ewe myahudiUnaweza ukaniambia mataifa ambayo kiasili ni ya kiarabu ukilinganisha na leo ambapo Waarabu wamesambaa na kutwaa ardhi North africa ??
sasa apo nani wenye uchu wa ardhi
Unafaham Arabs invansion of north Africa??ewe myahudi
kusambaa kwa waarabu sio issue hata kwetu hapa kuna pande la ardhi wanauziwa sijui washapewa sababu ya vipande thelasini vya pesa, si unaona kina mama yeyoo na morani wanavopigania ardhi yao kama hamas
hizi ni consipiracy theorykwa Iran ili aendelee kuwa juu lazima awe na reserve ya gold ya kutosha , ndicho anachofanya sasa kusaka gold .
Hapo ni katika utabiri wa siku za mwisho , kuja kwa mtu atakayejifanya yeye ni Mungu
we akili kisoda hamas anapambana na NATO pamoja na magaidi israel wanapigania uhuru wao hesabu gani hizo wamefeli hamasi wewe ndio ulipata F hesabu form four tulia.
Hii dunia imezalisha misukule na wajinga wengi sana.Vitabu vya dini ndio vinasema hivyo sio ustadhi ...Kuvunjwa kwa msikiti pale jerusalem then kujengwa hekalu kubwa , kuchinjwa kwa ng'ombe mwekundu .
Wakushindwa wakushindwa tuHII HUWA MARA NYINGI TUNAKIMBILIA KUJITETEA. LEO HII TENA NI NATO? 🤣NEXT TIME TUTASEMA WANAPAMBANA NA MALAIKA.
kwannHii dunia imezalisha misukule na wajinga wengi sana.
Mnaazisha vitu allience zenu mbovuwe akili kisoda hamas anapambana na NATO pamoja na magaidi israel wanapigania uhuru wao hesabu gani hizo wamefeli hamasi wewe ndio ulipata F hesabu form four tulia.
😂😂😂Mnaazisha vitu allience zenu mbovu
Wacha waichukue kwanza Yatrib ilikiwa mali ya WayahudiKwa wale ambao hamjaiona ramani ya Great Israel nawashauri angalieni google hapo. Ukiandika Great israel map utaiona.
Ustadhi anatabiri kwamba Wazayuni hawajamaliza kwanza wapo namba moja. Wataendelea hadi ndoto ya Great israel itimie.
Saizi naona wanamuandama Prince MBs Kwamba ni Zionist ili wakitibue Saudi Arabia. Wakuu hii movie bado mbichiii sana.Kwa watakaoishi hadi kesho mtasimulia.
View: https://youtu.be/0YSp-HBq32g?si=A5EQ9TY0z7EKgvsu
Toka Mwanzo Yerusalem ni mali ya Wayahudi. Hakuna hata sehemu moja kwenye Quran palipoandikwa neno Yesusalem. Wacha wajenge tena hekalu lao hapo ZionVitabu vya dini ndio vinasema hivyo sio ustadhi ...Kuvunjwa kwa msikiti pale jerusalem then kujengwa hekalu kubwa , kuchinjwa kwa ng'ombe mwekundu .
unafahamu ngoni invasion of tanzaniaUnafaham Arabs invansion of north Africa??
migration siyo invasionunafahamu ngoni invasion of tanzania
hamna invansion we mfia diniunafahamu ngoni invasion of tanzania
Wafia dini hawapendi huu ukweliToka Mwanzo Yerusalem ni mali ya Wayahudi. Hakuna hata sehemu moja kwenye Quran palipoandikwa neno Yesusalem. Wacha wajenge tena hekalu lao hapo Zion
tatizo ni kuclemishwa na walimu wako history ili ujibu mitihanihamna invansion we mfia dini
yote yale yale kwa muktadha wa ardhi, migration ni neno tamu invasion neno chungumigration siyo invasion
invansion ni kuvamia mahali kuangusha serikali na kutawalayote yale yale kwa muktadha wa ardhi, migration ni neno tamu invasion neno chungu
kwaiyo we umeamua kuja na histori ya madrasatatizo ni kuclemishwa na walimu wako history ili ujibu mitihani
Ule msikiti umefuata nn pale?Toka Mwanzo Yerusalem ni mali ya Wayahudi. Hakuna hata sehemu moja kwenye Quran palipoandikwa neno Yesusalem. Wacha wajenge tena hekalu lao hapo Zion