LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Machapisho ya wasabato na waislam lini lini yakawa machapicho! ? Machapisho yaliyo fungamana na misimamo ya dini ni machapisho hayo?

hata wewe naona umekaririshwa tu na sheikh wako hebu pitia visa hivi hapa ujifunze kidogo

SAHIHI Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume wa Allah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je, unataka kunywa mvinyo? Mtume Muhammad akasema: Ndio. Basi yule Mtu alikwenda kuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: Lete Mvinyo ulio mkali ili ninywe; Basi Mtume wa Allah alipo kunywa ule Mvinyo Mkali alilewa

QURAN AL- BAQARA (2:173)
173.Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya Nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kula Mizoga na Damu na nyama ya Nguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu

KWENYE SURAT AL BAQARA 173

Hadith imesimuliwa na Al Tabar na kupokewa na Ibn Ali Bakouri. Nabii wa Allah na Maswahiba wake walikuwa wamechoka na safari ndefu. Wakafika Nyumbani kwa Fatimah rafiki wa Swahiba wake. Nabii wa Allah akauliza je unachakula chochote? Fatimah akajibu ndio. Nabii wa Allah akauliza tena una mawindo yeyote. Fatimah ajibu nina myama ya Nguruwe pori. Basi Nabii wa Allah na Maswahiba wake walikula Ngama ya Nguruwe pori mpaka wakashiba. Al Kitaab Uk wa 136 Hadith ya 41 Toleo la Tatu.

QURAN SUURAT AN NAH'L (16:116).
Wala msiseme uwongo, kwa kuropokwa na ndimi zenu: Hichi halali, na hichi haramu - mkimzulia uwongo Mwenyezi Mungu. Hakika wanao mzulia uwongo Mwenyezi Mungu hawatafanikiwa
Ntakurudia inshaallah.
 
Huwa sielewi kabisa hàsa pale ninapokuta jitu jeusiii tii Swahili kutoka moja ya nchini maskini kabisa duniani linaposhabikia ya kuwa eti taifa la Israeli ni taifa teule (taifa la Mungu) mpaka kufikia kuunga mkono hata mauaji ya watu wasio na hatia (waPalestina).

Tena wengine wanaenda mbali zaidi ya kuwa eti oohh! Ukimbariki Israeli nawe umebarikiwa, mara oohh'' sijui ukimlaani nawe umelaaniwa!!

Anyway, basi kama ndivyo hivyo basi mbona hambariki na mambo ya LGBTQ+, mambo ya gay parades, pride match, etc, yaliyohalishwa katik taifa hilo!??

Mimi mkiniambia labda huyo mungu wao ambaye wanamuambu, which obviously ni Baal ni mungu wenu pia mnayemuabudu hapo nitawaelewa lakini sio MUNGU huyu nayemjua mimi ambaye ni Alfa na Omega.

Muwe na jumapili njema enyi wayahudi weusi.

Moderators : Naomba msiuguse huu uzi.View attachment 2775436View attachment 2775437View attachment 2775438View attachment 2775440

Acha Waendelee kujidanganya. Wale wamepinda vile, eti taifa teule la mungu, labda mungu beze bula.
 
Kuna watu nimeona kwenye comment za page Fulani wakiomba kuwa Mungu aliangushe taifa la israeli na kukutetea watu Fulani
Mungu sio mbaguzi.

Lakini kuliacha taifa la israeli na kutetea watu wengine ilo wasau kabisa.

Mumelianzisha wenyewe na mnatakiwa kulimaliza wenyewe
Maana hizo ni lawama tu ambazo unamtafutia Mungu mkishindwa na vita vyenu.

Pamoja na kuwa Israeli ni mtoto mkaidi kwa Mungu lakini kamwe hawezi kuacha taifa ili
Na ndo maana katika vitabu vitakatifu Mungu amehidi kuliteketeza taifa ili mwenyewe
🤣🤣 sasa mbona unasema mumelianzisha wenyewe kama kuna wapalestina humu ndani mkuu?
 
Dunia imewapa palestina mgongo kuanzia zamani sana...
Inasikitisha sana
Ni kama tulivyo hivi Tanzania aje mtu atufukuze/atuondoshe maana hatutakia na pa kwenda ...kinachofata ni ukatil na mauaji....
Historia ipo wazi Hawa jamaa walivamia Hilo eneo....kwanini Dunia haionei huruma watu WA palestina....
Ili hali historia Iko wazi kabisaaa....
Wanasema iliandikwa kwenye bible hapo ni kwao kwahiyo hawatoki kama mbwaimbwai 🤣
 
Israeli Prime Minister, Benjamin Netanyahu has held his 2nd Phone Call with U.S. President Biden over the last 24 Hours where President Biden reiterating that the United States has Unwavering Support for Israel in the Defense of its Country.
 
Wanaenda Kujihami


BREAKING:

Israel is moving heavy weapons system to its border with Lebanon and Syria to build deterrence
 
PA President Mahmoud Abbas leaving Jordan on his private jet currently....
20231008_185631.jpg
 
Tuliambiwa Israel ni taifa kubwa kijeshi na intelijensia.

Israel has requested additional military assistance from the United States, the request is being considered,
US Secretary of State Antony Blinken.
Propaganda zilikuwa nyingi kuliko uhalisia na mengi walikuwa hawayaonyeshi kwa mfano walivyokuwa wanafanyiwa Palestine
Screenshot_20231008_165714_X~2.png
Screenshot_20231008_165611_X~2.png
 
IDF have issued instructions to residents of Kibbutz Mefalsim and the city of Sderot to remain in their homes until further notice as reports of gunfire exchange between IDF and Hamas militants taking place in the vicinity of Zikim Military Base.
 
Hamas wamejitahidi ila wamefanya maamuzi ya kijinga ...wanataka kuongoza palestina kama wenzao Taliban...
Taliban wameachiwa nchi wanadeal na wanawake tu...
 
Hakuna sehemu yoyote katika historia inayosema kuwa wapalestina walihamia hapo kuwabugudhi wayahudi Bali ni hao wayahudi....
Alafu pia kweli huyu Mungu wanasema aliamuru kwenye bibilia na vifungu vingi naona watu wameviandija hapo juu.
Kweli Mungu huyu ambae ameumba watu wote na sisi ni swa mbeli zake ndo anaamuru binadamu mmoja auwawe ....
Ili mwingine achukue ardhi yake?
Yaani kumbe katuumba lakini Kuna watu special WA kuishi wengine awapaswi kuishi?
Kwamba Kwa vifungu tu vya bibilia watu waondolewe sehemu waliyoishi vizazi Kwa vizazi....
Huyu Mungu WA Israel ni yupi???
Kuna mambo mengine yanaweza kukufanya ukaqns hadii mbali sana...

Huruma sana Kwa wapelistina...
Wana haki ya kujitetea....
Ndo inaitwa ugaidi....ila ukrain kujitetea inaitwa ushujaa
Yaani kumbe yeye katuumba lakini
Hakuna maamrisho hayo wala huna haja ya kumtia dosari muumba wako kwasababu ya propaganda za watu wajinga.
 
Back
Top Bottom