LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Tunapiga hata anayemsalimia mtu Hamas, hata awe kwenye hali gani
 
At least 50 Zionist soldiers have been killed in the last 48 hours in Gaza Strip.

A worker working in an Israeli military cemetery:
"A funeral comes to us every hour or 90 minutes, and we buried 50 dead in two days."View attachment 2818590
Wakifa Israel ni wanajeshi ila wakifa wapalestina ni wanawake na watoto kwa hiyo Hamas hawafagi? Hizi propaganda za wafia dini za kupigana huku wanatafuta huruma wanapozidiwa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Amepiga mji wa Eilat wa Israel zaidi ya mara 20 kwa makombora na yamelenga shabaha unataka ushahidi gani tena wa kuprove?
Yemen kuna serikali na maharamia kama hamas ......wanaopiga sio serikali ....ni vigumu kuwashambulia sababu maKobazi wanajificha kwa raia....
 
Wakishika dola wanakuwa kama Talibans, utawala usio na maendeleo ya uchumi.
 
Sasa imekuwaje wameshindwa kuwaokoa mateka wa Hamas?
 
Kwenye video yanasikika yakibwatuka allah akbar akbar na kulipuka...
Ndio video ya kwanza mimi kuona haya mazombi ya kidini yakijilipua, aisei kweli dini ni shida...hehehe!!!
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…