Kwanza, Russia haikuwepo wakati wa WW2, So usipotoshe.Wakati Wayahudi wanauliwa na Adolf Hitler, Urusi alikuwa mstari wa mbele kabisa kusimama na Israel kuhakikisha wanapata haki yao, wakawatetea kwa nguvu zote na ndiyo maana tangu zamani mpaka sasa hivi Israel na Urusi huwa wanaheshimiana sana.
Sasa bhana! Unajua kwa nini vita na Ukraine ilikuwa ngumu sana mpaka kuamua kupumzika? Mlango wa nyuma, Israel alikuwa anamsaidia silaha Ukraine, na pia alikuwa anahakikisha jamaa wanaingia katika muungano na NATO.
Hili lilimkera sana Urusi, alimuona Israel kama msaliti! Kwa nini umsaidie Ukraine? Kwa nini unataka kumuingiza kwenye uanachama na NATO? Sasa ishu ya Palestina, wamewekwa kama chambo, nyuma yake yupo Urusi na Iran.
Kundi dogo kama Hamsa limefadhiliwa na kupewa silaha na kila kitu, ndio maana wameweza kutamba mbele ya israel.
Iran anaingia kama kutaka kulipa kisasi, bado kumbukumbu zake za kupigwa na Israel, kuuliwa kwa wanasayansi wake inawaumiza sana kichwa. Wamesema wapo nyuma ya Palestina, je, wataendelea kuwa nyuma yake ama watamuacha mambo yakichanganya?
Saudi Arabia naye ameingilia, anasema yupo nyuma ya Palestina, je, ataendelea kuwa nyuma yake Israel akiamua kupiga Waarabu wote kama alivyofanya kipindi cha nyuma? Hatujui. Ngoma bado mbichi. Tuombe Mungu tu majibu ya Israel yasiwe makubwa kama ya kipindi kilichopita na kumaliza watu wengi wasio na hatia.
View attachment 2775088
Majira ya jioni tarehe 7/10/2023, Marekani imetangaza kuunga mkono tangazo la Israel la kujilinda kwa kuendesha vita ya Kigaidi katika ardhi ya nchi zingine HURU za Palestine, Syria nk, Wakati huo Marekani hiyohiyo inapingana Urusi kujilinda. Kumbaaaafu kabisa, Ukiunga mkono Israel kujilinda, unga mkono pia Urusi kujilinda.
View attachment 2775093
Utawashangaa watu walivyo brainwashed na Media za kimagharibi na udini juu, hasa waswahili wa Bukoba na Mbarali huko waliokuwa wakilishwa propaganda kuwa Urusi imefanya kosa kubwa kuvamia nchi huru ya Ukraine kwa hoja kuwa Urusi inajilinda dhidi ya maadui, Leo watu walewale wako Israel wanaunga mkono Israel kujilinda dhidi ya maadui.
Ifahamike, kabla ya mashambulizi ya jana ya Hamas, Kwa miezi zaidi ya miezi 15 Israel ameendesha Oparesheni Palestine, Syria, Jordan nk kwa kile alichosema anasaka magaidi. Anafanya mashambulizi katika nchi huru bila idhini ya nchi husika. Hoja yake kuu ni kuwa analinda maslahi ya Israel, akaungwa mkono na mjombo wake USA, lakini Umoja wa mataifa ukawa kibogoyo...
Alichokuwa anafanya Israel ndicho alichokifanya Urusi kwa miezi zaidi ya 18 huko Donbass. Lakini Marekani na vibaraka wake wakasema Urusi anafanya uvamizi... Urusi akaweka hoja ileile iliyotolewa na Israel kuwa analinda maslahi ya Moscow.
Sasa kelele za nini juu ya majibu ya Hamas? Dunia itulie kila mtu alinde maslahi yake kwa kudhibiti wakorofi wote duniani ambao ni Manazi wa Ukraine wakiongozwa na kibaraka Zelensky na magaidi wa Hamas chini ya Mamlaka ya Palestine.
Hatutaki kelele za huruma za Israel baada ya kubondwa, watulie waendelee na Oparesheni yao. Binafsi siku zote mimi huunga mkono taifa lolote linalojilinda, na nimekuwa hivyo naunga mkono Israel kujilinda kwa 100% vivyo hivyo naunga mkono Urusi kujilinda kwa 100%. Marekani ni mchokozi kila kona ya dunia na ndie muundaji wa makundi yote ya Kigaidi duniani akiyaita ni wapigania Demokrasia ama utaifa, akichoka kuyatumia anayabatiza jina la Ugaidi.
Anapigika mbele na nyuma.Israhell kazi anayo
Muwe mnatunza akiba ya maneno. Unahisi wapalestina na Hao Hizbolah wao hawakuwi eeenh, unahisi wapalestina wa 1970 ndio Hawa wa leo?
Mkuu wamesha anza kulipwa maana mpaka sasa majibizano ya silaha yanaendelea ila pande zote zinaumia sana kwenye mgogoro huu maana mpaka sasa Israel imesha poteza zaidi ya watu 400 na upande wa palestina umesha poteza zaidi ya watu 300 .Israel alichofanywa jana sijapenda.
Ila Waarabu watalipwa kwa vifo, ni swala la muda kabla vilio havijatawala
Wanajiona wanadamu first class halafu hao palestinians ni daraja la pili.Maana Israel anaona yeye ndio ana damu na thamani kuliko wengine
Ila Palestinians kila leo wanazika kwa uonezi
Nasubiri povu lao nigga jew
Upande wa Israel imesha poteza 400 mpaka sasa hivyo kila upande una wakati mgumu sana.Wapalestina sahizi wanaogelea mvua ya makombora wameshalambishwa mchanga kama 256 huko Gaza na netanyahuu ameapa kuwageuza vifusi
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Hizo namba umezipata wapi vyombo vya habari hapa vinasema ni 300Wamepiga hadi misikiti na kuisambaratisha maana magaidi yalikimbilia humo ndani ili yafie karibu na 'miungu'. yao....
A mosque lies in ruins Sunday following an Israeli airstrike in Khan Younis, in the Gaza Strip.
(Yousef Masoud / Associated Press)
Israel pressed its relentless bombing campaign on Gaza overnight and into early Sunday, firing a continuous barrage on the Hamas-ruled coastal strip as it battled to regain control after the deadliest attack on its own soil in 50 years.
As the fighting around Gaza continued, alarm over a wider regional conflagration grew after Hezbollah, the Lebanese Shiite militant group and political party, said in a statement Sunday that it had launched artillery and guided rockets on three posts on the Israeli-occupied Shebaa Farms in southern Lebanon “in solidarity” with the Palestinian people. The attacks were intended to “liberate what remains of our occupied land,” Hezbollah said, adding that an Israeli drone destroyed a Hezbollah tent in the area.
Israeli forces said in a statement on the messaging app Telegram that their retaliatory bombing campaign had hit 10 Hamas targets in multistory buildings in Gaza, including the group’s intelligence headquarters and a military compound, as well as a weapons production site and an arms storage area belonging to the Islamic Jihad militant group.
kama wameshindwa kukaa kwa amani watimuliwe tu, wakaishi ukimbizini magaidi hao wanaotumia raia kama kinga yao, gaza itekwe tu, kama mbwa na iwe mbwa, uchokozi hauvumiliki
Sio kila MuIsrael ni mzayuniHii operesheni naona imeanza kusambaa kila mahala sasa huko Misri tayari wazayuni wawili washaangamizwa muda si mrefuView attachment 2775289
Yaaah ni kweli mkuu....hata waislam wanamtambua king David Kama nabii daudi ..na sabab ya baadhi Yao kutosherehekea maulid ni sabab ya daudi kushangilia ushindi Hadi akavua nguo, wanashea ancestors... Ila Sisi mashabiki wa Vita tuliopo bongo tukiskia yakub, Suleiman ,daud na wengineo tunahis Kama Palestinian hawahusiki nao...hao ndugu wanagombea ardhi....put Bible evidence behind they are just tales to narrate,Broo I believe what I see.
Hizo story zipo nyingi sana, hata ukikutana na wayahudi nao watakuadisia unyama waliofanyiwa na palestine, kila mmoja analalamika, kila mmoja anajijitetea, kila anajiona ana haki.
Hata Hitler ukimfufua atakuelezea kwann aliamua kuwafanyie vile wayahudi(holocaust), kila mtu ana sababu zake za kuua.
I think cha kujiuliza ni kwamba, Is killing your enemies the only best option?
Utaua hadi lini? mwenzako amekutoa kweny ardhi ana sababu zake, tangia enzi za King David(B.C) wayahudi walijenga hekalu kubwa pale maeneo yote yale yalikuwa yao, na palestine nao wanasababu zao, hawawatambui wayahudi kwamba wao ndo wenyeji wa pale, sasa upande mmoja ukipigwa, wanaenda kujikoki wanarudi tena, upande mwingine ukipigwa nao wanaenda kujitengeneza, wanarudi tena kuuana, hivo hivo kila siku miaka nenda rudi, Itaisha lini hio hali? wamama na watoto wanakufa kila siku kwasababu wanaume mnashindwa kukaa chini mka solve differences zenu, mnarithisha vita kwa watoto wenu ambao hata hawakuwepo wakati mnagombania ardhi.
Mkuu una uhakika na unacho kiandika kweli?Six days war...vita na nchi 6
Iran
Iraq
Egyp
Palestine
Saud Arabia
Na Jordan
Nini kilitokea....
Wanapiga posho za vikao tu.Hilo baraza siku hizi limekuwa kama mikutano ya AU
Kwanza hebu angalia Definition ya Ugaidi.baina ya israel na palestina yupi gaidi
Tena bado hawa Hamas hawatatulia na Palestine wanaungwa mkono na wengi kwa udhalimu wa wayahudiWANA
Wanajiona wanadamu first class halafu hao palestinians ni daraja la pili.
Police officer ndio kawauwaMkuu wacha kututia watu na akili zetu kwenye upumbavu, nyama ya nguruwe imeharamishwa sambasamba na pombe na kamari n.k, na wala sio siri nyama ya nguruwe ina madhara mengi yaliyothibitishwa na machapisho mengi ya kisayansi yameandikwa.
kinawaka kule ni balaa, mji wa Gaza umegeuka giza - umeme na maji hamna na bado !! Hii kitu ni mbaya sana.Raia wa Gaza kama wana akili waaze kukimbia,leo cha kuwaokoa ni mbio tu