Roboti Wa Nape
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,174
- 2,876
Kwa threads za wajahidina humu a.k.a Muhammadan Israel keshafutika kabisa kwenye ulingo wa Dunia maana kila siku wanapigwa na kuuawa.
Niliona habari kama hii na idadi hii hii mwez October 2023. Imejirudia au?
Vita vyenye ushabiķi hivi sio mchezo kabisa!
Hamas wameshinda tayari. Njooni tumshangilie Allah.Hamna lolote hao wamekimbia afu wanajidai North Gaza wapo wameisha iteka 😄 labda Gaza ya Netanyahu sio hio Gaza tunayo ifahamu sisi?
Wanahamia kuzichapa nahizbola kwanzaHamas wameshinda tayari. Njooni tumshangilie Allah.
Kwani we unadhani Mabillion ya US na Ya Western yameishia wapi si yamechomwa na Hamasi ohh sisi tunaifuta Hamasi oh sisi tutaitawala Gaza oh sisi oh sisi.Hamas wameshinda tayari. Njooni tumshangilie Allah.
😃😃 Naona wateule wa mungu wanakibia na magari.
View: https://youtu.be/jE1_wbj9zQ8?si=OxTnLgyTcm_4FmNa
Leta hivi wengine wanakimbia hio ilikuwa Central command ya waisrael
Wayahudi wanampinga Allah aliesema Yesu ni mtume wake?Myahudi anasema Yesu hakuwa hata Mtume, wacha kuwa Mungu.