Baada ya vita vya Palestina Keisha na Palestina kuibuka na ushindi Israel itapata hasara kubwa. Tathimini itatolewa na picha na video mbali mbali zitatolwa. Wenye chuki na Palestina wakipunguza chuki zao na akili zikiwaeudi wataungana kidunia.
1. Isreal imewaua watoto wa Palestina bila kujali Hamas au sio Hamas
2. Imebomoa nyumba zao pamoja na nyumba za ibada
3. Wamebaka watoto wa changa
Nk.
Shukran
Hii itaathiri sana nchi hio. Marekani inaelekea kuanguka kiuchumi na kupoteza sifa kama nchi yenye nguvu