Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Nyie mnanyanyasana wenyewe kwenye nchi yenu mtajijua wenyeweMbona hapa Tanzania polisi wanawanyanyasa sana wananchi wakiwemo mabibi zetu ila hampazi sauti?
Uongo mtupu lini wamefukua makaburi ,akili za masjid bhana, yaan uchukue kiungo cha maiti mtu aliyekufa uliona wapi ,View attachment 2865406
Source: TRTWORLD
Kama muonavyo clip ya mama mtu mzima, akisukumwa na kuanguka hadi chini, huu sio ubinadamu haswaa, huu ushenzi wanaoufanya mazayuni dhidi ya wapalestina kamwe huwezi kukuta Hamas’s wakifanya.
Aliemsukuma mama huyo ni mwanajeshi wa kizayuni mwenye asili ya uafrika, kama mnavyoona akifanyiwa ukatili huo.
N:b Unawezaje kuwasapoti na kuwaunga mkono watu hawa wasio na utu, wala huruma kwa binadamu wenzao, hawaheshimu imani za wengine n.k! Kuna unyama mwingi sana wakiwafanyiaa watoto, wamama, wazee na vijana.
Imefikia hadi wanalipua makaburi ya waislamu na kuyafukua, na kuwachukua na kwenda kuwatolea viungo, huu ni ukatili uliopitiliza.
Ndugu yangu watanzania ni wanafiki sana, usiangaike nao
Nyie mnanyanyasana wenyewe kwenye nchi yenu mtajijua wenyewe
Hata mkiamua kuuana maadam ndio maisha mloyachagua uaneni tuuu
Uzuri duniani hakuna picha ya mtume,, so hivyo vibonzo vyako unavyoviweka hapa inanyesha ni jinsi gani akili yako ilivyo,, duniani kuna picha ya yesu tena mnaibandika mpaka kwenye majumba yenu mlivyokuwa wapumbavuWamejifunza kutoka kwa mudi s.a.w
Nyie si ndo juzi tu hapa limetoka agizo kutoka kwa mkubwa wenu papa mfihlwe na mbarikiwe kanisani,, na hata kule alikozaliwa mungu wenu yesu Israel ukijitangaza unahfilwah na ulinzi unapewa mbona unajitoa fahamu au ndo mkuyenge ushakunogea mpaka unaandika uharo,,,Unataka kuniambia mudi s.a.w alikuwa dini ya mashoga?
Si kwamba amesukumwa tu bali kwa kutaka kwend kuswali kwenye msikiti wa Alaqsa ambapo sala yake moja ina daraja kubwa kuliko misikiti mengine.Kwa utu uzima wake anataka akushanye thawabu zaidi kufidia makosa aliyotenda ujanani kwake.View attachment 2865406
Source: TRTWORLD
Kama muonavyo clip ya mama mtu mzima, akisukumwa na kuanguka hadi chini, huu sio ubinadamu haswaa, huu ushenzi wanaoufanya mazayuni dhidi ya wapalestina kamwe huwezi kukuta Hamas’s wakifanya.
Aliemsukuma mama huyo ni mwanajeshi wa kizayuni mwenye asili ya uafrika, kama mnavyoona akifanyiwa ukatili huo.
N:b Unawezaje kuwasapoti na kuwaunga mkono watu hawa wasio na utu, wala huruma kwa binadamu wenzao, hawaheshimu imani za wengine n.k! Kuna unyama mwingi sana wakiwafanyiaa watoto, wamama, wazee na vijana.
Imefikia hadi wanalipua makaburi ya waislamu na kuyafukua, na kuwachukua na kwenda kuwatolea viungo, huu ni ukatili uliopitiliza.
Alianza kupakuliwa mudi na nyie masjid mnapakuana vile vile au umesahau utamaduni wenu wa batchi baziBandiko lako ni copy and paste mahali kwa mjinga kama wewe,, hujui hata hicho ulichokikopy kipo au hakipo we umekibeba tu mahali as long kimekufurahisha,,, we unakubali kupakuliwa tangu lini ukazijua hadithi na quran,
Kama unamzungumzia mtume mohammad jua ya kwamba,,,Alianza kupakuliwa mudi na nyie masjid mnapakuana vile vile au umeasahau utamaduni wenu wa batchi bazi
Maustadh wanawadokoa mkiwa bado wadogo mkijifunza quran?
Muongo sio mpalestina , Ukoo wa daudi ni waisrael acha uzaramo wako bibiNaona hoja zimekushinda sasa unani "provoke" mimi personally.
Unafahamu kuwa Yesu alikuwa Mpalestina?
MKubalie tu afurahi maana ni furaha yao iliobakia hapo middle eastMuongo sio mpalestina , Ukoo wa daudi ni waisrael acha uzaramo wako bibi