Mbona hujaweka takwimu?Mfalme wa Uingereza Charles III ndio Mkuu wa Kanisa la Anglikana kwa sasa na nchi yake inasadikiwa kuwa na Waislamu Wengi zaidi barani Ulaya
Uingereza imejikuta ikiwa mdau muhimu kwenye Vita ya Israel na Palestine kuliko yenyewe ilivyojikadiria
Tuzidi kuwaombea!
Soma ueleweAisee kumbe mpo ambao kusoma kuna wapa shida sana eeh?
Wapi nimeandika wanajificha shimoni?
Taja Waziri Muislamu pale UingerezaMfalme wa Uingereza Charles III ndio Mkuu wa Kanisa la Anglikana kwa sasa na nchi yake inasadikiwa kuwa na Waislamu Wengi zaidi barani Ulaya
Uingereza imejikuta ikiwa mdau muhimu kwenye Vita ya Israel na Palestine kuliko yenyewe ilivyojikadiria
Tuzidi kuwaombea!
Mfalme wa Uingereza Charles III ndio Mkuu wa Kanisa la Anglikana kwa sasa na nchi yake inasadikiwa kuwa na Waislamu Wengi zaidi barani Ulaya
Uingereza imejikuta ikiwa mdau muhimu kwenye Vita ya Israel na Palestine kuliko yenyewe ilivyojikadiria
Tuzidi kuwaombea!
| |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
Punguza uongo,Mfalme wa Uingereza Charles III ndio Mkuu wa Kanisa la Anglikana kwa sasa na nchi yake inasadikiwa kuwa na Waislamu Wengi zaidi barani Ulaya
Uingereza imejikuta ikiwa mdau muhimu kwenye Vita ya Israel na Palestine kuliko yenyewe ilivyojikadiria
Tuzidi kuwaombea!
Wasalimie Hapo Mjengoni Machame π
2021-22 Census[54] Religion England Wales England and Wales[55] Scotland Great Britain Number % Number % Number % Number % Number % Number %Christianity 26,167,899 46.3 1,354,773 43.6 27,522,672 46.2 1,516,147 79.7Islam 3,801,186 6.7 66,947 2.2 3,868,133 6.5 10,870 0.57Hinduism 1,020,533 1.8 12,242 0.4 1,032,775 1.7 4,190 0.22Sikhism 520,092 0.9 4,048 0.1 524,140 0.9 389 0.02Judaism 269,283 0.5 2,044 0.1 271,327 0.5 439 0.02Buddhism 262,433 0.5 10,075 0.3 272,508 0.5 1,542 0.08Other religion 332,410 0.6 15,926 0.5 348,334 0.6 8,917 0.5No religion 20,715,664 36.7 1,446,398 46.5 22,162,062 37.2 330,983 17.4Religion not stated 3,400,548 6.0 195,041 6.3 3,595,589 6.0 30,529 1.6Total population 56,490,048 100.0 3,107,494 100.0 59,597,540 100.0 1,903,178 100.0
πππππ₯Punguza uongo,
Christian 30%
Muslims 6.7%
jibu hoja, ya machame ni ya Mbowe the Great!Wasalimie Hapo Mjengoni Machame π
Ndivyo itakuwa miaka ijayoMfalme wa Uingereza Charles III ndio Mkuu wa Kanisa la Anglikana kwa sasa na nchi yake inasadikiwa kuwa na Waislamu Wengi zaidi barani Ulaya
Uingereza imejikuta ikiwa mdau muhimu kwenye Vita ya Israel na Palestine kuliko yenyewe ilivyojikadiria
Tuzidi kuwaombea!
Unaelewa maana ya " kubadilika kwa Kasi"?jibu hoja, ya machame ni ya Mbowe the Great!
Waafrikaa hatuna ideology....bahati mbaya waafrika tunatumikia ideology za waarabu na wazunguNdivyo itakuwa miaka ijayo
Na ndivyo itakuwa Kwa Waafrika kuwa wengi Duniani.
Umeipata wapi hii?Punguza uongo,
Christian 30%
Muslims 6.7%
Afadhali kuwa hivyo kuliko kuwa muumini wa ibilisi na mwisho uende π₯Kafiri utapata tabu sana. Ukiwa mkiristo halafu ukafa bado ni mkiristo basi maisha baada ya kufa yatakuwa magumu mno
Hii sharia haiwezi kufaulu popote kwa sababu hata waislamu wengi tu hawaipendi na ndio maana wanapenda kukimbilia nchi za magharibi ili kuikwepa.Haha sasaivi wako chini ya 1% tayari watu wanajilipua na kelele zimeshaanza....wakifika hata 10-15% tayari utasikia wanataka Sharia law
Wakifika 50% tu mmeisha maana watafosi Sharia kwa nguvu
Nakuonea huruma mkuu.Yesu Hana pepo Wala moto
Hakutumwa Ila kwa kondoo waliopotea wa IsraelNakuonea huruma mkuu.
Ona hapa.π
Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.(Mathayo 28:18)
Mkuu,angalia tena hapa.πHakutumwa Ila kwa kondoo waliopotea wa Israel
Sikitumwa Ila Kwa kondoo waliopotea wa Israel....kila goti litapigwa na ulimi kukiri ya kwamba wewe ndiye Mungu mkuu na yesu 'uliyemtuma'....nitahukumu makabila kumi na mawili ya Israel..je waweza chukua chakula Cha watoto na kumpa mbwa!?Mkuu,angalia tena hapa.π
18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari. (Mathayo 28:18-20).