LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Unaweza kukuta hilo handaki lilikuwepo kitambo sana na inawezekana lilijengwa na hao hao Israel kipindi hicho wanaikalia Gaza. Siku hizi habari za kwenye internet sio za kizikurupukia
Tazama footage ya hilo tunnel, ukitazama kama walifukia matank vile sehemu za ukuta afu yanakutu, na foundation ni vyuma vipya kabisa haha hi ni film ya kihind kabisa 😄

Afu foundation yenyewe kama haikujengwa,vyuma vinaonekana kabisa hata wanamgambo wa Hamasi wakikimbia mle vyuma vitawanasa miguu yao, gari au piki piki zitatobolewa matyres, hawa Israel hawajui kudanganya.






View: https://youtu.be/HGYvqSe_FZM?si=rGibgIJX-Per7ix9Si
 
vp
vp kuhusu mateka washawapata!!!
au ndo tuje tuzungumze tubadilishane!!!
 
Nakumbuka ulisema Israel hawajasonga mbele hata inch moja
 
Mzee wangu dini imekupofusha kabisa mzee
 
Huu mchezo umeingia kwenye kiwango kingine, ni mwendo wa kuonyeshana ubabe kwenye matumizi ya akili.....


Nearly 70% of Iran’s gas stations went out of service following possible sabotage — a reference to cyberattacks, Iranian state TV reports.

The report says a “software problem” caused the irregularity in the gas stations. It urges people not to rush to the stations that were still operational.

State TV quotes a statement by the Oil Ministry as saying more than 30% of gas stations remain in service. The country has some 33,000 gas stations.

An Israel-linked hacker group dubbed “Gonjeshke Darande,” or “predatory sparrow,” claimed the cyberattack.
 

Wanawake wanahitajika wakapanue miguu kule wazalishwe upya maana kizazi kinafutika, wewe ungekua mmoja wao sema tatizo ni Mwafrika na kama kawaida Waarabu hawapendi Waafrika, hata yule 'mungu' wako muddy alichukia sana weusi

 

Israel waliwaacha mjenge hayo mahandaki, kisha wakasubiri muingie chaka ya kuwachokonoa ili waifute Gaza

 
vp

vp kuhusu mateka washawapata!!!
au ndo tuje tuzungumze tubadilishane!!!

Kwa sasa habari ni kufuta Gaza, uliona Israel wanaua mateka wenyewe maana kwamba hawana muda nao, kwa kifupi HAMAS hawana pakutokea...

 
Wameidukua Iran ila mpaka sasa wameshindwa kudukua mawasiliano ya Hamas kujua mateka walipo?
Hizo propaganda za kuipamba Israel zilizimwa na Hamas October 7.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Pale Gaza Israel nia yao kubwa sio mateka, ni kuifuta Gaza.....na ndio maana uliona juzi wenyewe wanaua hao mateka.
Hao HAMAS wenu wako kwenye shida sana maana hamna namna ila kuwahishwa kwa mabikira.

 
Hamna namna.
Israel Wana machungu lakini pia palestina wamepoteza ndugu wengi na Dunia haitaki kuingilia kati. So tuache wanaume wachapane kule hakuna ushirikina ni mwendo wa chuma
 
Ingekuwa kwenye nchi za wenzetu ambako kuna tawala na Mamlaka ambazo ziko serious sana na Masuala ya Ulinzi na Usalama wa Wananchi wao, basi watu wanaohusika na masuala ya Counter-intelligence and Counter-terrorism wange-deal na wewe kindakindaki kabisa mpaka kieleweke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…