baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
For Fun,Ww una shule gani unayoringia?
Hao wapalestina wako vizuri kuliko nchi yako.
Ushindi uliowaletea maafa ?Opereshen ya Tufani ya Al Aqsa (Al Aqsa typhoon), haitosahaulika daima.
Ni ushindi mkubwa sana, kisiasa, kiintelijensia, kistrategia na kisaikolojia kwa Wapalestina.
Mkuu una akili sanaNi waislam wa Tanzania pekee ndio wanaamini Hamas atashinda hii vita kwengine kote wanaomba siraha ziwekwe chini
IPO WAPI HIYO HOTUBA?Yaani hyo hotuba inasubiri kwa hamu na netanyau kuliko hata hezbollah maana leo hata chakula hakipiti mdomoni hamu ya kula hana
Nimekuja kuangalia tamko mbona hola, Hakuna tamko. Hezbollah imeshindwa kabla haijaanzaKumebakia masaa machache kabla ya mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!Maangamizi yanakuja.
Tumebakiza masaa kadhaa kabla ya Nasrallah mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!
Hili tamko limemfanya hadi Bilinkelin kufanya Israel Israel ijumaa hii Nchi za magharibi, mashariki ya kati, Israel na dunia yote kesho itayaelekeza macho na masikio huko Lebanon kwa mwamba mmoja tu si mwingi ni Bwana Nasrallah mkuu wa kundi la Hezbollah la Lebanon
Tamko la kesho ndo litaamua hatma ya mashariki ya kati na utawala wa kizayuni....Hezbollah wana kila silaha mnayoijua ninyi hakuna silaha ambazo hawana.
Tunakwenda kushuhudia hali ya mambo ikibadilika ndani ya masaa kadhaa yajayo
Tutapeana updates hapa hapa..........View attachment 2801828View attachment 2801829View attachment 2801833View attachment 2801837
Ukiona mkuu wa Hizbullah anatoa tamko basi jua hali ya Muqawama wetu ni mbaya muno?Kumebakia masaa machache kabla ya mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!Maangamizi yanakuja.
Tumebakiza masaa kadhaa kabla ya Nasrallah mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!
Hili tamko limemfanya hadi Bilinkelin kufanya Israel Israel ijumaa hii Nchi za magharibi, mashariki ya kati, Israel na dunia yote kesho itayaelekeza macho na masikio huko Lebanon kwa mwamba mmoja tu si mwingi ni Bwana Nasrallah mkuu wa kundi la Hezbollah la Lebanon
Tamko la kesho ndo litaamua hatma ya mashariki ya kati na utawala wa kizayuni....Hezbollah wana kila silaha mnayoijua ninyi hakuna silaha ambazo hawana.
Tunakwenda kushuhudia hali ya mambo ikibadilika ndani ya masaa kadhaa yajayo
Tutapeana updates hapa hapa..........View attachment 2801828View attachment 2801829View attachment 2801833View attachment 2801837
Hezbollah ni washia asilimia kubwa (wasunni na wakristo baadhi wamo pia), ndio maana hawapendwi na watawala wa nchi za GhubaHata hivyo Hezbollah ni Wasuni sidhani kama wataona urahisi kuitetea Iran kuliko Palestina
Vipi allah ndio pekee wa waislamu na yeye hana tatizo na mashoga hawa pia maana naona na hawa makao yao makuu ni Ryadh saudi arabiaHuyo yehova ndio mungu pekee ambae hana tatizo na mashoga,ndio maana sasa hv hadi kanisani linawatambua mashoga na israel ndio makao makuu ya mashoga wote duniani.
🤣😂😂😂 tamko au ngonjera.Nimekuja kuangalia tamko mbona hola, Hakuna tamko. Hezbollah imeshindwa kabla haijaanza
Kutoa Silaha unless haukuwa unafuatilia Hio vita ama umesahau.Kwani South walituhumiwa kusaidia vita ya Urusi kwa kutoa silaha. Au kufanya mazungumzo na kuendeleza mahusiano ya kidiplomasia waziwazi.
Wapigane mara ngapi sasa, Jana tu kambi imefumuliwa na kamikaze we una assume kama wamekaa tu. It's just ni kwamba hakuna all out war ila skirmish za hapa na pale Zinatokea kila siku.Sasa si wapigane nalo hilo jeshi hapo mpakani kama walivyotoa ahadi.
Gaza ni Eneo la Vita na ipo baharini, Fleet kwenye eneo la vita hazipo kwa wingi zipo kwengine huoni kama hao Lebanon wanaogopewa zaidi?Na ulitaka Navy ya Israel iende wapi wakati wa vita. Ni ama ichunge upande wa Misri au upande wa Lebanon. Tufanye kweli nusu imechunga Lebanon, kuna shida? Na hilo halizuii Navy kushiriki operation pale Gaza. Pounding kila siku inafanyika na warships.
Usipanic, fumbua tu macho kwamba ulichokua ukikiamini miaka yote ni uongo.Basi Israel haijiwezi vamia sasa visingizio vya nini. Haina jeshi kubwa tumekubali, ni ombaomba tumekubali. Aya mnaogopa ombaomba na adui dhaifu?
Leta hao Algeria unaosema, leta Hamas, Hezbollah, Iran, Jihad wa pale Syria changanya wote wapigane na ombaomba Israel.
Kinachokuuma nini Israel ikitafuta washirika wake, mbona Hamas inao washirika pia.
Noted, so far Hezbollah 2 - Israel 0 bado tu Hio Hattrick.Kipigo cha mbwa koko kinasubiriwa kwa hao wanamgambo wanaodekezwa. Hezbollah ikiishinda Israel vitani nipigwe ban ya maisha. Waite hata mods. Mlizoea ile 2006 mnapigwa kwa kuogopa raia, sasa hivi Israel itabomoa hata hizo hospitali zenu endapo zina makazi ya wanyang'anyi.
Wangekua wanayajua hayo mahandaki wangeshatuma drones siku nyingi na kuwaua wote, deep in your heart unajua huo ni uongo.Hamas hii hapa na ramani yao ya mahandaki ya 2021 waliyochora Israel. Mashambulizi yanayofanywa Kaskazini mwa Gaza ni kuharibu mahandaki. North Gaza ndio kama nusu ya uwezo mzima wa Hamas na imezingirwa. Sasa na Hezbollah ilete makombora yake Lebanon warudi Middle Stone AgeView attachment 2802837
🤣😂😂😂 tamko au ngonjera.Nimekuja kuangalia tamko mbona hola, Hakuna tamko. Hezbollah imeshindwa kabla haijaanza
Anza kwanza na aid ya dola bilioni 3 kila mwaka, juzi hapo wameomba dola bilioni 14 wapambane na Hamas, silaha za kimarekani ni nyingi tu zinatumika. Ipo wazi ni mnunuaji mkubwa wa silaha za kimarekani kuanzia rifles hadi ndege vita na missiles.Tutajie silaha ya jeshi la Marekani inayotumika na Israel vitani Gaza
Israel ni kama jimbo la 51 la US, misaada ya US inawabeba sana.Na Israel wanatembeza Bakuli Usa sasa hivi ila huku mnawasifia wana jeshi kubwa kulinda mipaka yote, Jamaa pia Ali adress hilo la jeshi la Israel
European and Western leaders come from all over the world to express their support for Israel, this shows the weakness and need of the Zionist regime for foreign help to survive.
Israel imechanganyikiwa, wamekuwa waoga na hawajui wana deal na kina nani. wanakisia kila mtu, hio ni dalili ya uoga uliopitiliza.Ndo maana 🇮🇱🇮🇱 hasikii sauti za aina yoyote Kwa Hawa wahuni .
View attachment 2802834
Huenda Israel inafanya mashambulizi ya nguvu yenye kuleta maafa ili kuonyesha dunia bado ina nguvu.Israel imechanganyikiwa, wamekuwa waoga na hawajui wana deal na kina nani. wanakisia kila mtu, hio ni dalili ya uoga uliopitiliza.
Military doctrine ya majeshi ya magharibi (ambayo Israel hutumia pia) inategemea mno 'air power'.Tuseme tu ukweli kama sio USA backup ni hizo drone ,Israel ni wepes sana
Ni ushindi? Na uko serious kabisa?Opereshen ya Tufani ya Al Aqsa (Al Aqsa typhoon), haitosahaulika daima.
Ni ushindi mkubwa sana, kisiasa, kiintelijensia, kistrategia na kisaikolojia kwa Wapalestina.
We muimba kwaya hivi unadhani vita ni nini wewe, unapoingia vita lazima uwe una target, sa target ya Israel ni kitu gani.Tumia akili ustaadh, Israel hamuwezi na hamtamuweza, cheki mmeungana Iran, Syria, Hezbullah, Yemen, makundi yenu ya muqawama huko Iraq, nk, but bado mnabweka tu.
Sijaona mapya kwenye hotuba yenu hiyo, nyie ni ovyo sana mnalia nyuma Israel bila any action si ujinga huu.
Kila siku, ni kuandika humu thread na kuleta mapicha hapa za AI ili Dunia iwaonee huruma, Israel ndie baba yenu Middle East, akisema mnatulia kimya, kashajimegea Gaza ila nyie ni kulia tu🤣🤣🤣