MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
Started three weeks agoLabda umefichwa chini ya ardhi. Mimi nipo Mkuranga najinea sasa hivi live:
View: https://www.youtube.com/live/eeQDv8QlHZk?si=qX9c-POQnq9iSfRM
Sikuwai kudhani we kibibi ni mpumbavu kiasi hiki.Kuna habari tatu za kushangaza sana kwenye hii vita;
1) Wanajuwa kabisa wanpigwa kuytokea wapi na wanatuma ndege za kivita kwenda kupiga na makombora ya mbali (missiles) lakini cha kushangaza wakienda walipopiga wanapigwa wao.
2) Maaskari wa kizayuni wanaotoka Ghaza wengi wanarudi kwa kupatwa na majanga ya kupiga kelele hovyo na kuona, majegajega, vitu ambavyo wengine hawavioni (hallucinations), askari mmoja kasema alikuwa kwenye kifaru kikapigwa akawahi kutoka, akaona kazungukwa na vifaru zaidi 20 akwa anapiga kelele niwachieni maisha yangu, naondoka sirudi " anasema "wakniwachia". Cha kushangaza ni kuwa wapalestina hawana kifaru hata kimoja.
3) Wayahudi wanapigana na majeshi makundi kwa makundi lakini wanayaona wao tu.
Sasa hivi mazayuni wanachukuwa wanajeshi wa kulipwa (merceneries) kutokea dunia nzima, wanawalipa Dollar 4,0000 kwa wiki.
View attachment 2813095
Iron done ilikuwa imelalaogopa sana kupigana na mtu ambaye hana cha kupoteza, inamaana mpaka sasa Israel hawajajua makombora yanatokea wapi!
Unafahamu kuwa idf wameanza kuchukuwa askari wa kukodi?Sikuwai kudhani we kibibi ni mpumbavu kiasi hiki.
Kakojoe ulale
Ulishakufa ukajua au? Mkatae mudi uokoe nafsi yako ..........kristo tumaini letuKafiri utapata tabu sana. Ukiwa mkiristo halafu ukafa bado ni mkiristo basi maisha baada ya kufa yatakuwa magumu mno
hana cha kupoteza?ogopa sana kupigana na mtu ambaye hana cha kupoteza, inamaana mpaka sasa Israel hawajajua makombora yanatokea wapi!
umeamka Na njaa full house umesahau kabisa sex differentiation
Unataka kusema hawana support? Hiyo ni kawaida ya vikundi vya kigaidi vinavyoshambulia kwa kuvizia haina tofauti na Alshabaab kule Somalia, Boko Haram Nigeria na ISIS kule middle east pamoja na Taliban Afghanistan, huwez kuwakuta Wana ndege za kivita, vifaru nk ila wamejizatiti kwahiyo unapopambana nao usipokuwa makini watasababisha hasara kubwa.,View attachment 2813132
Inaonekana hamas wangekuwa na support kidogo tu Israel wangepata tabu sana.
Taliban ndo wnaongoza nchi kule Afganistan. Ndo wenye Serikali. wanamili hadi ndege za kisasa za kivita zilizotelekezwa na Jeshi la US wakati linaondoka Afganistan.Unataka kusema hawana support? Hiyo ni kawaida ya vikundi vya kigaidi vinavyoshambulia kwa kuvizia haina tofauti na Alshabaab kule Somalia, Boko Haram Nigeria na ISIS kule middle east pamoja na Taliban Afghanistan, huwez kuwakuta Wana ndege za kivita, vifaru nk ila wamejizatiti kwahiyo unapopambana nao usipokuwa makini watasababisha hasara kubwa.,
Yesu Hana pepo Wala motoUtakumbuka utakapokuwa motoni kuwa nilisema na wewe na Malaria 2
Kabla majeshi ya US hayajaondoka Taliban walikuwa wanamiliki nini?Taliban ndo wnaongoza nchi kule Afganistan. Ndo wenye Serikali. wanamili hadi ndege za kisasa za kivita zilizotelekezwa na Jeshi la US wakati linaondoka Afganistan.
Walikuwa wanamiliki vifaru, ndege vita na silaha zote kali unazosisikiaga. Kumbuka Taliban walikuwa wakiongoza AFGANISTAN KWA MIONGO MINGI KAMA sERIKALI KAMILI. Hivyo katika miaka yote ya uvamizi qwa US walikuwa hawajasarenda solaha zao na kambi zao milimani. Pia kumbuka Taliban walikuwa wakipata silaha kutoka RUSIA, IRAN na kutoka nchi nyingine zenye mrengo tofauti na US. Taliban siyo kama Alshabab na Boko haram. Taliban ni jeshi kamili kama ilivyo kwa Hizbullah. Taliban ni zaidi ya WEGNER maana Wegner haina Serikali lakini Taliban ilikuwa na Serrikali kamili na sasa ina Serikali kamili.Kabla majeshi ya US hayajaondoka Taliban walikuwa wanamiliki nini?
Walikuwa wanamiliki vifaru, ndege vita na silaha zote kali unazosisikiaga. Kumbuka Taliban walikuwa wakiongoza AFGANISTAN KWA MIONGO MINGI KAMA sERIKALI KAMILI. Hivyo katika miaka yote ya uvamizi qwa US walikuwa hawajasarenda solaha zao na kambi zao milimani. Pia kumbuka Taliban walikuwa wakipata silaha kutoka RUSIA, IRAN na kutoka nchi nyingine zenye mrengo tofauti na US. Taliban siyo kama Alshabab na Boko haram. Taliban ni jeshi kamili kama ilivyo kwa Hizbullah. Taliban ni zaidi ya WEGNER maana Wegner haina Serikali lakini Taliban ilikuwa na Serrikali kamili na sasa ina Serikali kamili.
Wewe ndo huelewi. Kuwa na free mind ndo unaweza kujua ukweli wa mambo. Jeshi la marekani ahiwezi kuwakimbia wana mgambo wasio na silaha. Kumbuka lengo la marekani kuivamia Afghanistan ni kuitoa Taliban na mwaka juzi wanaondoka wameikabidhi ten nchi kwa Taliban.Huna unachokielewa.
Aisee kumbe mpo ambao kusoma kuna wapa shida sana eeh?Hawajifichi shimoni Tena,unataka tuwaamini Israel!?.. Israel hawaaminiki,waongo tangu zamani,Sasa hivi wamepunguza idadi ya wahanga wa shambulio la Hamas kwa 200+,kuhusu kuchinja watoto ilikua uwongo tu hawana ushahidi,kombora lilitua hospital halikua la Hamas ni lao,bado unawaamini!?
Akili hauna, na ukome kunifuata inbox mm sio cheap unavyofikiria, najitosheleza kwa kila kitu,
Tel Aviv ya bonyokwaMimi niko uku Tel Aviv ila sijaona wala kusikia kitu kama icho.
#PrayForPeace 🇵🇸🇮🇱