Ilikuwa na watu waliotapakaa baada ya kufanywa wakimbizi kutoka ardhini kwao.Kabla ya mwaka 1947, Israel ilikuwa wapi hapa duniani?
Muhimu kulinda empireKama midume ya mbuzi tu. Ikishakaa zizi moja lazima ipigane vichwa.
Marekani anasubiria mjinga iran au mwarabu yoyote aiingiilie kuipiga israelhizo ni za kutoka marekani au bado hazijafika?
Hilo nchi watu wanapenyeza mawakala Kama Kawa, Saddam alikua nao,alijua kuhusu kuvamiwa kabla hata hawajatangaza, urusi ndo anao kibao
si nchenzo pata waka π₯π₯sanaMarekani anasubiria mjinga iran au mwarabu yoyote aiingiilie kuipiga israel
Born to suffer πππDuuh hayo yote kwa ajili ya kuchomoa pumzi ya mwanadamu
Sawa gaidi tena mfuga majini motoni unahitajika. Mwana mnyaazi mtu wa mudyMkuu wew ni kafiri Tu na wanao watabaki kuwa kafiri sasa cjui unataka waitwaje kafiri ww
Wataingia tu, maana huwa wanaingia huko kama msalani kwao haitakuwa mara ya mwisho wala ya kwanzaMikwara tu hiyo, wanatakiwa kuingia Gaza kuokoa watu wao
Apa akili kubwa ilitumika,sijaelewa ni kwann uwa wanaendelea kurusha makombora wakat yote uwa yanakuwa intercepted
View: https://www.youtube.com/live/wp2uDesB8a0?si=j_dp-0Ym1Uyv0rhgPitia sasa hivi uone mashambulizi ya rockets yanavyokuwa intercepted na Irone dome za Israel. Ukitengeneza account unakuwa na access ya kucomment moja kwa moja juu ya kinachoendelea sasa hivi.
Ndio maana wamejiita Hamas. Ukisema wapalestina unajumuisha hata wasioiunga mkono hiyo Hamas. Waite kwa jina lao wala usichanganye mambo. Mbona wenyewe wanafurahia kujitambulisha kwa jina lao halafu wewe mkulima wa Nanyumbu unawakosea adabu kwa kuwabatiza jina jipya. ππkWani Hamas sio wapalestina? Hamas ni kikundi cha waharakati cha wapalestina. Japo Israel na Marekani wanawatambua kama kikundi cha kigaidi lakini ndio wamepewa dhamana ya kuoongoza na wapalestina. Hii ni baada ya kuona PLO ya mzee Arafat inaomba haki za wapalestina baala ya kudai. Kwa hiyo hakuna HAMAS bila Palestina.
Nimesema huko juu Israeli hawawezi kupigana "urban warfare" watakufa wengi.Unaweza kunifahamisha zaidi kwa nini hawezi?
Lengo la Israel ni maeneo ndiyo kipaumbele chao, hayo maghorofa yakigeuka kifusi, wanajenga makazi ya walowezi ππ...deal doneBadala ya kupiga adui unabomoa maghorofa,huo ni ujinga na aibu kwa jeshi linalojidai la Israel,Hamas wenyewe wametulia sehemu na mateka wao,wanajua wale mbuzi sharti waje kuwakomboa
Sawa, weye si mshamba na una akili kubwa.Muda mwingine ushamba na akili ndogo ni mzigo, Israel haiwezi kufanyaje wakati hadi sasa keshalipua Syria, Lebanon, Misri na Jordan
Hamas wanajua Hilo,na ndiyo ulikua mpango wao,wachukue mateka,wanegotiate wenzao kuachiwa,so wamejipanga kwa kila kitu,na Hamas wapo vizuri kwa mapigano ya ana kwa ana ukiondoa mizinga na ndegeWataingia tu, maana huwa wanaingia huko kama msalani kwao haitakuwa mara ya mwisho wala ya kwanza
Hawawezi kujenga GazaLengo la Israel ni maeneo ndiyo kipaumbele chao, hayo maghorofa yakigeuka kifusi, wanajenga makazi ya walowezi ππ...deal done
kwanini?Hawawezi kujenga Gaza
Hawa Wapelestina waache kuudanganya ulimwengu wa leo, watu wafanye mazoezi nchini mwenu watokee nchini mwenu wakashambulie nchi ingine kwa silaha nzito nzito kutokea Palestine eti serekali yao isifahamu haiwezekani waache kuwaona watu kama wajinga wanachopata wanastahili na ndio dhambi yao ya kufuga makundi wanayo yafahamu.Waziri wa nishati wa Israel aitwaye Israel Katz amesema hakuna tone la maji hata moja litakalopelekwa Gaza wala chakula chochote na hata gari la mafuta kwa ajili ya kituo cha umeme, mpaka hapo raia wao wanaokisiwa kufikia 150 watakapoachiwa huru
Wananchi wa Gaza wanasema hawastahiki Adhabu hii kwani wao sio HAMAS
βWeβre not Hamasβ: Gaza residents say airstrikes are putting civilians in grave danger
View attachment 2779891
View attachment 2779902
No power, water or fuel to Gaza until hostages freed, says Israel minister