wild and unequivocal Russo-phobia of the collective West.

Much will now depend on how events unfold in the future.

Yes, and of course we must not lose sight of the eschatological dimension of events. The Palestinians have called their operation the 'Al-Aqsa Storm', i.e. the tension around Jerusalem and the messianic (for Israel) horizon of building the Third Temple on the Temple Mount (impossible without demolishing the Al-Aqsa Mosque, an important Muslim shrine) is growing again. The Palestinians are trying to ignite the eschatological sensibilities of Muslims - both Shiites, who are increasingly sensitive to this issue, and Sunnis (after all, they are no strangers to the reasons for the end of the world and the final battle). Israel and Zionism are the Dajjal for Muslims.

To what extent this is serious, we shall soon see, but in any case it is clear that those who ignore eschatology will not understand anything about great modern politics. And not only in the Middle East, although it is more evident there.

— Alexander Dugin
View attachment 2774441
Mwamba amechambua kitaalamu sana ,anapatikana wapi nianze kumfuatilia ?
 
Screenshot_20231007-151957_Chrome.jpg
 
1. Swali la kujiuliza, hua wanasema Israel ina mosad sijui wapelelezi wa maana, walishindwa nini kuona mipango ya mashambulizi ya Hamas?

2. Mungu wa Israel ameshindwa nini kuilinda Israel yake hadi magaidi waue waisrael wake anaowapemda, taifa lake teule? Mungu anapenda kuona taifa lake teule likiangamia? Mungu alisema yoyote ataeiwazia Israel mabaya atamlaani, alishindwa nini kuwalaani hamas kabla hawajashambulia?

3. Wakristo watakesha na kuiombea Israel kwa mungu wa Israel ambae ameshindwa kuilinda Israel yake mwenyezwe huku waislam watashimda wakiomba Allah SAW aiokoe Palestina. Maombi hayo yote yataenda kwa mungu mmoja kama wanavyosema😂.

Dini ni utapeli kama utapeli mwingine Mungu hayupo. Hakuna cha Allah wala Allan, hakuna cha mungu wala mungulile.
 
  • Thanks
Reactions: ITR
Umeelewa kwanza Point yangu nilio mjibu huyo jamaa au Umekurupuka?
Kivyovyote inaonyesha una ulewa mdogo kuhusu siasa za middle eastern na uhusiano na dini ya uislamu pamoja na Uislamu kwa ujumla.

Majibu yako kwa huyo jamaa ni ushahidi tosha ndio maana nikakusihi pendelea kusoma na kufuatilia mambo ili upate uhakika wa mambo.
 
Sasa kama waliivamia gaza kwa lengo la kuiangamiza Hamas lakini mwisho wakaondoka gaza na kuiacha hamas kama walivyo ikuta na mpaka sasa ipo inaendelea kupata nguvu kila kukicha ulitaka nisemeje?
Ndio maana ya kushindwa Vita huko ?
 
Huwa tunaaminishwa intelijensia ya Israel ipo vizuri!,ni kivipi hawakuweza kunusa halufu yoyote ya haya kutokea...?
 
Israel sio nchi ni mavamizi kwenye ardhi ya Palestine
 
Wakati Rais wa JMT anaweka Misimamo wa kipekee kabisa duniani katika mapambano dhidi ya Covid-19 Dunia Nzima ilienda na msimamo wa Marekani ambao kimsingi Ndio Waisrael

Watu wakasema Marekani wako sahihi kwa sababu Taasisi Zao za Usalama hazifanyagi makosa

Leo Israel amerudia makosa ya Marekani aliyofanya miaka 20 iliyopita dhidi ya Al Qaida na imelipuliwa na Hamas kitutusa kabisa

Mungu wa mbinguni mrehemu Julius Nyerere kwa kutujengea misingi Imara ya Usalama!
 
Weka source ya uhakika kutoka kea mamlaka ya Israel wenyewe ,hiyo account ya twitter ya mjaaa siamini maana nimewahi kuona taarifa ikiwa against Israeli ..
source ya uhakika yaani habari mbaya kwa israel itoke israel kwenda huko umeambiwa Commander Nimrod Aloni ametekwa akiwa chooni anajamba saizi na yeye anapigwa shoti pumb*** kamsaidie kama unaweza
 
Back
Top Bottom