LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Mateka tu yule hajauliwa.

Wayahudi wote ni wanajeshi, usione mwanamke ukadharau.

Hata Tanzania JKT ni mfumo wa Kiyahudi kabla nyerere hajawatimua.
Ule mfumo wa Israel wakati tuna uhusiano kabla ya Nyerere hajauvunja wote ni maaskari
 
Oneni hapa yanavyojazana maujinga, huu ujumbe umetumwa kwenye group moja la kazini na mm nikawajibu humo humo kwamba "Israel haijakusanya wanajeshi 100000 Bali 360000 kwahiyo mjiandae kisaikolojia"

Yanabaki ku comment tu astakafirulai!! 😂😂😂
 

Attachments

  • IMG-20231011-WA0001.jpg
    IMG-20231011-WA0001.jpg
    65.9 KB · Views: 2
Israel inapigana na hamas na sio palestina nyie ndio wapotoshaji wakuu. Mnaingiza mkenge wajinga wengi wasiojua kutofautisha hamas na palestina.
kWani Hamas sio wapalestina? Hamas ni kikundi cha waharakati cha wapalestina. Japo Israel na Marekani wanawatambua kama kikundi cha kigaidi lakini ndio wamepewa dhamana ya kuoongoza na wapalestina. Hii ni baada ya kuona PLO ya mzee Arafat inaomba haki za wapalestina baala ya kudai. Kwa hiyo hakuna HAMAS bila Palestina.
 
Hamas wamewadhulumu Wapalestina na ndio maana watu waliandamana waliposhinda.
 
Ukishakuwa mfuasi wa munyaazi mungu tu bas unaanza kuwa trained mapema kuwa na roho ya kikatili maana unaanza kumezeshwa chuki dhidi ya watu wa Imani nyingine mfano Alshabaab, Boko Haram, ISIS, Zanzibar nk
Ma huu ndo ukweli watu wengi wnajifanya hawauoni!
 
Oneni hapa yanavyojazana maujinga, huu ujumbe umetumwa kwenye group moja la kazini na mm nikawajibu humo humo kwamba "Israel haijakusanya wanajeshi 100000 Bali 360000 kwahiyo mjiandae kisaikolojia"

Yanabaki ku comment tu astakafirulai!! 😂😂😂
Aiseeee 🤣🤣🤣
 
Katika hali isiyo ya kawaida israel imelazimika kufanya mobilization ya askari zaid ya 300000 ili kukabiliana na uvamizi wa wapigania uhuru kutoka palestine yaani HAMAS. Kilichonishangaza ni askari hawa waakiba yaani reservist kuitikia wito bila waswas wowote tena wengine wakiletwa na wazazi wao.

Kilichonivutia zaidi ni ujio wa reservists ambao walikua mataifa ya nje kula bata wamerudi nyumbani kuungana wenzao kwenda kwenye uwanja wa medani. Hali hii inatufundisha uzalendo sio maneno ila ni vitendo. Mpaka reservest wa miaka hamsini nao wako comfortable kabisa tayari kupokea order tayari kwenda front kwenye uwanja wa medani
Hamna kitu apo. Wanajitokeza kwa wingi kwasababu wanajua wana jeshi bora na wanakwenda kupigana na mgambo ambao hawafiki hta 50,000
 
Oneni hapa yanavyojazana maujinga, huu ujumbe umetumwa kwenye group moja la kazini na mm nikawajibu humo humo kwamba "Israel haijakusanya wanajeshi 100000 Bali 360000 kwahiyo mjiandae kisaikolojia"

Yanabaki ku comment tu astakafirulai!! 😂😂😂
Nimecheka
 
Hali ya Jeshi la Israeli (IDF) ni mbaya tunaweza sema hivyo kutokana na kupungukiwa baadhi ya vifaa muhimu kama vile bullet proof vests, boots, mpaka sare za jeshi (combat gears), jambo lililopelekea kuomba misaada kwa nchi rafiki wakati wakisuburia oda ya vifaa hivyo waliyoagiza kurokat China ambayo itachukua siku kadhaa kukamilika.

Zile Stori za vijiwe vya gahawa kwamba hakuna kama jeshi la Israel zinazidi kupoteza mvuto.

+++--++++-++++-++++-++++-++++-+++-+++

Chanzo: The timess of Israel View attachment 2779572
Haya tupe sasa na hali ya Wanamgambo wa HAMAS na Gaza kwa ujumla wake pia.
 
Hali ya Jeshi la Israeli (IDF) ni mbaya tunaweza sema hivyo kutokana na kupungukiwa baadhi ya vifaa muhimu kama vile bullet proof vests, boots, mpaka sare za jeshi (combat gears), jambo lililopelekea kuomba misaada kwa nchi rafiki wakati wakisuburia oda ya vifaa hivyo waliyoagiza kurokat China ambayo itachukua siku kadhaa kukamilika.

Zile Stori za vijiwe vya gahawa kwamba hakuna kama jeshi la Israel zinazidi kupoteza mvuto.

+++--++++-++++-++++-++++-++++-+++-+++

Chanzo: The timess of Israel View attachment 2779572
Israel kuagiza zana toka china upo sawa kweli..? Israel ni mshirika wa US ataagizaje china..?
 
Ngoma bado mbichi Gaza.

Hakuna Maji, Umeme, Mafuta ama msaada wa kibadamu wowote hadi muwaachie mateka wetu wote - Waziri.


  • Israeli minister says no electricity, fuel or humanitarian aid into Gaza until Hamas releases all captives.
  • Israel continued to pummel Gaza with air raids, killing dozens of people, including nine children in the city of Khan Younis.
 
Ukishakuwa mfuasi wa munyaazi mungu tu bas unaanza kuwa trained mapema kuwa na roho ya kikatili maana unaanza kumezeshwa chuki dhidi ya watu wa Imani nyingine mfano Alshabaab, Boko Haram, ISIS, Zanzibar nk
Sema na ww unazngua Dp yako ya mwana mnyaazi mungu ozil toa mkuu
 
[emoji23][emoji23] si mnasemaga wamarekan wote mashoga hamuwezi yasikiliza , imekuwaje tena bwana shehe ? nyiny watu hampendi kusikia habari mbaya kwenu , majuz nlikuona humu unashangilia upumbav wa Hamas na tuliwaambia hapa , kwahyo ww unaona sw Hamas kuua watu wasio na hati wa kiisrael ila sio sw Israel kujibu mapigo ? Ukiwa muumin wa dini yenu basi inabid akili uitoe kbs maana .....
I stand with innocents everywhere in the world. Maybe ulikuwa hujanielewa.
 
Back
Top Bottom