LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Vita hii haitaisha kamwe na kwa bahati mbaya MUSA aliwaingiza chaka na yesu kapgilia msumari,haiwezekani uondoke sehemu alaf ukute ardhi imekaliwa wewe utumie mabav eti ardh ya baba ako
 
Warusi nao hawapo nyuma
Screenshot_20231008-193339.png
 
Why full-scale Israeli assault on Gaza not starting yet:
1. Finalizing battle plans & logistic prep.
2. Building large forces in case Hezbollah joins.
3. Trying to arrange release of children & elderly held in Gaza.
 
More than a dozen explosions along the border over the past several minutes. Israeli strikes targeting positions near the edge of Gaza.
 
The U.S. Aircraft Carrier, USS Gerald R. Ford (CVN-78) as well as the other Ships in Carrier Strike Group 12 which includes Ticonderoga-Class Cruiser USS Normandy (CG-60), as well as Arleigh Burke-Class Destroyers USS Ramage (DDG-61), USS McFaul (DDG-74), and USS Thomas Hudner (DDG-116) are reportedly heading towards the Eastern Mediterranean in a “Show of Support” for Israel and to also assist with the possible Evacuation of U.S. Citizens from the Country if the need arises.
 

Attachments

  • 20231008_195059.jpg
    20231008_195059.jpg
    304.1 KB · Views: 2
Hakuna maamrisho hayo wala huna haja ya kumtia dosari muumba wako kwasababu ya propaganda za watu wajinga.
Kulingana na wengi wnaavyocoment hapa....kwamba Ile nch ni Yao waliahidiwa....
So wanaoishi hapo wanatakiwa waondoke ....Sasa waende wap?
Siamini katika Mungu huyo....
Naamini Mungu yupo....lakini sio huyo wanaemuongelea Hawa walimwengu...Mungu awezi amrisha kiumbe chake kipoteee.
Sote tu sawa mbele ya macho ya mwenyezi Mungu....haya mambo ya kusema Israel ndo wanastahili kuliko yoyote duniani....ni ujinga watu walioamua kumezeshana.....Kila mtu anastaili mbele ya Mungu....ndo maana kaumba sisi sote
 
Kulingana na wengi wnaavyocoment hapa....kwamba Ile nch ni Yao waliahidiwa....
So wanaoishi hapo wanatakiwa waondoke ....Sasa waende wap?
Siamini katika Mungu huyo....
Naamini Mungu yupo....lakini sio huyo wanaemuongelea Hawa walimwengu...Mungu awezi amrisha kiumbe chake kipoteee.
Sote tu sawa mbele ya macho ya mwenyezi Mungu....haya mambo ya kusema Israel ndo wanastahili kuliko yoyote duniani....ni ujinga watu walioamua kumezeshana.....Kila mtu anastaili mbele ya Mungu....ndo maana kaumba sisi sote
Kuwa watu wa Mungu ni tofauti na kuwa watoto wa Mungu. Israel ni mzaliwa wa kwanza wangu mimi alisema yehova. Amgusaye ni kama ameigusa mboni ya jicho lake muumba. Mungu wao yu hai, halali wala hasinzii. Shalom Israel
 
TIimu Israel karibuni kwa maombi ya kufa mtu bila kusahau kupeana update kuhusu mafanikio ya Israel.

Moods naomba Uzi huu usiunganishwe na Uzi mwingine wowote.
 
Wadukuzi wa Iran' wapenya kwenye mitandao ya makampuni zaidi ya 30 ya Israel

Sep 12, 2023 06:28 UTC

Tovuti ya Israel ya Ynetnews imeripoti kuwa wadukuzi wa Iran wamefanikiwa kupenya kwenye mitandao ya makampuni zaidi ya 30 ndani ya utawala huo haramu wa Kizayuni.

Kwa mujibu wa tovuti hiyo, kampuni ya usalama ya habari ya ESET imegundua kuwa wale iliowaita wadukuzi wa Iran wametumia fursa ya udhaifu uliopo katika seva za barua pepe za makampuni 32 ya Israel kuanzisha kile kiitwacho mlango wa nyuma, uliowaruhusu kujipenyeza kwenye mitandao ya makampuni hayo.

Kampuni moja ya usalama wa mtandao, ambayo imekataa kufichua majina ya makampuni yaliyodukuliwa imesema, wadukuzi hao wa Iran wamedukua pia kampuni nyingine moja nchini Brazil na nyingine katika Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE).

Kwa mujibu wa ripoti hiyo, makampuni yaliyodukuliwa yanafanya kazi katika nyanja mbalimbali, ikiwa ni pamoja na bima, dawa, viwanda, mawasiliano, IT, teknolojia, biashara za rejareja, magari, shughuli za kisheria, huduma za kifedha, usanifu majengo na uhandisi wa majengo.

Tovuti ya Ynetnews imeeleza kwamba kundi hilo la wadukuzi lilijitambulisha kwa jina la Ballistic Bobcat, ambalo pia linafahamika kwa majina mengine, likiwemo Charming Kitten, TA543 au PHOSPHORUS pamoja na APT35/42. Imeongeza kuwa, kuna makampuni mengine yasiyopungua 16 ambayo yamehujumiwa na wadukuzi wengine.

Ifahamike kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeshailenga mara nyingi Iran kwa hujuma za udukuzi iwe ni moja kwa moja au kwa kuchochea na kutoa uungaji mkono kwa wahusika halisi wa hujuma hizo.

Huko nyuma mnamo mwaka 2012, gazeti la The Washington Post la Marekani iliripoti kuwa Shirika la Usalama la Taifa la nchi hiyo (NSA), shirika lake la ujasusi CIA na jeshi la utawala haramu wa Israel zilishirikiana pamoja kutengeneza programu ya uharibifu iliyopewa jina la Stuxnet kuhujumu mitambo ya nyuklia ya Iran.

Katika kulipiza kisasi dhidi ya hujuma hizo, inadaiwa kuwa makundi ya wadukuzi wa Iran nayo pia yalizilenga sehemu na vituo kadhaa ndani ya utawala haramu wa Israel.

Huko nyuma mwishoni mwa mwaka 2020, gazeti la kila siku la Israel la Ha'aretz lilidai kuwa kundi la wadukuzi wabobezi lililowatambulisha kuwa ni Wairani lilifanikiwa kupenya hadi kwenye ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na shirika kuu la teknlojia ya anga la utawala huo.
Pumbavu sana

Utawala wa kizayuni ndio nn?
 
Back
Top Bottom