LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Israeli huyu anaesumbuliwa na Wanamgambo miezi mitatu sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anasumbuliwa?
Hivi ulielewa maana ya kufuta kizazi chote cha hao mgambo?
Ni mass killing, Ofcourse na wao wanajitetea.
Tena huwa operation mara nyingi inaanza ijumaa.
Uliza j3 idadi iliyoongezeka.
We kaa hapo unakenua kenua tu.
Andazi kweli kweli
 
Anasumbuliwa?
Hivi ulielewa maana ya kufuta kizazi chote cha hao mgambo?
Ni mass killing, Ofcourse na wao wanajitetea.
Tena huwa operation mara nyingi inaanza ijumaa.
Uliza j3 idadi iliyoongezeka.
We kaa hapo unakenua kenua tu.
Andazi kweli kweli
Gaza kuna Wapalestina zaidi ya milioni tatu hao 17000 waliouwawa ni % ndogo sana Israel hawezi kuepuka kipigo atapigwa tu take asitake...
 
Unajua lengo kuu la watu kupigana vita siku zote ni kulinda uhuru wao, ardhi yao,watu wao,n.k

Mfano tunaona wanavyofanya Russia na Ukraine wanapambana katika namna ambayo inaepusha madhara Kwa raia wa kawaida.

Sasa unazungumziaje hii mitindo ambayo haya makundi kama houthi,hamas, Hezbollah,n.k ambayo hupambana Katika namna inayoleta madhara makubwa sana kwa raia wasio na hatia ambao hupaswa kuwalinda???

Mf Leo hamas wapalestina 19k wameuwawa, does it worth to call victory???

Tumeona Yemen humanitarian crisis, mfano Saudi Arabia akafanya real war bila kujali madhara ya kibinadamu ,unadhani hao houthi watashinda???
Urusi anaweza kupigana na Ukraine na kuepusha madhara kwa sababu ana nguvu a teknolojia ya kutosha kuepusha hayo. Wewe unadhani hivyo vikundi na israeli nani mwenye nguvu na teknolojia ya kutosha kuepusha madhara ya raia wasiyo na hatia?
 
Ukiibariki Israel unabarikiwa, ukiilaani basi umeshalaaniwa
 
Katikati ya vita Israel ilikuwa inapiga kwa nguvu mahospitali na wagonjwa,baadae wakahamia kwenye mashule na wanafunzi.
Israel sasa inaonekana wazi imechanganyikiwa baada ya kuuliwa maafisa wakubwa wa jeshi lake akiwemo mtoto wa ndugu wa mke wa waziri mkuu,mtoto wa waziri katika baraza la vita na generali katika kikosi cha Golani.
Kuchanganyikiwa huko sasa ikiona inalipiza kisasi inaua mateka iliyodai itawarudisha kwao wakiwa salama.Mateka watatu imewaua wakisema ilikuwa ni bahati mbaya.
Mashirika kadhaa ya habari yamelalamika waandishi wake kupigwa kwa makusudi ili kuzuia kurusha habari za unyama wao.Mwandishi wa Aljazeera Sameer Abudaqqa ni miongoni mwa wahanga wa karibuni ambaye ameuliwa jana na kombora la droni alipokuwa akiripoti na wenzake kwenye shule jya umoja wa mataifa iliyopigwa na kusababisha vifo kadhaa kabla yake.
Waziri mkuu wa Palestina ameuambia umoja wa mataifa kuwa Israel inawaua waandishi wa habari kwa makusudi ili kuzui kuuonesha ulimwengu unyama wake inaowafanyia wapalestina.
Hali ya kuchanganyikiwa kwa Israel kunatoa dalili kuwa imehusika moja kwa moja na vifo vya mateka wa kitanzania halafu ikaidanganya serikali ya Tanzania kuwa mateka hao waliuliwa na Hamas.
 
Katikati ya vita Israel ilikuwa inapiga kwa nguvu mahospitali na wagonjwa,baadae wakahamia kwenye mashule na wanafunzi.
Israel sasa inaonekana wazi imechanganyikiwa baada ya kuuliwa maafisa wakubwa wa jeshi lake akiwemo mtoto wa ndugu wa mke wa waziri mkuu,mtoto wa waziri katika baraza la vita na generali katika kikosi cha Golani.
Kuchanganyikiwa huko sasa ikiona inalipiza kisasi inaua mateka iliyodai itawarudisha kwao wakiwa salama.Mateka watatu imewaua wakisema ilikuwa ni bahati mbaya.
Mashirika kadhaa ya habari yamelalamika waandishi wake kupigwa kwa makusudi ili kuzuia kurusha habari za unyama wao.Mwandishi wa Aljazeera Sameer Abudaqqa ni miongoni mwa wahanga wa karibuni ambaye ameuliwa jana na kombora la droni alipokuwa akiripoti na wenzake kwenye shule jya umoja wa mataifa iliyopigwa na kusababisha vifo kadhaa kabla yake.
Waziri mkuu wa Palestina ameuambia umoja wa mataifa kuwa Israel inawaua waandishi wa habari kwa makusudi ili kuzui kuuonesha ulimwengu unyama wake inaowafanyia wapalestina.
Hali ya kuchanganyikiwa kwa Israel kunatoa dalili kuwa imehusika moja kwa moja na vifo vya mateka wa kitanzania halafu ikaidanganya serikali ya Tanzania kuwa mateka hao waliuliwa na Hamas.
Kashapoteza dira na malengo hajui lifuata lo
 
Yaani hapo baaado hamjasema😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂


Kwani ile october 7 mlifanyeje!!?
Acheni wadudu wakuliwe tuu.
 
Yaani hapo baaado hamjasema😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂


Kwani ile october 7 mlifanyeje!!?
Acheni wadudu wakuliwe tuu.
Waulize wayahudi ile mwaka 1947,1948,1967,1973,2005,2014,2021,2022 n.k walidhani watu watasahau.
 
1702715212733.png


Allah awafungue nyoyo wagundue uzuri wa Uislam na waukubali, awaongoze katika Uislam waondokane na Ushirikina, ukafiri, "woke" culture na ushoga ushoga. Waondokane na lifestyles zinazowapa depression na kusababisha rate ya suicide kuwa kubwa miongoni mwao. Warudi katika Uislam, warudi katika asili yao, warudi katika Dini ambayo watamuabudu Allah peke Yake bila mshirika yoyote, wapate furaha ya kweli, Dini watakayojifunza subra ya kweli waache kujiua au kupatwa depression kali kwa sababu ya mitihani inayowakumba. Allahumma Aameen.

Allah awanusuru ndugu zetu walioko Palestine na awape ushindi dhidi ya adui zao. Allahumma Aameen.
 
H I xi ndiy8 sqbabu mazayuni wanawauwa waandishi wa habari:

🔻⚡ BREAKING: 4,836 Zionist Soldiers Killed in Gaza

⭕ - Journalist Ariel Shimon was expelled from the prominent newspaper 'Yedioth Ahronoth', for disclosing the true extent of IDF losses in Gaza.

In the last 68 days, the casualties count, as verified by Ariel Shimon are as follows:

⭕ 4,836 Zionists killed
⭕ 18,000+ Injured
⭕ 1,315 serious injuries
⭕ 2,719 permanent injuries
⭕ 3,145 mental breakdowns

✍ - The catastrophic losses the Zionist entity has suffered in the Gaza Strip are not only unprecedented but plainly displays the failure of their operation. The only victory the IDF can claim is the number of schools and hospitals it destroyed, and the number of massacres it committed against civilians

As noted by some analysts, this Zionist entity with its army and advanced weapons, which cannot defeat a small number of fighters, would cease to exist if Western support stops. Such is the fragility of this illegitimate state.

May the eyes of the cowards never sleep!

🔗 Twitter/X : x.com/AqsaFrontline
🔗 WhatsApp : Stand For Palestine (Group 9)
🔗 Telegram : t.me/Stand4Palestine
 
Mazayuni kwisha kazi yao, wanaomba poo.

Wameanza kujiondoa kimya kimya kwa kusuasua.

Na wanaochelewa chelewa wanachezea kichapo.
 
Hii Vita imeenda sambamba na uhalifu mkubwa wa kivita ndani yake.

Mabeberu wameikingia kifua Israel na kuisaidia kuficha huu uhalifu na kukwepa uwajibikaji.

Dunia haina usawa hata kidogo

 
Back
Top Bottom