LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Learn to differentiate an action and a reaction.
There are two totally two different things.
kweli likini iko hivi for every action (force) in nature there is an equal and opposite reaction kwahyo waliaza kuwaua wapalestina toka zamani kuchua ardhi Yao kimabavu sasa kinacho endelea ni reaction kutoka Kwa Palestinian ndio nature hyo na Haifa badilika labda watokomeze kizazi chao na hawawez
 
mkuu hii comment yako ni kama unataka kujustify kile alichokifanya hamas
Angalia pande mbili za shilling..... Wapalestina wameishi kwa miaka takriban 56 sasa chini ya udhibiti wa Israel (occupation).........huu mgogoro upo toka kitambo na hili liliofanywa na Hamas ni mwendelezo tuu wa huu mzozo.

Israel kuivamia na kuikalia Gaza kijeshi haiwezi kuwa suluhisho la kudumu la mzozo huu maana hapo awali Israel ilishaikalia Gaza kijeshi kwa miaka 40 toka mwaka 1967 kabla ya kujiondoa mwaka 2005.

Suluhisho la kudumu ni kuundwa kwa taifa huru la Wapalestina lenye mipaka yake halali.
 
Toeni hoja Pasi hisia za kidini
Good point with respect to you. Lakini kuna wale akina sie ambao dini ndiyo uhalisia wetu hasa. Dini ndiyo sisi, sisi ndio dini.

Nadhani unaweza ku-simpa-thigh-z na disposition ya kila mtu, even those with whose ideas and beliefs you outrightly disagree.

It's a humane thing and, above all, civility & courtesy of the highest order to FEEL as though one were in another's place.
 
Angalia pande mbili za shilling..... Wapalestina wameishi kwa miaka takriban 56 sasa chini ya udhibiti wa Israel (occupation).........huu mgogoro upo toka kitambo na hili liliofanywa na Hamas ni mwendelezo tuu wa huu mzozo.

Israel kuivamia na kuikalia Gaza kijeshi haiwezi kuwa suluhisho la kudumu la mzozo huu maana hapo awali Israel ilishaikalia Gaza kijeshi kwa miaka 40 toka mwaka 1967 kabla ya kujiondoa mwaka 2005.

Suluhisho la kudumu ni kuundwa kwa taifa huru la Wapalestina lenye mipaka yake halali.
Mkuu, lengo la Israeli ni kuhakikisha wanajizolea sehemu ingine kubwa ya ardhi (Imperialism) maana uwingi wa wapalestina ni lazima udhibitiwe.

Ndo maana Israeli wanashutumiwa kwa kufanya mauaji ya halaiki au ya kupunguza idadi ya watu.

Kama umemsikiliza Netanyahu (bibi) amesema operesheni ya sasa ni ya kumaliza kazi ili Wapalestina wasiwe na nguvu yoyote.

Tayari nchi nyingi zailaumu Israeli kwa hatua nzito kupitiliza kuita wanajeshi 300,000 ili kukabiliana na wapiganaji wapatao 3000 kwenye taifa la wapalestina lenye watu milioni 2 na nusu.
 
Even if you dislike Israel.
Supporting Hamas is not the answer.
Killing babies is not the answer.

It’s equivalent to supporting ISIS, Al-Qaeda or Bin Laden because you disagree with America.

A righteous person doesn’t do that.

Screenshot_20231010_194031_X.jpg

Screenshot_20231010_194111_X.jpg
 
Na International community hawatasema lolote hadi huo ukanda wa Gaza watafunwe wote, condemn they will not, hakika walichokitaka watapata hadi nyongeza.
sure, na uzuri Islael inawamudu wote, Gaza giza.
Jamaa kweli ni balaa, ki kipigo cha mbwa koko kinawakuta na wasio Hamas aisee !!
 
Mkuu, lengo la Israeli ni kuhakikisha wanajizolea sehemu ingine kubwa ya ardhi (Imperialism) maana uwingi wa wapalestina ni lazima udhibitiwe.

Ndo maana Israeli wanashutumiwa kwa kufanya mauaji ya halaiki au ya kupunguza idadi ya watu.

Kama umemsikiliza Netanyahu (bibi) amesema operesheni ya sasa ni ya kumaliza kazi ili Wapalestina wasiwe na nguvu yoyote.

Tayari nchi nyigni zinailaumu Israeli kwa hatua nzito kupitiliza kuita wanajeshi 600,000 ili kukabiliana na wapiganaji wapatao 3000 kwenye taifa la wapalestina lenye watu milioni 2 na nusu.
Mkuu wengine wameenda Lebanon mpkani. Nafikili wanajiami maana kuna vitisho vya chchenia. Na wengine kupeleka vikosi
 
Urusi ndie kawatumia hamas kuipiga Israel ili aweze kuitandika vizuri Ukraine kwa maana nguvu zote zinaelekezwa Israel kulko Ukraine, michezo ya warusi hii
usijidanganye, Hamas ndiyo nini? Wakati anga lote la ukanda wa Gaza linamilikiwa na Islael. Hapo hakuna vita ni kubokolewa. Hamas muda huu hawana mawasiliano, kila mtu na njia yake kujiokoa dadeq.
 
Siko kwaajili ya kumfundisha historia hapo umeshindwa kujua chanzo cha vita vya Rwanda unataka uniulize nini si Bora unge Google
Kumbe ndo uelewa wako mkuu no mdogo.
Sasa kama ungejua kuhusu kufukuzwa kwa Carla Del Ponte first
Cheif prosicutor wa ICTR.
 
Mkuu, lengo la Israeli ni kuhakikisha wanajizolea sehemu ingine kubwa ya ardhi (Imperialism) maana uwingi wa wapalestina ni lazima udhibitiwe.

Ndo maana Israeli wanashutumiwa kwa kufanya mauaji ya halaiki au ya kupunguza idadi ya watu.

Kama umemsikiliza Netanyahu (bibi) amesema operesheni ya sasa ni ya kumaliza kazi ili Wapalestina wasiwe na nguvu yoyote.

Tayari nchi nyigni zinailaumu Israeli kwa hatua nzito kupitiliza kuita wanajeshi 600,000 ili kukabiliana na wapiganaji wapatao 3000 kwenye taifa la wapalestina lenye watu milioni 2 na nusu.
Idadi ya Wapalestina inaongezeka kwa kasi tofauti na Israel, huenda hilo ni tishio kwa wazayuni wa Israel toka Kitambo..

Racist Israel exaggerates the ‘threat’ of Palestinian population growth

Kwa huu mzozo mpya huenda Israel ikajaribu tena kuikalia Gaza.

Ila itakuwa kwa gharama kubwa sana kwao maana haitakuwa rahisi kuiangamiza Hamas sana sana raia wa kawaida wa Wapalestina ndio watakaofikwa na maafa.

Na wale mateka karibu 150+ wa Israel walioshikwa na Hamas wanaipa Israel wakati mgumu kuivamia Gaza, maana wana hofu huenda uvamizi wao ukawadhuru.

Huenda Hamas ikawatumia kama kete ya kubadilishana wafungwa na Israel hapo baadae
 
Back
Top Bottom