LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Kakufundisha Mudy hii story yako? maana ni kama ile ya Alexander the Great the Man with two Horn alipofika eneo la jua linapozama kwenye matope Koran imewaharibu sana Muslim habari za Kusadikika tu eti anataka kuangusha uchumi??? upo makini kweli wewe ? hao Watoto wanaoneshwa na Hamas wa Maigizo waulize Wanajeshi wao Wangapi wamededi? maana Gaza kila mtu ni raia hadi Hamas na Islamic Jihad wao hawafi wala taarifa zao za vifo ni siri
 
Intelligence pekee ambayo ilikua inafahamu mpango wa Hamas ni Egpty. Na wakawaonya Israel siku 3 Kabla ila Netanyahu na Ego yake akapuuzia, yakatokea Yaliyotokea.

Netanyahu akatweet (uongo wa kisiasa) kwamba walikua hawafahamu tukio, USA na maafisa wengine wakapingana na Netanyahu na ndio hapo baadhi ya maafisa Wa Israel kutaka Ajiuzulu sababu Failure yake ndio iliosababisha Hio fedheha.


So Netanyahu kwake hii ni Politics, ndio maana yupo busy kwenye PR kuliko results.
 
Ni ushindi? Na uko serious kabisa?
Ni ushindi mkubwa sana.

Dunia nzima iliwasahau wapelestina waliopo kwenye kambi ya mateso (concentration camp) ya Ghaza. Sasa dunia nzima inawaongelea.

Ni ushindi mkubwa sana huo.
 
Yani hilo ndio jeshi lenu wakristo kweli mashoga mtabaki kuwa mashoga tu, una kifaru jamaa anawafata peke yake, anakirupua na nyie mnajinyea kwenye kifaru 😄

Aibu hi mtaificha wapi ma super power wa kishoga wauwaji watoto, wanawake, wavunja mahospital na mashule.


View: https://youtu.be/92mWcBXlF14?si=6-tjaZRrM9aPGYU8


View: https://youtu.be/LDHJ9lHmZzA?si=c2ok9fyw5jJuR4Ug
Live sasa hivi vitu vimeshuka Tel Aviv
 
Huenda anguko la Netanyau kisiasa lipo njiani.
 
Hezbollah walisema mwanzo Israel ikiingia Gaza wanaingia vitani. Leo nikajua watatangaza vita kumbe hotuba ya salamu
Kiongozi gani wa Hizbulah alisema hayo maneno hebu tuwekee ushahidi.
 
ILISHINDWA ARAB WORLD YOTE ITAKUA WANAMGAMBO.
Haha siri imevuja America kaomba Hezbullah asingie ile vita haswa na Israel sababu wanampango wakusimamisha vita, na Yemen atalipwa na Saud Arabia mabillion.
 
Kumbe ww mweupe kiasi hicho ?

Lini Hizbulah likawa kundi la kisuni?
 
Hamna loote, Hizbullah mgambo tu wa suma jkt wanawakalisha, vita haipigwi mdomoni maustadh ok

Na Israel alishagundua kwamba nyie ni maneno mengi bila vitendo, aise nimeamini Israel ni kiboko
Kama vile kanga zenu za mombasa 😄


View: https://youtu.be/LDHJ9lHmZzA?si=c2ok9fyw5jJuR4Ug
We kapime akili zako kama unadhani vita ni kuwauwa watoto, wanawake, wagonjwa, kuvunja majumba.

Nakuliza Hamasi wapo au mmeisha wamaliza?

Na vipi matekwa wenu mmeisha wakomboa?

Pole sana leo Tela Aviv imepigwa hata Iron dome imelala haikushtuka 😄
 
Mbona kaongea utumbo tu
America nasikia katuma ujumbe nchi za kiarabu atafanya kila njia kusimamisha vita hataki vita.

Na watalipa yeye na Saud Arabia ghara zote za kujenga Gaza, kabla ya masaa 24 ujumbe alifikishiwa Nasurlah na Qatar.

Na pili Natanyahau ndio bye bye na Hamasi ataendeleza kichapo mpaa Israel awache vita kwa masharti ya Hamasi.

Akiendelea kupiga civilian Hezbullah ataingia na Israel total war
 
Tutajie silaha ya jeshi la Marekani inayotumika na Israel vitani Gaza
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaani mkuu saa nyingine unaikuza Israel mpaka unatia kinyaa aisee.

Kwa hiyo hizo ndege anazo tumia zinatengenezwa tz?

Leo Marekani kapitisha msaada ya $ billion 14 za msaada kwa Israel kuendesha vita kwenye ukanda wa gaza.
 
Wangekuwa wanaya jua hayo mahandaki wange kuwa wamesha jua mateka walipo.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaani mkuu saa nyingine unaikuza Israel mpaka unatia kinyaa aisee.
Israel ni dhaifu kama mnavyosema. Ipige sasa mbona maneno mengi.
Kwa hiyo hizo ndege anazo tumia zinatengenezwa tz?
Ndege wanazotumia Israel ni za jeshi la Marekani?
Ni lini USAF ilitumia F-35I Adir?
Lini USAF ikatumia F-15I Thunder?
Lini USAF ikatumia F-16I Soufa?

Kutengenezwa na kuwa za Marekani ni vitu viwili tofauti sana. Kwamba kwa sababu Tanzania tuna J-7G maana yake tunatumia silaha za jeshi la China. Si tulinunua. Yani nikuuzie gari alafu niseme ni langu?
Leo Marekani kapitisha msaada ya $ billion 14 za msaada kwa Israel kuendesha vita kwenye ukanda wa gaza.
Kama ambavyo Iran inapitisha silaha kwenda Hamas na Hezbollah na makundi mengine.

Silaha zipi za jeshi la Marekani zipo pale Gaza?
 
Israel ni kama jimbo la 51 la US, misaada ya US inawabeba sana.
Sasa mwenzako Almata 14 hataki kukubali hilo ila yeye ana amini Israel inasimama kwa uwezo wake.
 
Wangekuwa wanaya jua hayo mahandaki wange kuwa wamesha jua mateka walipo.
Si ndio wanayabomoa. Au unadhani kukaa na mateka kutawasalimisha na kipigo cha mbwa koko. Mahospitali yenu yaliyopo juu ya maandaki nayo yatapigwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…