LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Sasa unamshambulia mwenzako kua analeta habari zisizothibitika na huku na wewe pia unatoa habari zisizothibitika pia.
TUAMBIE TOKA VITA IANZE NI WANAJESHI WANGAPI WA ISRAEL WAMEKUFA NA WANAJESHI WANGAPI WA HAMAS WAMEKUFA?
 
Aisee hawa Muqawama wa Hamas ni balaa yaani unaambiwa wako fit kinoma.Israel hajafanikiwa kuua hata mmoja anabakia kuua raia na watoto wasio na hatia.Allahu akbar!
🤣🤣🤣🤣🤣 MKUU UNATUPANGA SASA NA ALLAH AKBAR YAKO 🤣🤣🤣🤣 YAANI WANAJESHI WA ISRAEL HAWAJAFANIKIWA KUUA MEMBWR WA HAMASI.
NB: HIVI UNAJUA ASILIMIA 95 YA MEMBER WA HAMAS WANAVAA KIRAIA KWA KUOGOPA KUUAWA?
 
WEWE SI ULISEMA HAWATAINGIA GAZA??
AU NA HILO BADO HUJATHIBITISHA? NDIO MAANA KWA SIKU UNALETA NYUZI 27 KUWAPONDEA WAYAHUDI
 
Rajab allah akbarrr!!! wewe ni muongo kuna jamaa amesema kwamba ukiwa muislam hata umesoma ila ujinga ni lazma, mlijidanganya na allah akbar leo mnakipata Israel waje hadi huku kwetu kuwatafuta magaidi wapo wwngi
Muislam haijawahi kuwa mjinga na ndio maana haijawahi kuuziwa chuvi ,maji, mafuta kwa laki 2 kwa imani eti akitumia anaenda kuwa tajiri na kuondoa mikosi.

Waisilam sio wajinga kama wagaratia ambao wao wakitaka gari wanaombewa na mchungaji ila mchungaji akitaka gari waumini ndo wanamchangia.

Waisilam sio wajinga kama wagaratia ambao wakiumwa wanaenda kwa mchungaji kuombewa wapone wakati mchungaji akiumwa anaenda hospital ya gharama kupata matibabu bora.
 
Na bado hawajafa wakutosha
 
Huo utafiti ulifanyika wapi Kimara temboni? Hawa Waisrael waeusi wanachekesha sana.
 
Huo utafiti ulifanyika wapi Kimara temboni? Hawa Waisrael waeusi wanachekesha sana.
MKUU AU HUKUONA SEPTEMBER 08 WALIKUA WANAUA WAYAHUDI NA KUPELEKA MATEKA GAZA HUKU ASILIMIA 75 YAO WAMEVAA KIRAIA.
NB: KAMA HUKUONA BAS TAZAMA AL ARABIYA TENA AU AL JAZEERA AU TV IMAN MKUU.
 
Kudos Hamas
To win this war, the head of the beast must be chopped
 
According to Al Jazeera, Hamas allowed a large number of Israeli soldiers to enter the building and then blew it up
Mkuu kumbe according al jazeera chombo cha propaganda cha waarabu dhidi ya wayahudi.
UNADHANI IDF WANAENDA ENDA TU KAMA WAASI WA M 23???
NB: According al jazeera 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…