God Bless Israel
Al Qasam imetoa onyo la mwisho kwa Israel kwamba itachinja mateka mmoja baada ya mwingine kwa kila shambulio litakalofanywa na Israel Bila tahadhari
Uchinjaji huo utarekodiwa na kurushwa kwa Dunia Nzima, wamesema
Source Al jazeera news
Urusi iliizingira Kiev tulia vijana WA Palestine wakomboe ardhi YaoYaleyale
Umeanza Tena story zako za warusi kuiteka Kyiv na zelensiky kukimbilia Poland 😅
We jamaa akili zako unazijua mwenyewe
Da inatia huruma sanaImagine umetekwa na unapewa HIYO taarifa kwamba kila shambulio litamaanisha kuchinjwa kwa kukatwa shingo na kisu na ndio mwisho wa wewe kuwa hai hapa duniani unaondoka duniani kwa maumivu makali sana hata kale ka imani ka kubadilishana wafungwa hakapo tena POW SWAP DEAL hivyo kufa wewe ni 100% kinyama na kikatili kisu kinapenya shingo na macho kuanza kuona giza na hatimaye unaanza kujisaidia na kukojoa kwa maumivu makali ya kisu kukata mifupa duuuuuuuh.
Nani kakwambia hao ni wana wa Mungu...Haijalishi hata kama nimixa ..kwann wakawashambulie wana wa mungu
Hahahaha Yule PM wa Israel Benjamin amesema hawatokubali Chochote na wametangaza vita juu ya hao Hamas amesema piah ni lazima walipize kisasi so wakae kwa kutulia tuCOME ON HAMAS, YOU'RE GIVING UP TO EARLY!
View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1711441351953572011?t=fBgeOGqJzeD-u6j_8G6KBw&s=19
Hahahaha Yule PM wa Israel Benjamin amesema hawatokubali Chochote na wametangaza vita juu ya hao Hamas amesema piah ni lazima walipize kisasi so wakae kwa kutulia tuCOME ON HAMAS, YOU'RE GIVING UP TO EARLY!
View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1711441351953572011?t=fBgeOGqJzeD-u6j_8G6KBw&s=19
Nimeiona hii mbona, we unadhani hadi sasa Israel wanajali??Sikutaka kuiweka ila ngoja nikuwekee! Hii vita imefikia pabaya!
Abu Obaidah Hamas Spox:
Obaidah: We have decided to put an end to the Zionist opression of our people
Obaidah: From now on, every attack on our people will be met with the execution of one of the enemy hostages, which will be broadcast and publicised
Al Qasam imetoa onyo la mwisho kwa Israel kwamba itachinja mateka mmoja baada ya mwingine kwa kila shambulio litakalofanywa na Israel Bila tahadhari
Uchinjaji huo utarekodiwa na kurushwa kwa Dunia Nzima, wamesema
Source Al jazeera news
Hii hatari nafikili ndo itaongeza chuki zaidi.Sikutaka kuiweka ila ngoja nikuwekee! Hii vita imefikia pabaya!
Abu Obaidah Hamas Spox:
Obaidah: We have decided to put an end to the Zionist opression of our people
Obaidah: From now on, every attack on our people will be met with the execution of one of the enemy hostages, which will be broadcast and publicised
Hao raia walikuwa kwenye ardhi ya wapalestina inayo kaliwa kwa mabavu.Ila kilichofanywa na hamas ni sahihi?
Kuvamiwa na kuua raia 600 ambao ht hawahusiki na mambo Yao ?
Kwahiyo Israel akae kimya km fala?
kwenye mgogoro huu, mtu ukitaja na hoja za maandiko ya dini yoyote ile, tayari ushapoteza mantikiIwe wanampinga kristo hawampingi haiondoi au kubadirisha ambacho Mungu alisema!
Neno la Mungu halibadiriki!
Lkn pia Israel Kuna dini kibao km nchi nyingine..
Kuna kitu kinaitwa Rules of Engagement ni pamoja na kutoua mateka.
Lakini tatizo ni kwamba hivi vikundi vya Kigaidi havifuati sheria zozote sote tunakumbuka ISIS ilipowakamata Mashia wa Iraq na kuwachinja pembeni ya Mto.
Modus Operandi ya Gaidi ni kuingiza Hofu kwa yeyote yule.
Wamekariri Waisrael ni wakristo wote..na wamekariri Wapalestina ni Waislam wote. Ndio shida ya ushabiki bila ufahamu...Wewe myahudi wa iyunga hao waisraeli wenyewe wanampinga christo hapa sasa hivi wanashambulia makanisa yaliyopo gaza
Mna subiriwa kwa hamu sana ila kupiga kambi za wakimbizi sio poa.Hapo wana fanya Air raid kwa kupiga Target za Hamas, alafu baada ya hapo inaanza ground invasion kwa kutumia vifaru, hii ground invasion ndo inaenda kusafisha kila kitu hapo Gaza.
Kabla ya 1947, taifa linaloitwa Israel, lilikuwa wapi katika hii dunia?Mkuu mimi navyojua Waisrael walimkana yesu. Wasasa wakasema laana na iwe juu yetu na vizazi vyetu vyote kwa sababu hawakuamini yesu ni masihi.
Laana ile ilipelekea mpk warumi kuvamia yerusalem na kuuwa Waisrael. Biblia ilieleza hilo mpk watu wakaanza kuloweka ngozi na kuuwa watoto ili wapate chakula.
Sasa baada ya warumi kuvamia pale Waisrael karibu wote walitawanyika dunia mzima. Pale walibaki wachache sana.
Walipo enda duniani huko still walikuwa wanauwawa sana kila sehemu moja wapo ni hilter aliuwa 6 million Jewish.
Baada ya vita vya dunia. Jumuia ya umoja wa mataifa ikaona hawa watu hawana nchi basi wawarudishe pale walipotoka.
Waliwarudisha wakawakuta wapalestina sasa nao wakawakatibisha na kuwapa ardhi kidogo. Waisrael baada ya kupata nguvu wakaanza kuwapola wapalestina ardhi yao.
Wakifanya hivyo naona watajijengea sifa mbaya zaidi.Nimeiona hii mbona, we unadhani hadi sasa Israel wanajali??
Alaf hamas ikifanya hivo itajiwekea sifa mbaya zaidi.
We unaonaje?? Au fresh tuu wachinje watu hadharani?
Ndo hapo ushangae Mkuu Kila huduma ya Jamii wanapewa Umeme maji nk na saivi Israel Inaenda kukata huduma ya mawasiliano maana ake kupigiana Simu hamna tena internet inakatwa Israel wanataka kuua paka kimya kimyaKumbe hata maji na umeme wanapewa