Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Wekeni picha za frontline
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amani mkuuYameisha .
Irone dome ilizidiwa mpaka maroketi mengi yamepenya ?Israel huwa inaanzwa na wave moja au mbili za ushindi wa adui. Ndio zikiisha hizo lawama zinafuata na kuomba mazungumzo
Kwamba Israel alishindwa sio?Ww jamaa buana hivi unadhani vita ni rahisi kiasi hicho?
Ebu uliza watu kilicho ikuta Israel mwaka 2014 baada ya kuivamia gaza kwa lengo la kuiangamiza Hamas.
Itakua kweli Nchi za Kiislamu huwa hazina Amani kabisa na mataifa machache sana ya Kiislamu yenye amaniNdio dini Yao inawafundisha hivyo
Kwani Israel anaua wanajeshi tu?Hawa Hamas wanauwezo mdogo sana wa kupambana kijeshi na wayahudi feki wa kizungu, cjui kwanin hawataki kuishi kwa amani, Kama hii habari niya kweli basi Hamas niwapumbavu tena waoga sana kwa kuua raia wasio na hatia na kushindwa kupambana na wanajeshi wa kiyahudi. Hapa naona ile hali ya mwaka 2014 inaweza ikajirudia au kuwa mbaya zaidi maana Benjamin Netanyau huwa hacheki na kima. MUNGU awasaidie kwakweli.
Miye natamani waote waarabu na WA Israeli wajifute kwenye USO wa Dunia Ili tupumzike makelele yaoMimi ninachotaka ni Israel wanyoshwe nyooshwe kwanza ili akili ziwakae sawa. Walizidi kuwa nyoronyoro hadi wakawa wanadekeza ujinga mwingi wakati vyombo vya usalama vikitoa tahadhali kuhusu haya mambo kuja kutokea.
Nafikiri baada ya hapa akili zitawarudia na kuishi vile inavyotakiwa. Walijisahau hadi na wao wakaanza kushabikia ushoga wakiona tayari wana kila kitu na uwezo juu ya kila kitu.
Umefuatilia chanzo cha migogoro ya huko kabla ya kuuunda mawazo yako kichwani ? katika kila kitu kabla ya kuongea ni vizuri kutumia muda kufanya research.Itakua kweli Nchi za Kiislamu huwa hazina Amani kabisa na mataifa machache sana ya Kiislamu yenye amani