OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Unajifurahisha siyo?Zimebaki kilometers 10 tu Hamas waingie ukingo WA magharibi Israeli upande wa ardhini naona imezidiwa
View attachment 2777125
GoodAl Qasam imetoa onyo la mwisho kwa Israel kwamba itachinja mateka mmoja baada ya mwingine kwa kila shambulio litakalofanywa na Israel Bila tahadhari
Uchinjaji huo utarekodiwa na kurushwa kwa Dunia Nzima, wamesema
Source Al jazeera news
Wanafanywa kweli hawa, Israel huo muda sasa hivi hawana.COME ON HAMAS, YOU'RE GIVING UP TO EARLY!
View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1711441351953572011?t=fBgeOGqJzeD-u6j_8G6KBw&s=19
Mr Nyau Benjamin Neta haujambo?Kuna utofauti wowote?
Wakichoma moto msitu means hawana tena mpango wa kuingia kupiganaNaona Islamic jihad kutoka Lebanon wamejibu mapigo Northern Israel wameamua chumoma moto msitu wa Israel.
Iwe wanampinga kristo hawampingi haiondoi au kubadirisha ambacho Mungu alisema!Wewe myahudi wa iyunga hao waisraeli wenyewe wanampinga christo hapa sasa hivi wanashambulia makanisa yaliyopo gaza
Sikutaka kuiweka ila ngoja nikuwekee! Hii vita imefikia pabaya!COME ON HAMAS, YOU'RE GIVING UP TO EARLY!
View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1711441351953572011?t=fBgeOGqJzeD-u6j_8G6KBw&s=19
Ulitaka wamtaje yesu wakati wayahudi wamepiga marufuku jina la yesu lisitumike kwao?Waislamu mnakubalije wahalifu watumie maneno yenu ya Allah Akbar wakiwa wanafanya uhalifu? Kwa kuua watu?
Allah AkbaruUlitaka wamtaje yesu wakati wayahudi wamepiga marufuku jina la yesu lisitumike kwao?
Happo sasa.
Kwaio ninyi ni magaidi ?Ulitaka wamtaje yesu wakati wayahudi wamepiga marufuku jina la yesu lisitumike kwao?
Happo sasa.
YaleyaleZimebaki kilometers 10 tu Hamas waingie ukingo WA magharibi Israeli upande wa ardhini naona imezidiwa
View attachment 2777125
Umeanza Tena story zako za warusi kuiteka Kyiv na zelensiky kukimbilia Poland 😅Zimebaki kilometers 10 tu Hamas waingie ukingo WA magharibi Israeli upande wa ardhini naona imezidiwa
View attachment 2777125
BenjaminKwaio ninyi ni magaidi ?
Ukiwa mtu wa akili na kutafakari lazima uikubali hii mbinu ya Israel.Naona taifa teule badala wawafuate hamas kwenye medani hasira zote wana zihamishia kwenye majengo na kwenye kambi za wakimbizi kweli Israel ina jeshi michicha sana.