LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Ndo maana nimekwambia mwanzo upo sahihi kabisa!! Agano la Mungu lipo kwa Isaka na katika kizazi Cha Isaka ndo manabii, Mitume pamoja na Yesu ndo alitokea hapo sabab ya Agano ambalo Mungu aliapa kwa Isaka.
Upo sahihi Mkuu hata Biblia imeandika.
Hapa
Mwanzo 17 : 19 - Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.

Kwaiyo Upo sahihi kabisa
 
Sidhani kama ni kuisaidia israel, hii wanatoa tahadhari tu kwa vimbelembele wengine mahasimu wa israel wanaoweza kujiingiza kwenye huu mgogoro kuwa wakileta pua watafyekelewa mbali
 
Hana hata aibu eti anawatisha Hamas 🤣🤣🤣
 
Israel Taifa la Mungu linalindwa na Air anti missiles za maana na mitambo ya kisasa


Afrika inalindwa na Mungu mwenyewe🤣
 
Kwa hiyo wale raia waiesrael waliouwa na kuchinjwa na magaidi wa hammas sio watu au unaleta unafiki na kutafuta huruma kwa wapalestina subiri waone moto

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Vita ina kanuni zake hata hao hamas kubwa watoto na raia wasio na hatia ni kosa. Wanatakiwa wauwane wanajeshi kwa wanajeshi.
 
Sidhani kama ni kuisaidia israel, hii wanatoa tahadhari tu kwa vimbelembele wengine mahasimu wa israel wanaoweza kujiingiza kwenye huu mgogoro kuwa wakileta pua watafyekelewa mbali
Ina maana kwa hatua hiyo ameruhusu Israel kuivamia na kuikalia Gaza kijeshi.

Wapalestina hawana mtetezi maana Arab league waliotakiwa kuwasemea wameshakuwa 'compromised' kitambo........labda angalau jumuiya ya kiislamu (OIC) yenye Uturuki, Iran, Pakistan, Indonesia ndio wanaweza kuwa sauti ya Wapalestina.
 
Sorry Kwa ulicho kiona sema ndio unyama ana staili kufanyiwa mnyama embu angalia Israel na Palestinian wapi watoto wngi wameuliwa au ndio huoni
Learn to differentiate an action and a reaction.
There are two totally two different things.
 
Hii Vita sasa inaweza kuenea Dunia Nzima ni vizuri kuanza kujiwekea akiba ya mahitaji ya lazima

Al jazeera news

Mlale Unono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…