LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Mbona hapa Tanzania polisi wanawanyanyasa sana wananchi wakiwemo mabibi zetu ila hampazi sauti?
Nyie mnanyanyasana wenyewe kwenye nchi yenu mtajijua wenyewe

Hata mkiamua kuuana maadam ndio maisha mloyachagua uaneni tuuu
 
View attachment 2865406
Source: TRTWORLD

Kama muonavyo clip ya mama mtu mzima, akisukumwa na kuanguka hadi chini, huu sio ubinadamu haswaa, huu ushenzi wanaoufanya mazayuni dhidi ya wapalestina kamwe huwezi kukuta Hamas’s wakifanya.

Aliemsukuma mama huyo ni mwanajeshi wa kizayuni mwenye asili ya uafrika, kama mnavyoona akifanyiwa ukatili huo.

N:b Unawezaje kuwasapoti na kuwaunga mkono watu hawa wasio na utu, wala huruma kwa binadamu wenzao, hawaheshimu imani za wengine n.k! Kuna unyama mwingi sana wakiwafanyiaa watoto, wamama, wazee na vijana.

Imefikia hadi wanalipua makaburi ya waislamu na kuyafukua, na kuwachukua na kwenda kuwatolea viungo, huu ni ukatili uliopitiliza.
Uongo mtupu lini wamefukua makaburi ,akili za masjid bhana, yaan uchukue kiungo cha maiti mtu aliyekufa uliona wapi ,
 
Nikikumbuka Joshua Mollel alivyopigwa risasi na hawa wafuasi wa allah nakosa ata cha kuandika
Kwa heshima na taadhima naomba IDF warushe makombora ishirini na moja kuelekea gaza kwa ajili ya Joshua na Clemence.
 
Askari "mbarikiwa" wa kizayuni, kusikia milio ya risasi tu katoka mbio:




Hao ndiyo wa kupigana na Mashaheed wa Kipalestina? Mawee.
 
Unataka kuniambia mudi s.a.w alikuwa dini ya mashoga?
Nyie si ndo juzi tu hapa limetoka agizo kutoka kwa mkubwa wenu papa mfihlwe na mbarikiwe kanisani,, na hata kule alikozaliwa mungu wenu yesu Israel ukijitangaza unahfilwah na ulinzi unapewa mbona unajitoa fahamu au ndo mkuyenge ushakunogea mpaka unaandika uharo,,,
 
Mimi sina huruma na waarabu na wayahudi hao watu ni zaidi ya mashetani dhidi ya mtu mweusi...........nisiwe mnafiki mimi nafurahia vita Yao.....
 
View attachment 2865406
Source: TRTWORLD

Kama muonavyo clip ya mama mtu mzima, akisukumwa na kuanguka hadi chini, huu sio ubinadamu haswaa, huu ushenzi wanaoufanya mazayuni dhidi ya wapalestina kamwe huwezi kukuta Hamas’s wakifanya.

Aliemsukuma mama huyo ni mwanajeshi wa kizayuni mwenye asili ya uafrika, kama mnavyoona akifanyiwa ukatili huo.

N:b Unawezaje kuwasapoti na kuwaunga mkono watu hawa wasio na utu, wala huruma kwa binadamu wenzao, hawaheshimu imani za wengine n.k! Kuna unyama mwingi sana wakiwafanyiaa watoto, wamama, wazee na vijana.

Imefikia hadi wanalipua makaburi ya waislamu na kuyafukua, na kuwachukua na kwenda kuwatolea viungo, huu ni ukatili uliopitiliza.
Si kwamba amesukumwa tu bali kwa kutaka kwend kuswali kwenye msikiti wa Alaqsa ambapo sala yake moja ina daraja kubwa kuliko misikiti mengine.Kwa utu uzima wake anataka akushanye thawabu zaidi kufidia makosa aliyotenda ujanani kwake.
Aliyefanya hivyo ni mtoto mtovu wa nidhamu na hatakuwa na mwisho mwema,
Huyo bibi amefanya ushujaa huo huku madume yamelala kwenye ikulu zao na kupokea wajumbe wa kiyahudi kuwalaza wasitetee msikiti huo.
 
Kauli ya kijeshi...tii sheria bila shuruti; ukiwa mbishi lazima utapigwa tu. Inawezekana walikuwa wanaambiwa waondoke, wao wanaleta ubabe, hapo lazima upigwe tu.
 
Kamanda wa Hamas mh Hassan Akasha ameuawa akiwa nchini Syria

Imedaiwa kauliwa na Israel

Source Al jazeera news
 
Bandiko lako ni copy and paste mahali kwa mjinga kama wewe,, hujui hata hicho ulichokikopy kipo au hakipo we umekibeba tu mahali as long kimekufurahisha,,, we unakubali kupakuliwa tangu lini ukazijua hadithi na quran,
Alianza kupakuliwa mudi na nyie masjid mnapakuana vile vile au umesahau utamaduni wenu wa batchi bazi
Maustadh wanawadokoa mkiwa bado wadogo mkijifunza quran?
 

Attachments

  • Screenshot_20240108_175932_Chrome.jpg
    Screenshot_20240108_175932_Chrome.jpg
    181.2 KB · Views: 2
Alianza kupakuliwa mudi na nyie masjid mnapakuana vile vile au umeasahau utamaduni wenu wa batchi bazi
Maustadh wanawadokoa mkiwa bado wadogo mkijifunza quran?
Kama unamzungumzia mtume mohammad jua ya kwamba,,,
Alikuwa na wake wanne
Watoto saba
Kaongoza vita Zaidi ya moja yeye kama jemedari.
Alikuwa pia mfanyabiashara,,
Yani mtume mohammad ni shabab Haswaa, tofauti na yule mungu wenu aliopokea kipondo na watu aliewaumba wenyewe,,,
Na vipi ushapata basha wa kukuna mana papa katoa dongo mgongwe
 
Back
Top Bottom