The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,397
- 1,786
Haitasaidia na laana haitafika... Kuonesha huwapendi HAMAS omba kujiunga na jeshi la Israel ili ukawakabili Hamas huko GazaHAMAS KUNDI LAKISENGE LA KIGAIDI NAVUA NGUO ZANGU ZOTE NAKUWALAANI HAPA CHUMBANI KWANGU.
HAMAS NDIO WATESI WA RAIA WA PALESTINA AMBAO HAWANA HATIA.
HAMAS DOESN'T REPRESENT PALESTINIANS.
MAUMBWA HAWA.
Hapana. Hukupaswa kunitusi. Mimi siyo Pro Israel. Nasikitika kwa jinsi dunia yote ilivyoweka mikono nyuma wakati Wapalestina wakifanyiwa uhaini wa hali ya juu ndani ya ardhi yao. Amekosekana hata moja wa kuingilia uharibifu unaofanywa na Israel na kwa uzoefu Israel haijawahi kurudisha ardhi inayoipora.We umelewa mav.i sio bure
SawaSiyo kirahisi kama unavyofikiri. Palestina itabakia milele.
Halafu watu wanasema Hawa wanaonewa
Hapo sasa hawa ni wa kipigwa na uzao wao woteHalafu watu wanasema Hawa wanaonewa
Wanapewa ladha waliyoitakaHalafu watu wanasema Hawa wanaonewa
Afu hz vaa kobazi zinasemq wanaonewa mazafantazzzz piga mpaka mtz wameteka au kuua afu mtu hata hiyo dini hajui ilikoanzia anataka kuleta u mnyaazi hapaShirika la habari la AFP limeandaa orodha ya wageni 100 ambao wamethibitishwa kufariki, kutoweka, au kuchukuliwa mateka, kulingana na taarifa kutoka kwa mamlaka za kitaifa.Wengine wengi hawajulikanaji walipo
Marekani:27 wamekufa
Thailand:24 wamekufa
Ufaransa:15 wamekufa
Nepal:10 wamekufa
Argentina:Saba wamekufa
Ukraine:Saba wamekufa
Urusi:Wanne wamekufa
Uingereza:Wanne wamekufa
Chile:Wanne wamekufa
Austria:Watatu wamekufa
Belarusi:Watatu wamekufa
Kanada:Watatu wamekufa
Uchina:Watatu wamekufa
Ufilipino:Watatu wamekufa
Brazil:Watatu wamekufa
Peru:Wawili wamekufa
Romania:Wawili wamekufa
Australia, Azabajani, Kambodia, Ireland, Ureno, Uhispania, Uswizi, Kolombia, Paragwai:Mtu mmoja amekufa
Ujerumani, Mexico:Mateka kadhaa wamekamatwa
Italia, Paraguay, Sri Lanka, Tanzania:Kadhaa hawajulikani walipo
Mbona Hamas walishatoa taarifa ya hao mateka kuuwawa na makombora ya hao Waisraeli yanayorushwa hovyo kwenye ardhi ya Wapalestina!Halafu watu wanasema Hawa wanaonewa
Israel alipewa asilimia ngapi ya Ardhi na UN? Na sasa anayo asilimia ngapi?Nonsense, sasa ndio ajitetee kwa kuchinja raia wasio na hatia?. Hiyo ardhi ni mali ya wana wa Israeli.
tuliambiwa Iran itaingia kuisaidia HAMAS, lakini hadi muda huu kimyaa, Lebanon pia tuliambiwa hivyo hivyo kimyaa.HAMAS imewaponza ndugu zao,Iran ni mbwa anayebweka tu lakini hawezi kung'ata,huu ndo ulikuwa wakati mzuri sana kwa Iran kuingia vitani na Israel ili aonyeshe uanaume wake.
Walipo waua wa israel walitumia akili nyingi au upuuzi mwingi..? Hakuna kuhurumiwa pelekea moto mpaka gaza ichukuliwe mazimaMbona Hamas walishatoa taarifa ya hao mateka kuuwawa na makombora ya hao Waisraeli yanayorushwa hovyo kwenye ardhi ya Wapalestina!
Si wamechagua kujibu madhambulizi kwa kutumia nguvu nyingi, badala ya akili. Na haya ndiyo matokeo yake sasa. Au huoni yale mateso wanayopitia Wapalestina wasio na hatia kila siku?
Na isipo kuwa hivyo ?Duniani kosa vyote lakini usikose akili, ugomvi wa miaka yote Kati ya Palestina na Israel ni ardhi, kwamba Palestina iliporwa ardhi yake na Israel na HAMAS ndo wanaojiamini kwamba Wana uwezo wa kupigana na Israel na kuishinda.
Pamoja na yote, Israel iliendelea kutambua maeneo kama Gaza kuwa ni mali ya Wapalestina.
Sasa hivi Gaza ndo kwa heri tena, inaenda kuchukuliwa yote na kuwa mali ya Israel baada ya HAMAS kufanya mauaji ya kushtukiza ya waisrael zaidi ya 900.
Taarifa za uhakika ni kwamba wanajeshi laki tatu,wengi wao wakiwa makomandoo Hatari kabisa,wanaingia Gaza ndani ya masaa sita yajayo kuua kila kiumbe watakachokikuta hapo.
Na kisha watajenga kambi za kijeshi na kuigeuza Gaza kuwa mali ya Israel milele yote,kama walivyofanya kwa Syria kwa kuipora milima ya Golan Baada ya vita vya siku sita.
Hao wapalestina zaidi ya milioni moja walioamriwa kuondoka Gaza,kamwe hawatakaa warudi tena.
HAMAS imewaponza ndugu zao,Iran ni mbwa anayebweka tu lakini hawezi kung'ata,huu ndo ulikuwa wakati mzuri sana kwa Iran kuingia vitani na Israel ili aonyeshe uanaume wake.
Misri na nchi zingine za kiarabu hawawezi hata kuota tu kupigana na Israel,wanaujua mziki wake,wa mwaka 1967.
Hatimaye Gaza inaenda kuwekwa kwenye Ramani ya Israel
"Tutakachofanya hakitasahaulika kwa vizazi na vizazi"
Benjamin Netanyau, alimaanisha kuwa Gaza ndo imeenda hivyo.
Isingekuwa rahisi kiasi hicho. Palestina baada ya kutawaliwa na Roman Empire ikawa chini ya Dola ya Ottoman (Waturuki) kwa miaka 400 (1517 - 1917).walichokosea wapalestina, baada ya kuvamia, wakaacha hadi majengo waliyojenga wayahudi, makaburi ya babu zao, kuta za hekalu n.k vipo hadi leo. kwahiyo wayahudi waliuwa wanarudi kwao. wapalestina hadi kufikia 1930s pale palikuwa hopeless tu, hawakujenga, hata majengo yaliyokuwepo yalijengwa na Roman empire (kina Pilato) na waingereza waliokuja kutawala. ila waarabu wao walikuwa wafuga mbuzi na kondoo tu.
biafra hawakuwai kuua raia wema ila hamas wamefanya hivyoHistory has a way of repeating itself.
“I want to see no Red Cross, no Caritas, no World Council of Churches, no Pope, no missionary, no UN delegation. I want to prevent even one Igbo(Biafra) from having even one piece of food to eat before their capitulation".
"We shoot at everything that moves and when our troops march into the centre of Igbo territory, we shoot at everything: even things that do not move”.
“All is fair in war and starvation is one of the weapons of war".
"I don’t see why we should feed our enemies fat in order for them to fight harder”.
--Ni maneno ya Benjamin Adekunle, (Commander, 3rd Marine Commander Division, Nigerian Army) aliyoyasema kupitia French Radio Reporter tarehe July 28, 1969.
--------+++--------+++------+++--------+++--------+++--
Nigeria war of aggression against Biafran people was supported and sponsored by British government, .
Over 5 million Biafrans were killed, one million children were starved to death.
Biafra massacre was justified with the silence of UN and the rest of the world.
Today history is repeating its way, but now between Israel and Palestine .
Jumamosi iliyopita umma mkubwa sana wa kiarabu/kiislamu na marafiki zao ulilipuka kwa furaha ukisema allah akbar, allah akbar, allah akbar ukifurahia magaidi wa hamas kuua wayahudi na wasio wayahudi jumamos iliyofuata kibao kimegeuka umma ule ule uliofurahia mauaji leo hii unalalamika wayahudi wanapochukua hatua za kujilinda dhidi ya magaid ya hamas🤣😂 kweli biblia haiwah kusema uongo inaposema utukufu wa mwisho wa nyumba ile utakuwa mkubwa kuliko wa kwanzaWe jamaa mnafiki sana, mwanzoni ulikua unachekelea Israel iliposhambuliwa, kibao kimegeuka umeanza kutia huruma.
Kichapo ndo kwanza kimeanza... na Israel inazidi kujiongezea eneo la ardhi kwa ulimbukeni wa magaidi.
Mtu yeyote ana haki ya kujitetea kama usalama wake uko hatihati, mkuu.Kuchukua Ardhi ya mwenzako kwa ubabe na ukatili wa kutisha kama aliokuwa anafanya Israel kwa miongo kadhaa.., Palestine hana haki ya kujitetea?
Wameanza kubadirisha kauli?rekebisha - walichokitaka hao waparestina.
Watanzania ni 2 tu ndo hawajapatikanaShirika la habari la AFP limeandaa orodha ya wageni 100 ambao wamethibitishwa kufariki, kutoweka, au kuchukuliwa mateka, kulingana na taarifa kutoka kwa mamlaka za kitaifa.Wengine wengi hawajulikanaji walipo
Marekani:27 wamekufa
Thailand:24 wamekufa
Ufaransa:15 wamekufa
Nepal:10 wamekufa
Argentina:Saba wamekufa
Ukraine:Saba wamekufa
Urusi:Wanne wamekufa
Uingereza:Wanne wamekufa
Chile:Wanne wamekufa
Austria:Watatu wamekufa
Belarusi:Watatu wamekufa
Kanada:Watatu wamekufa
Uchina:Watatu wamekufa
Ufilipino:Watatu wamekufa
Brazil:Watatu wamekufa
Peru:Wawili wamekufa
Romania:Wawili wamekufa
Australia, Azabajani, Kambodia, Ireland, Ureno, Uhispania, Uswizi, Kolombia, Paragwai:Mtu mmoja amekufa
Ujerumani, Mexico:Mateka kadhaa wamekamatwa
Italia, Paraguay, Sri Lanka, Tanzania:Kadhaa hawajulikani walipo