Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Inaanzaje ku share Ardhi yako na mvamizi,yani USA & UK waliharibu hili eneo kwa malengo yaoHao Harmas ndo wapelestina ?Hii historia ya Palestine na Israel inasikitisha.Si wanashare nchi moja.Waishi kwa amani jamani.
msimamo haujabadilika, kwasababu ninao uhakika vita watashinda israel, nilikuwa naongea kwa upande wa pili kwasababu hakuna ubishi kwamba intelijensia ya israel ilifeli. huwa wanawalipa pesa nyingi sana wapalestina kama mashushushu na waarabu wa kiisrael, nadhani sasaivi walijisahau.Msimamo wako kuhusu Israel kwenye hii comment umebadilika Sana nini tatizo?
Nimekupata nilisikia MOSAD ni noma propaganda tupu mpk wnshindwa kutegua mtego w leomsimamo haujabadilika, kwasababu ninao uhakika vita watashinda israel, nilikuwa naongea kwa upande wa pili kwasababu hakuna ubishi kwamba intelijensia ya israel ilifeli. huwa wanawalipa pesa nyingi sana wapalestina kama mashushushu na waarabu wa kiisrael, nadhani sasaivi walijisahau.
walijisahau tu, ila kwa ushushushu, hadi wavaa kobaz wa Iran huwa wanapokea mgao na wanatoa siri. tafuta pesa.Nimekupata nilisikia MOSAD ni noma propaganda tupu mpk wnshindwa kutegua mtego w leo
Kutoa support kwa Palestina sio kutoa support kwa Hamas au Hezbollah. Kwa Qatar ni bora iwe upande wa Israel kuliko upande wa Iran.Naona dalili za siku moja kuja kutokea maafa duniani kama ya Hiloshima na Nagasaki. Marekani ilishatoa muongozo, na hii hali itajirudia tu wakati wowote. USA inaitetea Israel. Qatar na Iran wanaisupport Palestina. Makundi ya Kiislam lazima yaunge mkono Hamas. Mi sielewi lakini huo tu ni wasiwasi wangu.
Hivi,kwa anaeelewa History vizuli. Eneo Israel inalopigania huko Palestina ni lake,au ni ubabe tu?
Ndio hivyo hakuna system isiyo n matobo wapmbne tu ila wapinguz mbwembwe.walijisahau tu, ila kwa ushushushu, hadi wavaa kobaz wa Iran huwa wanapokea mgao na wanatoa siri. tafuta pesa.
Kwani hata Ukraine si walitangaza hivihivi? Au mmesahau😂😂UK, USA, na umoja wa Ulaya wametoa tangazo kwamba wapo pamoja na Israel na israel wanayo haki kujitetea kutoka kwa uvamizi wa magaidi. unategemea kitatokea nini kuanzia leo usiku? Mungu awasaidie tu watoto na wamama.
nakupa wiki moja ndefu, uzi huu utakuwepo hapa, sote tutaanza kuwalilia wapalestina hapa. Mungu awasaidie.Kwani hata Ukraine si walitangaza hivihivi? Au mmesahau😂😂
Nyerere hakuwa na namna alikuwa anataka mafuta, wewe labda ulikuwa hujazaliwa au ulikuwa mtoto.Mwalimu Nyerere alivunja uhusiano rasmi wa kibalozi na Israel kwa mambo haya haya kama unakumbuka.
miaka yote wamesema hivyohivyo, ila huwa wanadondokea pua."We are ready for the worst-case scenario, including a ground invasion, which will be the best for us to decide the ending of this battle," al-Arouri told Al Jazeera Arabic Saturday.
Wamezoea.yaani gaza hakuna hata umeme sasai i, giza kabisa.
hata hivyo, izo vita kati yao hazijaanza leo, tangu enzi za Daudi na Goliati, unakumbuka goliath alikuwa mtu wa GAZA.Wamezoea.