Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Uongo mtupu lini wamefukua makaburi ,akili za masjid bhana, yaan uchukue kiungo cha maiti mtu aliyekufa uliona wapi ,
Ntaweka mada humu, halafu useme tena ni "uongo"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo mtupu lini wamefukua makaburi ,akili za masjid bhana, yaan uchukue kiungo cha maiti mtu aliyekufa uliona wapi ,
Tatizo lako huelewi kuwa nchi ya israel imeanzishwa mwaka 1948. Huelewi pia maana ya neno israel na pia huelewi ni nani kizazi cha Yakobo (israel.Muongo sio mpalestina , Ukoo wa daudi ni waisrael acha uzaramo wako bibi
Hongera mkuu. Hakuna wa kukulaumu. Ulitimiza wajibu wako ila wao wakawa wazembe.Raia wa Gaza kama wana akili waaze kukimbia,leo cha kuwaokoa ni mbio tu
😂😂😂😂😂 hatari ipi wakati wa Yemeni wamezidiwa na kwashiokor, safura, kifaduro kipindupindu na kila aina ya magonjwa ya kimasikini na uchafu, waende huko Tel Aviv kutoa msaada siyo kuvizia meli za kiraia kama maharamia wa kihuni tu, meli za kijeshi hawazigusi wanaziogopa! Wayemeni wenzao wamekimbia njaa kwao wamejaa Gairo wakawasaidie kwanza.Mwandishi wa kituo cha habari cha BBC, alimuuliza Kiongozi wa kundi la Houthi kutoka Yemeni, Mohammad Ali Al-Houthi kwamba
Kwanini wanaisaidia Palestina wakati taifa hilo la Yemeni liko mbali sana na Palestina?
Mwamba akamjibu mwandishi huyo kama ifuatavyo,
Kwahiyo Biden na Netanyahu ni majirani ambao wanaishi kwenye
jengo moja? Rais wa Ufaransa na Waziri Mkuu wa Uingereza wanaishi pamoja na Netanyahu 😂
Wao wanaishi mbali na Israeli lakini mbona wanaisadia nchi hiyo?
Alooooo, hawa jamaa ni hatari sana 🙌
😂😂😂😂😂
Angalia huyu punguani anawapangia Yemen cha kufanya😂😂😂😂😂😂 hatari ipi wakati wa Yemeni wamezidiwa na kwashiokor, safura, kifaduro kipindupindu na kila aina ya magonjwa ya kimasikini na uchafu, waende huko Tel Aviv kutoa msaada siyo kuvizia meli za kiraia kama maharamia wa kihuni tu, meli za kijeshi hawazigusi wanaziogopa! Wayemeni wenzao wamekimbia njaa kwao wamejaa Gairo wakawasaidie kwanza.
Hii post yako tu unaonekana wewe mtoto wa Malaya harafu ni shoga kigori.Mwambie mama yako aende kwa wanajeshi Lugalo bila utaratibu aone kitachomkuta utawaona hao mnaowaita Mazayuni malaika! Kwanza Ilibidi wampige risasi akiwa mbali sana hao wanaoona sifa kujitoa mhanga kujilipua suicide bombers hawakosi kuwa na mibomu kiunoni.
Maneno ya mtu mjinga asiye na akili.ujue leo kwake kesho kwa mama yako.Eti magaidi yamekasirika! Uenda hilo limama nalo gaidi limevaa mabomu
Maneno ya mtu mjinga na asiye na akili.kama unaona wewe siyo mjinga thibitisha huyo ni gaidi.unasahau leo hilo limemtokea huyo mama kesho linaweza kumtokea mama yako.acheni ujinga.Mimi siwezi kuvumilia ujinga wenu huu.Hilo ni gaidi zee linasukumwa
Aiseee wajinga mpo wengi.thibitisha huyo mama ni gaidi ili nisikuone kuwa mjinga.Gaidi mbibi , Yani Israel wameonesha jinsi ya kuwashughulikia magaidi waislamu ipasavyo
Apo Kenya magaidi waislamu walikuwa wanakuuliza kifungu Cha kitabu Cha pedophile Muhammad ukishindwa unakula chuma, ayo majitu hayafai
Sasa mama hana hatia sio gaidi,hana silaha ya aina yoyote alafu apigwe kweli kuna watu hamna akili.Kuna watu wanaongoza ukatili, mauaji, unyanyasaji kuwazidi wavaa makobazi???
Huyo mwanajeshi angemtia makofi kabisaa...
huu sio ubinadamu haswaa, huu ushenzi wanaoufanya mazayuni dhidi ya wapalestina kamwe huwezi kukuta Hamas’s wakifanya.
Hawa wakristo hawamini kama kuna maisha kaburini, wao akili zao Yesu kachukua dhambi zao 😄Cheka tu vizuri, ila usisahau kufa kupo, baada ya hapo kuna maisha mengine
Rais Biden amesema hata kama Waziri wa Ulinzi Lyoyd Austine atataka kujiuzulu kutokana na kuzorota kwa afya yake hatakubali.Naye ni binadamu hivyo hamna cha ajabu hapo. Pole kwa General (rtd) Lyoyd Austine.