Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Sasa unamshambulia mwenzako kua analeta habari zisizothibitika na huku na wewe pia unatoa habari zisizothibitika pia.Hamas walivyosema kwamba Gaza itakua ni kaburi la Wanajeshi wa Israel walikua hawatanii..Shambulizi moja tu wameuwa wanajeshi 67 wa Israel
#BREAKING Al-Qassam Brigades ambushed Israeli soldiers, captured 43 soldiers and killed 67 soldiers.
Source:Israel channel 14
Israeli media and Military sources confirming the Ambush but denied any captured soldier
As a result of the attacks of the Al-Qassam brigade, a unit of the Givati Brigade had to withdraw from the north of Gaza —
Palestinian Source
Source:Israel channel 14,Palestinian Source.
Verfied by: War intel page on XView attachment 2799534
UPDATE: Unconfirmed report.......Hii habari bado sijajiridhisha,nilikua na haraka sana kuipost, huwa najitahidi sana kuleta habari za kweli humu na huwa nahakikisha naleta habari za uhakika kabisa!!Na hii habari niliitoa kwenye source ya uhakika kabisa lakini mleta habari amesema binafsi kuwa anaifanyia uchunguzi kwanza na akaifuta!!....Hii ni hadi nijiridhishe kwanza nilikua fasta sana kupost hii habari humu, so hadi nijiridhishe....Mimi sio kama kina Mk254 ambaye habari zake 95% anazoleta humu ni za uongo!!..........
TUAMBIE TOKA VITA IANZE NI WANAJESHI WANGAPI WA ISRAEL WAMEKUFA NA WANAJESHI WANGAPI WA HAMAS WAMEKUFA?