Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kweli mkuu. Isreal wauajiBada ya kuua watu wasio na hatia, Pambafu kabisa,
Kusini hakuna siku kumeachwa bila kupigwa.Hesabu za waliokufa hakuna siku inakuwa chini ya 50Ila operation ikianza kusini mwa Gaza usibadili tune ya wimbo na kuanzia kulia lia.
Fanya utafitikwahiyo wagner wapo upande upi
wa israel au palestina
kazi ipi hiyo😂😂 Waislamu kazi mnayo
Fanya uchambuzi wako vizuri. Huu mgogoro una kila dalili ya kusambaa na kuwa mkubwa
- Urusi na ukrain vp si tulitegemea kusambaa lkn mbn haijawa hivyo
Akiwepo Kijana Wetu.Taarifa ndio Hiyo
Hamas wataachia Mateka baada ya kushauriana na kukubaliana na Marekani lakini Mateka 60 waliuawa kwenye mashambulizi ya IDF
Ikumbukwe Mateka wengi Wana Uraia Pacha
Source Al jazeera news
Tumuombe Bilionea Sugu aongee na Biden kijana wetu arudiAkiwepo Kijana Wetu.
Sasa hapo ndio dini ya nani imeshinda sasa..?mambo ya kipuuzi kabisa roho za watu wasio na hatia zimehangamia miundombinu ya matririoni imeteketea.Taarifa ndio Hiyo
Hamas wataachia Mateka baada ya kushauriana na kukubaliana na Marekani lakini Mateka 60 waliuawa kwenye mashambulizi ya IDF
Ikumbukwe Mateka wengi Wana Uraia Pacha
Source Al jazeera news
Kasome 1 Samwel 15:3-4Sasa hapo ndio dini ya nani imeshinda sasa..?mambo ya kipuuzi kabisa roho za watu wasio na hatia zimehangamia miundomjinu ya matririoni imeteketea.
Dini nyingi duniani zimeharibu maisha wa binadamu badala ya kujenga.
Hayo makubaloano wamefanya maarekani, baada ya kuwaachia IDF itaendeleza kipigo tuTaarifa ndio Hiyo
Hamas wataachia Mateka baada ya kushauriana na kukubaliana na Marekani lakini Mateka 60 waliuawa kwenye mashambulizi ya IDF
Ikumbukwe Mateka wengi Wana Uraia Pacha
Source Al jazeera news
Ugomvi wa Israel Hamas makubaliano yanafanywa na MarekaniTaarifa ndio Hiyo
Hamas wataachia Mateka baada ya kushauriana na kukubaliana na Marekani lakini Mateka 60 waliuawa kwenye mashambulizi ya IDF
Ikumbukwe Mateka wengi Wana Uraia Pacha
Source Al jazeera news