maranguvillage
JF-Expert Member
- Sep 8, 2023
- 935
- 2,096
Allahu AkbarHezbollah destroyed an Israeli M113 APC and other targets in Beit Hillel causing 11 casualties.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Allahu AkbarHezbollah destroyed an Israeli M113 APC and other targets in Beit Hillel causing 11 casualties.
Hilo ndilo lengo kuubwa la waarabu, Waisrael hawatovumilia Hilo.Watu waliohamishwa miji ya kaskazini ya Israel ni maelfu kwa maelfu na wamekasirika sana kwani wanaishi kwa tabu maeneo waliyopelekwa ilipodhaniwa vita vingekuwa vya muda mfupi na wao kurudi majumbani mwao.
Hao mabikira labda mmoja wapo ni dada yako, sababu kwenye uislam hakuna kitu kama hicho hizo ni hadithi za kikristo tu tunazisikia kwenu tu.Na magaidi wa Hamas wenyewe wangapi wameshapelekwa kwenda ahera kupewa mabikra 72 na pombe inayotiririka kwenye mito ya huko.
Wewe unaogopa nini, Mimi nafulahia vita viendelee ili ubabe wa Israel ukome kama ulivyo koma Lebanon,sasa hivi Israel inaogopa Lebanon kwa ligi walio Kutana nayo 2016, Israel hata akiua watu laki 5 lkn na yeye apate machungu ya vitaWw ndo mjinga hivi kwenye mada hiyo kuna sehemu imeandikwa kuwa ana shabikia au anafirahia kinacho endelea?
Hivi hizi tabia zenu za kuwapangia wenzenu kipi cha kuandika zitaisha lini?
Yeye karipoti kinacho endelea vitani na wala hakuna sehemu aliye sema anaunga mkono vita.
Suala la kushabikia au kutoshabikia haliwezi kubalisha chochote maana haliwezi kufanya vita hiishe.
Wenye wajibu wa kuhakikisha mauaji hayo yana koma ni washiriki wa hiyo vita hasa hasa Israel na wanao mpa silaha wakiongozwa na Marekani ambaye ameshindwa kupigana vita badala yake anauwa watu kiholela.
Mimi na wewe tunategemea kupata taarifa kutoka vyanzo vya mataifa ya magharibi..kwahiyo usitegemee kusikia taarifa mbaya kuhusu Israel,mashambulizi yanayofanywa dhidi ya Israel mengi wanajitahidi kuuficha ulimwengu.Walebanon wapo kimya
Hivi unajua kwamba Israel inadhibiti taarifa kwenye battle ground?Yaani wafe wote hao afu Aljazeera wakae kimya
Mashallah Allah is great!twitter.com/atras10/status…
Apparently Yemen bombs the Israeli cargo ship "Unity Explorer"
Zionist slaves American military ships and others came from Western bases in Djibouti Trying to rescue the Israeli cargo ship Unity Explorer which has now sunk in the Red Sea after being bombed from Yemen. By by. No where safe for zionist scumsView attachment 2832613View attachment 2832614
Kitendo cha kuua watoto huenda lengo ni kupunguza vijana wa baadae. Kimsingi Israel na Palestine kila mmoja anatamani kufuta kizazi cha mwenzako completelyHamas hawauwi watoto na wanawake,taifa takatifu linaua watoto,wanawake na vikongwe shame on you.