LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Israel washafurushwa halo salah din
 
Mkiambiwa wacheni kuota mnakula chakula kwa kutazama picture mnasema tulidhani chakula, hivi we unaijua barabara ya Salah Din
 
Wewe ni muongo hakuna taarifa hiyo aljazeera, aljazeera hakuna ya kiswahili sawa, hadi sasa IDF wameuteka barabara ya salah al din na wnekata kabisa mawasiliano na gaza kusini, kuwa muelewa shekhe uchwara
 
Hayo mambo ya kujifariji umeyaongea ww mm naleta habari kama ilivyo na udhibitisho nime kuwekea kama hutaki acha.
Kuhusu mateka kufa nyinyi si ndo mnashangilia Israel kurusha mabomu hovyo sasa mnashangaa nn?
 
Shenzi type na ujinga, udini na ugaidi ngoja mt***be na IDF
kwahiyo unataka tuseme Rais muislam Samia, waziri wa mambo ya nje Mkristo Januari Makamba, nk et
Udini hauna nafasi kwa wakristo, udini una nafasi kwa boko haram, alqaida, ISIS, Hamas, nk na sio kwa wakristo ok
 

View: https://youtu.be/9Dl1KnNS9ZM?si=9kWtKuTRrXoWvh8d
Vinaunguzwa hivyo vilivyo sogea karibu na barabara ya Salah Din, safi sana Hamasi piga hao wenye lana

Hao wataishia kuvunja majumba tu ndio ilivyo mishoga haiwezi kupambana na wanaume.
Ugonjwa wa akili kwa huyu kijana, et apigwe Hamas kulia alie yeye huku kazuramimba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kama siyo uchizi ni nini hiki??

Mashoga ni kote kote au nyie misikitini mnakihitaje🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hakuna wapenda nyuma kama mashekhe bwashee hata kwetu huku bongo wenye tabia hizo nyie misikitini kwenu huko
 
Wewe ni muongo hakuna taarifa hiyo aljazeera, aljazeera hakuna ya kiswahili sawa, hadi sasa IDF wameuteka barabara ya salah al din na wnekata kabisa mawasiliano na gaza kusini, kuwa muelewa shekhe uchwara
Punguza ushamba mm hiyo habari mm ndo nimeibadilisha kutoka kwenye kiswahili kwenda kiingereza kwa kutumia app ya kutafsiri lugha ili kila mtu aelewe.

Hata BBC sasa hivi wameripoti ya kuwa hiyo barabara iko wazi kwa sasa.

Alafu ww siulisha tuambia huna upande sasa inakuweje unaumia Wayahudi wakipewa kipigo?
 
Rudi aljazeera uone habari walioweika saizi, wamethibitisha IDF kuteka barabara ya salah al din na hakuna kumove north to south na IDF wanazidi kuingia ndani zaidi
 
kwanini uitafsiri umeweuka kwa kipigo cha Gaza pole🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Uchizi wangu haukuzidi wewe, kwanza unamini Israel anapigana vita na numbers si professional ungekuwa mzima kichwani usinge wahesabu watoto ni wanajeshi wa HamasI.

Ungekuwa mzima usinge wa hesabu wanawake ni wanajeshi wa Hamasi. ungekuwa si chizi using hesabu majumba na Hospital ni kambi za jeshi na zimevunjwa hutujaona hata bastola.

Ungekuwa mzima usinge sema Israel ni taifa teule, dalili unaonyesha unapenda sana ushoga undele kwenya taifa teule

Poleni sana mmeisha uwa watoto na wanawake na wagonjwa wangapi?

Kwa hio imebaki kuhesabu mbuzi na ngombe tu ili muwe mnaidadi nyingi au sio.

Hivi ndoa za ushoga zinafungwa kanisani au misikitini

Swali ni moja kuna kifaru cha Israel kimeingia Gaza?
Taifa teule siwangeisha fika Gaza leo ya ngapi vile, si wanataka kuwamaliza Hamasi, mimi naona Hamasi hakuna hata silaha yake imevunjwa na hayo maboom mlio Rusha mabillion yamepotea kuwauwa watoto,wanawake,wagonjwa humkuwacha hata ambulance

Sijui aibu mtaificha wapi matekwa bado Hamasi kawashikilia, Majenarali bado kawashikilia na bado mnapewa kipigo kipo pale pale kila siku mnarushiwa mvua za missiles.

Malaika wa taifa teule hata chakula, maji, umeme kawafungia watu wa Gaza, hivi hao wanaoilinda Israel kama mnadai ndio malaika wa taifa teule basi huyo atakuwa mungu wa bibilia si Mungu wa haki 😄
 
I stand with Israel
 
Hii ndo hali ilomkuta kiongozi wa Israel Ariel Sharon kabla ya kufariki kwake Allah alimpa ugonjwa wa AJABU sanaa


Ole wenu madhwalimu

Mwenye AKILI huzingatia
Your browser is not able to display this video.
 

Ktk video inayosambaa mitandao mateka wa Isreal waomba msamaha.
Wamesema wanajua kwamba serekali yao inawaua wa Palestina miaka yote na inawakandamiza sana.
Wao wameomba msamaha kwa Ukatili wanaofanyia.
Wamewapongeza Hamas kwa ubinaadam na utu wanaounyesha ktk kipindi chote wanachoshikiliwa
Wamesema hapo mwanzo waliaminishwa kwamba wauchukue uislamu na waislam kwa jumla lkn wanaona utafauti mkubwa.

QURAN IPO WAZI
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…