Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Kwamba myahudi bila Marekani anapigwa?😁America aondoe watu wake awawache mayahudi wakereketwa wapigane wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba myahudi bila Marekani anapigwa?😁America aondoe watu wake awawache mayahudi wakereketwa wapigane wenyewe.
HahaaaWayahudi kutoka tandale hawa amini wanacho kiona mpaka sasa maana wateule wao wame pigwa pigo moja takatifu na mujarabu alafu la aibu.
Iran ina Kamikaze Drones zenye ubora wa hali ya juu na zimewapa warusi wigo mpana wa kuendeleza mapambano yake na Ukraine.. Iran atatoa msaada kwa Palestine kwa njia yoyote ile na ikumbukwe ule mpango wake wa kuifuta Israel kwenye uso wa dunia bado haujafa.US military is planning to move US Navy ships and US military aircraft closer to Israel as a "show of support"
Tukio walilofanya Palestina hata kama mbeleni ikiwa tofauti ila limewavua nguo MOSSAD na washirika wake M16&CIA.Mashoga wanapelekewa meli za kujificha na kufanya mambo yao
Na wanaume wa kuwafariji
Ni mpango walioupanga mda mrefu sana halafu usiri walioufanya ni wa hali ya juu hakuna siri kutoka mpaka wamemaliza kaziTukio walilofanya Palestina hata kama mbeleni ikiwa tofauti ila limewavua nguo MOSSAD na washirika wake M16&CIA.
China na Urusi watamtumia Iran kuvuruga maslahi ya USA na hii ni mipango ya muda na USA alishaonya hatari kama CHINA , URUSI na Iran watashirikiana..Turkish expert:
📍We are witnessing the war between the intelligence organizations of Iran and Israel
Mkuu kwa nini israel ipewe msaada wa kijeshi wakati haijatumia chochote bado na inapigana na vikundi vya kiraia tu. Nimesikia Biden anataka kumpa msaada wa kutosha. Au kuonyesha support tu.US military is planning to move US Navy ships and US military aircraft closer to Israel as a "show of support"
Iran ina mkono mpaka huko Gaza?Hamas sasa anatumia suicide drone za Iran.
🤣🤣🤣🤣🤣pic.twitter.com/XwjKwigrsL
BREAKING:
The Palestinians entered Tel Aviv
Fighters spotted in Holon on the outskirts of Israeli capital Tel Aviv, Israelis combing the area
❌❌❌❌
Occupier declares the emergency government
Kama tu ajali ya ndege mnatumia mtumbwi kutoa msaada, hizo ADS mtazotolea wapi?Hivi rockets 5000 zikirushwa hapa Tanzania tuna air defence za kuizuia?au tupo tupo tu.