Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku zote ukienda vitani ukashindwa kutimiza malengo yaliyo kupeleka unakuwa uneshindwa vita.Ndio maana ya kushindwa Vita huko ?
Punguza hasira kwenye vita kuna kupiga na kupigwa 🤣Ningekuwa netanyahu Gaza ingekuwa hiroshimana na Nagasaki mpya hapo ni kushusha mabomu tu
Mwalimu Nyerere alivunja uhusiano rasmi wa kibalozi na Israel kwa mambo haya haya kama unakumbuka.Wakati Rais wa JMT anaweka Misimamo wa kipekee kabisa duniani katika mapambano dhidi ya Covid-19 Dunia Nzima ilienda na msimamo wa Marekani ambao kimsingi Ndio Waisrael
Watu wakasema Marekani wako sahihi kwa sababu Taasisi Zao za Usalama hazifanyagi makosa
Leo Israel amerudia makosa ya Marekani aliyofanya miaka 20 iliyopita dhidi ya Al Qaida na imelipuliwa na Hamas kitutusa kabisa
Mungu wa mbinguni mrehemu Julius Nyerere kwa kutujengea misingi Imara ya Usalama!
Wewe unadhani wapalestina walitegemea sherehe baada ya haya mashambulizi? Wacha watandikane ili wakikaa kwenye meza ya majadiliano kuwe na adabu.Wamewachokoza wenyewe
Kichapo kikianza wale wa haki za binadamu wakae pembeni
Naona umekuja kujifurahisha..kwa hiyo wanauawa Israel tu?Kupitia huu uzi nitakua nawapa updates kuhusu yanayoendelea kati ya Israel na Gaza
Update:Kamanda wa jeshi la Israel akamatwa na Hamas
Media coverage: "A circulating picture shows the capture of senior Israeli military commander Nimrod Alloni by the #Palestinian resistance as part of the ongoing Operation Al-Aqsa Storm in the south of Palestine."View attachment 2774490View attachment 2774491
Acheni masihara basi