Morogoro kaskazini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2020
- 2,392
- 9,187
Mji wa sedrot bado upo mikononi mwa Hamas leo ni siku ya nne Israeli imeshindwa kuukomboa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya rohoni ndio mambo gani? Kwa hiyo dini zenu haziruhusu utumie akili? Akili ulipewa kama pambo? Mungu hataki utumie akili?
Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu, Mungu hayupo.
Utakombolewa tu,. Usiwe na harakaMji wa sedrot bado upo mikononi mwa Hamas leo ni siku ya nne Israeli imeshindwa kuukomboa
Tatizo ndugu zenu wayahudi ni waoga kwenye mapambano ya USO kwa USOUtakombolewa tu,. Usiwe na haraka
Hamas na Wakazi wa Gaza hawana umeme, maji, vyakula sasa hivi ukiwapelekea hata Kitimoto wanakulaHamas imeshachinja 260 juzi kwenye tamasha la mapapai. Mbona hilo unalisahau?
Imechinja uwanjani wazi, kweupe, na wala siyo kwa kujificha. Allahu Akbar.
Kumpigania Allah ni kazi ngumu sana. Baada ya kufa ni hukumu hakuna cha mito ya ulevi huko peponi wala mabikra 70 😂😂😂😀😀😀. Kichapo kipo pale paleHezbollar wamejazwa ujinga wakajaa, sasa na wao wameanza kufyekwa.
Haba walijaribu kutaka kuvuka mpaka, wakazimishwa
View attachment 2777084
Huyu ni mmoja wa Makamanda wao. Ameuawa leo.
View attachment 2777085
⚡️#BREAKING Hezbollah announced the death of “martyr Mujahid Hossam Muhammad Ibrahim “Hussam Aitaroun” from the southern town of Aitaroun, who passed away as a result of the Zionist aggression against southern Lebanon this afternoon, Monday 10/9/2023.”
View attachment 2777088
⚡️#BREAKING Ambulances ikiondoka Beirut kuelekea kuelekea kusini mwa Lebanon baada ya shambulizi la Israel dhidi ya Hezbollar.
Upanga wa wana wa Yakobo hautawaacha salama. He who watches over Israel, will never sleep. Mungu ibariki IsraelView attachment 2777303kamanda mwengine WA Israeli amekufa usiku WA kuamkia leo katika uwanja WA mapambano Israeli ardhini inapoteza Askari wengi sana
mbona umekimbilia kwenye defensive mode mkuu?, kama neno doc halifai sio kesi nalibadilisha na link, anyway na hichi ulichofanya ww hata wesetern media nao wanafanya hicho so siwezi shangaaMzee kwanza unaniomba evidence(Link) nimekupa, asaiv tena unaniomba document? Kweli Broo?? Au labda sijakuelewa??
Inaonekana kwanza hutaki kuamini hayo matukio kama yametokea na pili inaonesha hujui jinsi mambo yanavoendeshwa, unajua maana ya reports??
Mzee hio ni Website ya European Parliament, the elected official legislative body of the European Union(EU) hawawezi kuandika mambo ya umbea au scandal za mitaani, tumia akili broo.
Hizo ni incidents ambazo zimeripotiwa kwa Palestine Police, but hamna uchunguzi uliofanywa na Palestine police wala hatua zozote za kisheria kuchukuliwa, kifupi hawajali kinachowatokea palestine Christian community.
Kama hutaki kuamini bac sikulazimishi.
Tafuta hio document mwenyew sina huo muda.
Kiongozi akitoa kauli siyo kwamba ndiyo uanze uhusiano bro!.Sasa msimamo wa Mwalimu Nyerere sio Nchi Today's vip ndugu yangu kama sio wa Nchi mbona hatukuweza kuwa na balozi kwa kipindi chake na Ubalozi wa Israel umekuja juzi tu hapa.
Washaitoa na tamko Wana andamana hapa Tz..Wewe una undugu na Mpalestina? Makubwa haya Tena, yaani umchukie mzaramo mwenzio umpende mgeni (mzungu, mwarabu, mhindi etc) kwakua tu ni WA dominion Yako?? Huu Sasa ndio UJUHA promax
Acha wanaizane na Gaza ,ht huo utakombolewa tu ,mbona Bado sana.Mji wa sedrot bado upo mikononi mwa Hamas leo ni siku ya nne Israeli imeshindwa kuukomboa
Acha tuone panapovuja ...Tatizo ndugu zenu wayahudi ni waoga kwenye mapambano ya USO kwa USO
🙌🙌🙌😂😂😂😂😂Kumpigania Allah ni kazi ngumu sana. Baada ya kufa ni hukumu hakuna cha mito ya ulevi huko peponi wala mabikra 70 😂😂😂😀😀😀. Kichapo kipo pale pale
Hakuna jumuiya za kimataifa, Kuna magenge ya kimataifa. Sijui kwa nn watu Bado Wana Imani na UN.Kinachiendelea huko gaza ni uhalifu na ukatili mkubwa dhidi ya binadamu. Kinachofanywa na jeshi la israel ni uhalifu wa kivita na ni ukatili wa kibinadamu. Jumuiya za kimataifa ziingilie kati huu unyama unaoendelea
Hilo onto la hamas ni uselessMuda wa kilio bado kwa sasa. Maji, chakula na umeme kutoka Israel umekatwa. Ground offensive haijaanza hivyo siku za shida zaidi hapo Gaza ni kuanzia Jumatano hivi kama mgogoro utaendelea.
Israel imepuuza onyo la Hamas kwamba itaua kila raia mmoja aliyetekwa kwa shambulizi lolote litakalofanywa Gaza