n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Huyu baal, Dagon ni miungu ya Wafilisti. Kichapo kipo pale pale. Mungu ibariki Israel, walinde watoto wa Yakobo.Hahahah[emoji23][emoji23]Ni bora hata hayo maombi yako ungekuwa unayaelekeza kwa mababu zako kuliko kuombea watu washenzi kama hao waabuduo miungu kama Baal View attachment 2775557
Kuna watu nimeona kwenye comment za page Fulani wakiomba kuwa Mungu aliangushe taifa la israeli na kukutetea watu Fulani
Mungu sio mbaguzi
Lakini kuliacha taifa la israeli na kutetea watu wengine ilo wasau kabisa
Mumelianzisha wenyewe na mnatakiwa kulimaliza wenyewe
Maana hizo ni lawama tu ambazo unamtafutia Mungu mkishindwa na vita vyenu
Pamoja na kuwa Israeli ni mtoto mkaidi kwa Mungu lakini kamwe hawezi kuacha taifa ili
Na ndo maana katika vitabu vitakatifu Mungu amehidi kuliteketeza taifa ili mwenyewe
Mkuu mbona mwanzo unadai askari kutoka IsraelAskari kutoka Israel amewamwagia njugu (Risasi) watalii wawili wa kiisrael akiwemo muongoza watalii wa misri na kufa hapo hapo huko mjini Alexandria, Misri walipokuwa wameenda kutalii. Kitendo hicho cha Askari wa misri kuwamwagia risasi watalii wa Israel kinaenda sambamba na chuki ya Wamisri dhidi ya Israel kutokana na vita ya Israel na Palestina. Ikumbukwe Misri na Israel ziliwahi kufuana na kupigana baada ya Misri kutoa sapoti kwa Palestina na kutaka kuingia kinguvu nchi Israel, ambapo misri ilipigwa kipigo cha mbwa koko na kupoteza wanajeshi wengi. Soma huu uzi hapo chini kuelewa zaidi kwa nini misri anamchukia Israel.
Bado kauli rasmi haijatolewa kuhusu tukio hilo.
View: https://www.instagram.com/reel/CyI5BwqtG6B/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Ndo waanzilishi wa Moravian?!!Sawa ila Moravian wanaiweza Wanyakyusa tu
Hilo tukio limetokea leo Misri na Aljazeera ndio wamepost kuwa Askari wa Misri kawamiminia risasi Watalii kutoka Israel waliokuwa wameenda kutalii kwenye mji wa Alexandria, MisriMkuu mbona mwanzo unadai askari kutoka Israel
Kwahyo ulitaka hamas wakae tu waangalie ndugu zao wanauwaw kila siku wanafuatwa mpk msikitini wanapgwa risasiMkuu ni ukweli tunajua kuwa palestina anaonewa lakin hii haifanyi sote tuunge mkono upumbavu wa Hamas unaoenda kusababisha vifo vya watu wengi wa palestina wasio na hatia.
Hahaaa hao waisrael wenyewe ukristo ni asilimia 2 tu na wanatushangaa watu wengine hasa sisi wakristo tunavyojipendekeza kwao na ukiwaambia nyie ni taifa teule wataishia kucheka tuMaccabi Tel Aviv for life [emoji1134][emoji1134]
Waisrael wakikusikia wataishia kucheka tu maana wanaona unajipendekezaHuyu baal, Dagon ni miungu ya Wafilisti. Kichapo kipo pale pale. Mungu ibariki Israel, walinde watoto wa Yakobo.
Hahaha sisi chawa kotekoteNaona sasa umegeuka kuwa msemaji wa serikali ya Israeli 🤣
Ndio kazi ya taifa teule la mungu lusifaWale tuliosomea Cuba. Tunaelewa kitakachotokea apo anakamatwa mtu na family yake anaanza kuuliwa mtoto anafata mume alafu was mwisho Mama, ili machungu wayasikie vizuri. Mpaka dunia itawaita watu was haki za binadamu wawaombeee msamaha. Anakamatwa mtu anaingizwa kwy tanuuu la Moto ndugu zake wakishuhudia na dunia ikishuhudia alafu watu was haki za binadamu wataombaa wawasamehe
Uongo mkuu wanazaliwa naoWapalestina wote wameandalwa toka tumboni. Nchi yao ipo chini ya wayahudi miaka zaidi ya 75 sasa.
Ukiwa mpaestina upo vitani toka unazaliwa, iwe ndani au nje ya palestina.
Sawa mkuuUterezi 💦 mkuu 😋
Mafundisho mliyojazwa nayo ujinga hayo.Uongo mkuu wanazaliwa nao
Dah jana nikisema Hitler ipo siku atawaelewa....Ila ni kwanini Israel ilivamia na kupora nchi ya Palestina mwaka 1967 na UN haikuwachukulia hatua?
Hitler aliwahi kusema, nitauwa wayahidi wengi niwezavyo, ila nitaacha wachache wabaki, ili kwa kila watakachowafanyia, mjue kwanini niliwaua.