LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Kama watu walipitishwa Huku ...
images%20(3).jpg
 
Ardhi ya Wafilisti kwa maandiko au mkataba gani!?. Mungu alimwambia Ibrahim "Toka nyumbani kwa Baba yako na mama yako nami nitakupa" Nchi". Tena wakamwambia Yakobo ambaye ni babu wa hawa kina Netanyahu kuwa "Uzao wako utakwenda utumwani misri muda wa miaka 400 nami nitakutoa huko na kukupa ardhi hii kwanini wasing'ang'anie pale misri Goshen kama ni eneo walipewa na Yusufu ila Yusufu akawa mjanja akawaambia" Najua Mungu atawajilia, siku akiwajilia kuwa chukua Msiache mifupa yangu huku misri ".
Hiyo ardhi ni mali ya Israel, Mungu yehova yupo so clear mpaka mipaka ya makazi yao ameitaja very open na wao wanajua ndio maana wakiwatandika wana occupy the space chap kwa ukali utashangaa. Gaza imeenda tayari, wamejichanganya wenyewe. Bibilia inasema, kwa mtini jifunze tawi lake lijapoanza kuchanua........asomaye na afahamu.
Ndio maana ww ni mpumbavu ww nchi hiyo ardhi ya nchi yako unayo ishi ulihaidiwa na mungu?
 
Benjamin Netanyau ana uchungu sana na haya magaidi ya kipalestina mdogo wake akiitwa Yonatan Netanyau aliuwawa kwenye operation entebe alipokuwa akiiongoza kikosi cha kuokoa ndege iliyokuwa imetekwa na magaidi ya kipalestina uokoaji ulifanikiwa 100% ila yeye Yonatan alipoteza maisha.

Ukiingalia sura ya Netanyau unaona kabisa anamaanisha.

Hamas walitegemea wavuke mpaka wa Israel wauwe watu halafu Israel iwachekee tu! Kama Nyerere alianzisha vita na Uganda baada ya Uganda kufanya mashambulizi mpakani nini cha ajabu kwa Israel kuwachapa magaidi wa hamas🤣😂

Any way wanaoilinda Israel kimaombi waendelee maana hii ni vita ya rohoni kinachoendelea ni udhihirisho wa kinachoendelea kwenye ulimwengu wa roho.
Kinachonisikitisha ni kuona Bado raia wanaishi hapo Gaza Hadi muda huu .

Kwa kweli naumia Sana. Sijui ni Kwanini hawamwagi sumu ?
 
You are brain washed by the Western colonialists.
Pole sana ndugu, huwezi kuwa mchambuzi wa mambo kama hufuatilii from the root.

Utabakibkuona wenzako wanachambua mambo na kuwaambia as you wrote hapo juu.

Ukiona kuna jambo hulijui na mwenzako mwenye weredi kaliandika elewa kuwa hiyo ni elimu kwako utaenda kuwapa wanao wajao.
 
Benjamin Netanyau ana uchungu sana na haya magaidi ya kipalestina mdogo wake akiitwa Yonatan Netanyau aliuwawa kwenye operation entebe alipokuwa akiiongoza kikosi cha kuokoa ndege iliyokuwa imetekwa na magaidi ya kipalestina uokoaji ulifanikiwa 100% ila yeye Yonatan alipoteza maisha.

Ukiingalia sura ya Netanyau unaona kabisa anamaanisha.

Hamas walitegemea wavuke mpaka wa Israel wauwe watu halafu Israel iwachekee tu! Kama Nyerere alianzisha vita na Uganda baada ya Uganda kufanya mashambulizi mpakani nini cha ajabu kwa Israel kuwachapa magaidi wa hamas🤣😂

Any way wanaoilinda Israel kimaombi waendelee maana hii ni vita ya rohoni kinachoendelea ni udhihirisho wa kinachoendelea kwenye ulimwengu wa roho.
Aisee hii ya mdogo wake kufariki uganda sikujua !
Nitasima vzr historia hiyo!

Yes yes
Wengi wanafikiri vita zinazopiganwa israe ni vita za kawaida....hawajui
Ndo maana tunawaangalia tu!
 
Pole sana ndugu, huwezi kuwa mchambuzi wa mambo kama hufuatilii from the root.

Utabakibkuona wenzako wanachambua mambo na kuwaambia as you wrote hapo juu.

Ukiona kuna jambo hulijui na mwenzako mwenye weredi kaliandika elewa kuwa hiyo ni elimu kwako utaenda kuwapa wanao wajao.
🤝🤝 Indeed
Kujifunza pia muhimu
 
Silaha wanaweka kwenye hayo maghorofa!?..ndipo wanapopanga mambo yao?.. Israel Wana vifaa vya kusikiliza kinaendelea nini Gaza,high tech surveillance 24/7,Kama wanatumia hayo maghorofa wameshindwa nini kuwamaliza siku zote hizo?!..umefikiri kutumia nini!?
Operation safisha Gaza; wananchi watakiwa kuondoka na kuacha makazi yao ndani ya masaa 24 yajayo.
 
Operation safisha Gaza; wananchi watakiwa kuondoka na kuacha makazi yao ndani ya masaa 24 yajayo.

Waparestina wapatao 1.1m wanatakiwa kuondoka Gaza ndani ya masaa 24 ajayo kupisha operation chakaza ndani ya Gaza ili kuwasaka na kuwasambaratisha wanamgambo wa HAMAS.

UN imetoa angalizo kwamba zoezi hili linaweza kuwa gumu na kuwaathiri watu hao kwa kiwango kikubwa.

The Israeli military has told civilians in Gaza City to leave their homes, says military operations will take place in the area “in the following days”.
Haondoki mtu ng'o.... Israel inatafuta mbinu za kuikalia Gaza.

 
History has a way of repeating itself.

“I want to see no Red Cross, no Caritas, no World Council of Churches, no Pope, no missionary, no UN delegation. I want to prevent even one Igbo(Biafra) from having even one piece of food to eat before their capitulation".

"We shoot at everything that moves and when our troops march into the centre of Igbo territory, we shoot at everything: even things that do not move”.

“All is fair in war and starvation is one of the weapons of war".

"I don’t see why we should feed our enemies fat in order for them to fight harder”.

--Ni maneno ya Benjamin Adekunle, (Commander, 3rd Marine Commander Division, Nigerian Army) aliyoyasema kupitia French Radio Reporter tarehe July 28, 1969.

--------+++--------+++------+++--------+++--------+++--

Nigeria war of aggression against Biafran people was supported and sponsored by British government, .

Over 5 million Biafrans were killed, one million children were starved to death.

Biafra massacre was justified with the silence of UN and the rest of the world.

Today history is repeating its way, but now between Israel and Palestine .
 
Operation safisha Gaza; wananchi watakiwa kuondoka na kuacha makazi yao ndani ya masaa 24 yajayo.
Kaamua kuacha raia watoke!?..Qatar alitaka kusitisha uuzaji wa gesi ikiwa raia wasingeachiwa kutoka, Hamas wamesema hizo ni fake propaganda
 
Uamuzi wa HAMAS kuishambulia Israel ulikuwa hauna busara, sababu Gaza strip ilivyo ukibananishwa huna pa kukimbilia, yaani HAMAS watakamatwa kama kuku bandani.

Nenda kwenye ramani uangalie vizuri ukanda wa Gaza ulivyo - exit ni mbili tu - either ukimbilie Lebanon, Mistri ama Syria ambapo ni km nyingi mno kutoka Gaza na check points za kutosha on the way.

Sasa fikiri mipaka yote imefungwa yaani banda limefungwa sasa ni muda wa kukimbiza kuku - aisee hali ni mbaya. ka ukanda haka hakana ulinzi wa anga, hakuna maji wala umeme wa kujitegemea - kila kitu kiko linked na Israel na ndiyo wameminya kitufe - hamna kutoka hamna kuingia - yaani nje ntinti & ndani ntiti.

Si jambo la mzaha, ndugu zangu Gaza ni damu - Israel ni damu.
 
Back
Top Bottom