LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
"Uamuzi huu wa kuanzisha operesheni hiyo ulikuwa wa kiPalestina kwa asilimia 100.
Waliweka siri na Hamas hawakumwambia mtu yeyote kuhusu hilo. Usiri huu ndio uliofanya Oktoba 7 kufanikiwa.

Usiri huu haukutusumbua. Tuliwapongeza kwa kuiweka siri na hii haikuathiri uamuzi wetu"

Nasrallah.
 
Hezbollah walisema mwanzo Israel ikiingia Gaza wanaingia vitani. Leo nikajua watatangaza vita kumbe hotuba ya salamu
Umeisoma/kusikiliza Hotuba? Jamaa ka address vizuri tu mpaka Katoa idadi ya mgawanyo wa Jeshi la Israel

Elite Soldiers wa IDF wapo stationed Mpaka wa Lebanon kwa Threat ya Hezbollah (hii Inaelezea kwa nini wanakufa kindezi kule Gaza) ukisoma miaka ya wanajeshi waliokufa na kutangazwa na IDF wengi ni miaka 19, 20 etc ina wale wanaotumwa Gaza kufa sio Main Army ya IDF na Hezbollah wame wa Check Point.

Katoa Mgawanyo kabisa kwamba 1/3 wapo mpakani kabisa na 1/2 ya fleet za Israel zipo ufukwe unaopakana na Israel.

Kwamba unaamini ama huamini data zake hilo moja ila utaona kuna ukweli hayo maneno yake.

Quote husika
- I will explain what we did in Lebanon after all this blood.

“The Israeli army initially withdrew its regular troops from our border and sent them to Gaza.

“Our attacks forced the Israeli army to keep troops on the Lebanese border, and we stopped Israeli attempts to transfer its special forces from here to Gaza.

“We exposed ourselves to fire, but we deprived the army of the opportunity to transfer all its forces to Gaza.

“I have exact figures for the strength of the Israeli army, up to a single digit.” And in simple terms, 1/3 of the Israeli army is now on our borders.

“Half of the Israeli fleet is on our beaches. 1/4 of Israeli forces are sent to Lebanon.

— Half of Israeli air defense is directed against Lebanon.


Pia so far hii vita mbichi ndio kama inaanza, kuna Tetesi Algeria wameshasign wanatuma wanajeshi, with Algeria involvement (hawa jamaa wanapendwa karibia na bara Zima la Africa) sitashangaa Nchi nyengine za Ki Africa kuunga mkono.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baada ya hotuba kumalizika sote tuliokuwa tunatazama tukacheka tu.Nilidhani leo ndiyo leo tunaona Kiongozi akiamuru vijana wake wainge vitani badala yake ikawa ni blah blah tupu
Spokesman of the Israeli government @EylonALevy:


“We listened to Nasrallah's rambling speech. It was so boring that I don't know whether his speechwriter was killed in one or our recent airstrikes”
 
Tuseme tu ukweli kama sio USA backup ni hizo drone ,Israel ni wepes sana
 
Hizbollah ni kundi la Kishia ila pia linaungwa mkono na Wakristo wengi tu Lebanon, Raisi aliopita Michael Aoun ni Ally mkubwa tu wa Hezbollah.
 
Morocco tu pale jirani wana mzozo na Algeria. Ungesema Algeria na Arab league sawa ila Algeria na Africa sahau. Hakuna mweusi ataenda pigania Palestina. Yani Waarabu wenyewe wanakula maisha alafu atokee Muafrika kuipigania Palestina?

Israel ina wanajeshi na reserve wengine kiasi kwamba Gaza wamepeleka kiasi. Gaza haina hadhi ya kupigwa kwa kishindo mpaka kujimaliza. Israel inalinda mipaka dhidi ya Jordan, Syria, Egypt na Lebanon. Kusingizia umezuia jeshi la Israel lisipeleke nguvu Gaza ni vijisababu maana hakuna siku Israel itaacha mpaka wake wowote ukiwa wazi.

Ulisema utavamia Israel endapo Gaza itavamiwa, Gaza imevamiwa na sasa unadai shambulizi la Israel lilikuwa 100% mpango wa Hamas na hatukujua na hatujachukia. Unaanza kusema tumesaidia jeshi la Israel liwe concentrated kwetu, alitekwambia Israel ingepeleka jeshi zima Gaza nani.

Mikwara tu
 
Morocco tu pale jirani wana mzozo na Algeria. Ungesema Algeria na Arab league sawa ila Algeria na Africa sahau. Hakuna mweusi ataenda pigania Palestina. Yani Waarabu wenyewe wanakula maisha alafu atokee Muafrika kuipigania Palestina?
South Hapo kama hizo tetesi ni Kweli kahusika kusaidia Vita ya Urusi na Ukraine, usi under estimate influence ya Algeria Africa. Na mpaka Leo western Sahara wana resist ni Sababu ya Algeria.
Ametoa data 1/3 ya jeshi ipo mpakani, 1/2 fleet zote zinaelekea Lebanon, kama ni kweli we mwenyewe unafahamu kwamba that's a lot.

Na Israel wanatembeza Bakuli Usa sasa hivi ila huku mnawasifia wana jeshi kubwa kulinda mipaka yote, Jamaa pia Ali adress hilo la jeshi la Israel

European and Western leaders come from all over the world to express their support for Israel, this shows the weakness and need of the Zionist regime for foreign help to survive.

- Where is Israel, which used to boast of its strongest army in the world? Where is your Air Force? Where do you get high quality weapons?

— From the first days, Israel requested new weapons from the United States... Is this a strong country capable of getting back on its feet?

“American generals and their experts come to the organization, and from the first day it was decided to open American weapons caches. Israel asked for $10 billion. Is this a strong state? Is this a state that can stand on its own feet?

“Hamas expected this Israeli retaliation, and such a great action deserves great sacrifices, and the people of Gaza were ready to sacrifice.

“Gaza had no choice but to either wait and die or resist.


Tunaona jeshi kubwa Duniani linavyotembeza Bakuli na Kusaidiwa mpaka Chakula, bunduki, makombora etc, lenyewe halijiwezi.
Hapa hajasema kwamba hawatovamia ila ameongea kwa strategy

“We entered the battle on October 8th.

“Some people say that today I would announce our intervention, but we have been interfering since October 8, the second day of the Al-Aqsa Storm.”

“Some people want us to go to full-scale war, and for them, action on the northern border may be seen as limited, but this is definitely not the case.

“We will not stop there [on the Lebanese-Palestinian border] and will move on to a new stage.

“The resistance in Lebanon is and will continue to wage a real war on the border"

Mikwara tu
Tusubiri, maana jana tu waneteketeza eneo kubwa tu Israel Na wamelipua kambi na kamikaze.
 
Hivi huwa inakuwaje mnaaamini Hamas au Hezbollah wanaweza kuipiga Israel...

Syria kila siku anabondwa hakuna siku amesema Su, Egypt hadi aliaamua kuwasaidia Israel kuilinda Gaza dhidi ya Hamas.
Hizbullah kabondwa lini!?..2000 zilipigwa, Israel akaachia eneo la Lebanon kusini aliloshikiria kwa takriban miongo miwili,2006 Israel alidundwa na hizbullah, Syria ana shida zake za ndani,hataki provocations nchi haijatulia, Israel huwaonea wapalestine ambao kawazingira wasiingize chochote,wametoka kwenye manati na kombeo na Sasa Wana modified AK 47 na homemade propelled grenades..na bado Israel jasho linamtoka
 
Hivi huwa inakuwaje mnaaamini Hamas au Hezbollah wanaweza kuipiga Israel...

Syria kila siku anabondwa hakuna siku amesema Su, Egypt hadi aliaamua kuwasaidia Israel kuilinda Gaza dhidi ya Hamas.
Kwani kichapo kilichoiamsha dunia usingizini cha tarehe 7 Oktoba alichezea nani?
 
Ww una shule gani unayoringia?
Hao wapalestina wako vizuri kuliko nchi yako.
 
Sishabikii yeyote, kikubwa wapigane wa kuichukua Gaza na aichukue!
 
Ndo maana 🇮🇱🇮🇱 hasikii sauti za aina yoyote Kwa Hawa wahuni .
 
South Hapo kama hizo tetesi ni Kweli kahusika kusaidia Vita ya Urusi na Ukraine, usi under estimate influence ya Algeria Africa. Na mpaka Leo western Sahara wana resist ni Sababu ya Algeria.
Kwani South walituhumiwa kusaidia vita ya Urusi kwa kutoa silaha. Au kufanya mazungumzo na kuendeleza mahusiano ya kidiplomasia waziwazi.
Ametoa data 1/3 ya jeshi ipo mpakani, 1/2 fleet zote zinaelekea Lebanon, kama ni kweli we mwenyewe unafahamu kwamba that's a lot.
Sasa si wapigane nalo hilo jeshi hapo mpakani kama walivyotoa ahadi.

Na ulitaka Navy ya Israel iende wapi wakati wa vita. Ni ama ichunge upande wa Misri au upande wa Lebanon. Tufanye kweli nusu imechunga Lebanon, kuna shida? Na hilo halizuii Navy kushiriki operation pale Gaza. Pounding kila siku inafanyika na warships.
Basi Israel haijiwezi vamia sasa visingizio vya nini. Haina jeshi kubwa tumekubali, ni ombaomba tumekubali. Aya mnaogopa ombaomba na adui dhaifu?

Leta hao Algeria unaosema, leta Hamas, Hezbollah, Iran, Jihad wa pale Syria changanya wote wapigane na ombaomba Israel.
Kinachokuuma nini Israel ikitafuta washirika wake, mbona Hamas inao washirika pia.
Kipigo cha mbwa koko kinasubiriwa kwa hao wanamgambo wanaodekezwa. Hezbollah ikiishinda Israel vitani nipigwe ban ya maisha. Waite hata mods. Mlizoea ile 2006 mnapigwa kwa kuogopa raia, sasa hivi Israel itabomoa hata hizo hospitali zenu endapo zina makazi ya wanyang'anyi.

Hamas hii hapa na ramani yao ya mahandaki ya 2021 waliyochora Israel. Mashambulizi yanayofanywa Kaskazini mwa Gaza ni kuharibu mahandaki. North Gaza ndio kama nusu ya uwezo mzima wa Hamas na imezingirwa. Sasa na Hezbollah ilete makombora yake Lebanon warudi Middle Stone Age
 
[emoji1][emoji1] Nilitegemea kiongozi leo kutangaza kuingia vitani rasm baada ya ile 'ultimatum' kumbe ni hizi blah blah tu zilizo zoeleka siku zote.
Nyie sijui mnataka nini
If he declares war on Israel, you will say there is no balance and Lebanon will be destroyed

If he threatens Israel, you say just talk

If 57 martyrs came, you'd say that it is not enough to call for an open war

If he remained silent, you would say afraid What is your role? Maana unahaha tu.....
 
HEZBOLLAH NDIO WANAHAA KWA KUONGEA NGONJERA TU BILA VITENDO.
HAYA HAYO MASAA YAMEPITA NA WAMEFANYA NINI?
JE WAMECHUKUA HATA SENTIMITA MOJA YA ARDHI YA ISRAEL?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…