Hali ya Jeshi la Israeli (IDF) ni mbaya tunaweza sema hivyo kutokana na kupungukiwa baadhi ya vifaa muhimu kama vile bullet proof vests, boots, mpaka sare za jeshi (combat gears), jambo lililopelekea kuomba misaada kwa nchi rafiki wakati wakisuburia oda ya vifaa hivyo waliyoagiza kurokat China ambayo itachukua siku kadhaa kukamilika.
Zile Stori za vijiwe vya gahawa kwamba hakuna kama jeshi la Israel zinazidi kupoteza mvuto.
+++--++++-++++-++++-++++-++++-+++-+++
Chanzo: The timess of Israel
View attachment 2779572