LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
JUST IN: Dozens of ambulances are heading from Beirut to South Lebanon in anticipation of what might happen.
 
Hii vita inachukuliwa kidini zaidi, wahindi hawawapendi kabisa waislamu na huwa wanawabagua waziwazi wakiwa baadhi ya sehemu za India, wadada wanaovaa Hijab huwa wanarushiwa mawe na watoto wadogo kabisa
Duuh aisee ndo maana basi wanachuki sana sana
 
Nchi ya Israel ilikiwa wapi kabla ya 1947?
 
Ni wakati wa Mungu wa Israel kulinda watu wake yeye mwenyewe sio kuwapa watu mzigo wa maombi kwa mambo ambayo hayawahusu.

Kama yeye mwenyewe Mungu wa Israel ameshindwa kuilinda Israel yake hadi ipigwe mabomu na Hamas, wewe mnyambo wa Karagwe unakesha kuiombea Israel una akili kweli?
 
Wakati wanawaua waisrael kwenye sherehe yao sini mlikua mnafurahi!?;
 
Al Qasam imetoa onyo la mwisho kwa Israel kwamba itachinja mateka mmoja baada ya mwingine kwa kila shambulio litakalofanywa na Israel Bila tahadhari

Uchinjaji huo utarekodiwa na kurushwa kwa Dunia Nzima, wamesema

Source Al jazeera news
Nasikia hao jamaa wote wana microchip hivyo jamaa wanawafikia soon.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…