johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Maarifawatu wangu wanaangamia kwa kukosa maharifa
Ahahahahaha! Kwahiyo ndio kusema Hamas na Waarabu wanawaogopa Marekani na NATO sio? Basi nimekuelewa.Haha haaa. Kumbe wewe mbaazi? Israel anakitu gani? Sema USA , NATO na UK wanashirikiana kupigana na hamas. Isreal cha mtoto. Isreal bila NATIO; AMERICA sawa na kumsukuma mlevi.
Isreal akisimama pekee yake Tanzania wanampiga
Sema hivi vita vya kidiniAhahahahaha! Kwahiyo ndio kusema Hamas na Waarabu wanawaogopa Marekani na NATO sio? Basi nimekuelewa.
Samahani ndugu! Hivi upo serious?Haha haaa. Kumbe wewe mbaazi? Israel anakitu gani? Sema USA , NATO na UK wanashirikiana kupigana na hamas. Isreal cha mtoto. Isreal bila NATIO; AMERICA sawa na kumsukuma mlevi.
Isreal akisimama pekee yake Tanzania wanampiga
Huo ushahidi alioutoa upo wapi? Uweke hapa basi nasi tuuone.Dunia tangu kuumbwa kwake inatawaliwa na yule yule aliyeiumba na siku zote haitoki nje ya kanuni zake.
Sheikh anasema hizi ni dalili kutoka kwa Allah kwa wale wanaoishi baada ya Firauni na wale wanaoishi maisha aliyoishi Firauni kutokana na hukumu aliyoipata Firauni.
Firauni alikuwa akipiga ardhi kwa miguu kutokana na kiburi chake cha kutaka kuwamaliza wana wa Israel (sio mayahudi)
Alipoinua miguu yake ili awamalize kabisa,hapo Allah akaingilia kati kuwatetea wanyonge na akammaliza Firauni.
Hivi ndivyo wanavyofanya mayahudi wa Israel sasa.Maliza kabisa wapalestina!,Ondoa kabisa wapalestina Gaza, Wapeleke Sinai, Ua wote waliobaki kwa mabomu, njaa na kiu !
Sheikh akamalizia kwa kusema "Historia lazima itajirudia.Najua ndani ya Israel kuna watu wenye ubinadamu na huruma kwa wenzao.
Ni wakati sasa wa kuhama mara moja kutoka humo kabla Allah hajaingilia kuwatetea wanyonge kwa kushusha balaa ambalo halitakuwa na wa kulizuia"
Vita vya kidini wapi wewe mjinga;Sema hivi vita vya kidini
Hivi ni vita vya kidini dhidi ya waislamVita vya kidini wapi wewe mjinga;
Unadhani Palestine Kuna dini moja tu
Na Israel unadhani Kuna dini moja
Wanaunga mkono Palestine Ni dini moja tu ????
Je wanaunga Israel Ni Dini moja tu ?
Siku nyingine ufiche upumbavu wako usiwadhalilisha wenzako
Ete Osama bin Laden naye alikuwa anafanya yote yale kwa niaba ya Mungu wetu huyu huyu. HIVI HAO MABIKIRA WALIOKO MBINGUNI NI WAHINDI AU WACHINA AU WAZUNGU AU WAAFRIKA AU DADA ZAO WAARABU?Africa woiye woiye wooo! Africa Africa, Africa Africa eeeh...×2.
Wakati mwingine Mtu unaweza kukufuru bila kukusudia kwanini ulizaliwa ukiwa Mwafrika maana tuna utumwa wa kidini hadi tunatuia huruma.
Kongole kwa Rastafarians, Buddhism, Hinduism, Paganism dini za kuabudu kwa uhuru na hiyari bila ya kufatilia maisha ya Mtu kwa chuki, ubaguzi, husda, unafki, uzandiki, visasi hata mauaji kwaajili ya Mungu asiyeonekana ilihali wahanga ni Binadamu wenyewe kwa wenyewe tunaoonekana.
Dini zinatugawa hata Atheists "Wapinga uwepo wa Mungu" wana hekima zaidi ya Wafia dini[emoji848][emoji142]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Dini ni utumwa wa waafrika wengi sana.Africa woiye woiye wooo! Africa Africa, Africa Africa eeeh...×2.
Wakati mwingine Mtu unaweza kukufuru bila kukusudia kwanini ulizaliwa ukiwa Mwafrika maana tuna utumwa wa kidini hadi tunatuia huruma.
Kongole kwa Rastafarians, Buddhism, Hinduism, Paganism dini za kuabudu kwa uhuru na hiyari bila ya kufatilia maisha ya Mtu kwa chuki, ubaguzi, husda, unafki, uzandiki, visasi hata mauaji kwaajili ya Mungu asiyeonekana ilihali wahanga ni Binadamu wenyewe kwa wenyewe tunaoonekana.
Dini zinatugawa hata Atheists "Wapinga uwepo wa Mungu" wana hekima zaidi ya Wafia dini[emoji848][emoji142]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Jibu maswali KwanzaHivi ni vita vya kidini dhidi ya waislam
Huyu shekhe aminikumbusha jambo moja kwamba mnafiki siku zote husimamia unafiki wake,.Dunia tangu kuumbwa kwake inatawaliwa na yule yule aliyeiumba na siku zote haitoki nje ya kanuni zake.
Sheikh anasema hizi ni dalili kutoka kwa Allah kwa wale wanaoishi baada ya Firauni na wale wanaoishi maisha aliyoishi Firauni kutokana na hukumu aliyoipata Firauni.
Firauni alikuwa akipiga ardhi kwa miguu kutokana na kiburi chake cha kutaka kuwamaliza wana wa Israel (sio Mayahudi)
Alipoinua miguu yake ili awamalize kabisa,hapo Allah akaingilia kati kuwatetea wanyonge na akammaliza Firauni.
Hivi ndivyo wanavyofanya mayahudi wa Israel sasa.Maliza kabisa wapalestina! Ondoa kabisa wapalestina Gaza, Wapeleke Sinai, Ua wote waliobaki kwa mabomu, njaa na kiu.
Sheikh akamalizia kwa kusema "Historia lazima itajirudia.Najua ndani ya Israel kuna watu wenye ubinadamu na huruma kwa wenzao.
Ni wakati sasa wa kuhama mara moja kutoka humo kabla Allah hajaingilia kuwatetea wanyonge kwa kushusha balaa ambalo halitakuwa na wa kulizuia"