4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
ni sw wapalestina 700 wafe ili muue waisrael 60Jamani askari 60 kufa kwa mkupuo ni wengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni sw wapalestina 700 wafe ili muue waisrael 60Jamani askari 60 kufa kwa mkupuo ni wengi sana
Muisrael mweusi wa Moshi Bar Banana.ni sw wapalestina 700 wafe ili muue waisrael 60
Sasa mbona na wewe unashabikia [emoji1787]?Vijana bado mna UJINGA kichwani hii sio vita ya kushabikia Kwa MTU mwenye Akili timamu.
Ndani ya masaa 24 yaliyopita wamekufa wapalestina zaidi ya 700 wakiwemo watoto zaidi ya 200. Watoto wasio na hatia wanakufa Kwa mkupuo mmoja alafu bado mnashabikia? Toka vita imeanza haijawahi kutokea mauaji makubwa kama ya Leo, ukiangalia Al Jazeera utatokwa na machozi jinsi watoto wanavyopoteza familia nzima
Sema ni sawa muuwe wanajeshi 60 wa IDF. Hao waisraeli wanaopigwa na rockets huko ndani ya Israel kutoka kwa hamas na Hezbollah ni siri yake Netanyahu na IDF.ni sw wapalestina 700 wafe ili muue waisrael 60
Makoleo hadi huku yapo.Al-Aqsa Martyrs Brigades ambushed a group of Israeli soldiers in northern Gaza, killing them and seized their weaponsView attachment 2832276
hatutak vilioAcha wakafe Mazayuni hayawezi guerilla war
Hata akifa yahudi mmoja ni hatuani sw wapalestina 700 wafe ili muue waisrael 60
Bado kuna zingine umesahau..
Ww ndo mjinga hivi kwenye mada hiyo kuna sehemu imeandikwa kuwa ana shabikia au anafirahia kinacho endelea?Vijana bado mna UJINGA kichwani hii sio vita ya kushabikia Kwa MTU mwenye Akili timamu.
Ndani ya masaa 24 yaliyopita wamekufa wapalestina zaidi ya 700 wakiwemo watoto zaidi ya 200. Watoto wasio na hatia wanakufa Kwa mkupuo mmoja alafu bado mnashabikia? Toka vita imeanza haijawahi kutokea mauaji makubwa kama ya Leo, ukiangalia Al Jazeera utatokwa na machozi jinsi watoto wanavyopoteza familia nzima
Makombora ya walebanon yanapenya kwenye kambi za IDF kila siku bila kizuizi chochote kile.Walebanon wapo kimya