matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
ADS moja ni budget ya taifa bado maintenace.Kama tu ajali ya ndege mnatumia mtumbwi kutoa msaada, hizo ADS mtazotolea wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ADS moja ni budget ya taifa bado maintenace.Kama tu ajali ya ndege mnatumia mtumbwi kutoa msaada, hizo ADS mtazotolea wapi?
Haswa. Israel achutame safari hii Hamas Wana Kazi nzito.Russian hackers Killnet wanasema wanasupport Palestina.
Wamehack website ya Serikali ya Israel na kutuma ujumbe.
Inawezekana hawa Hamas kama anavyosema kiongozi wao, walihack communication system ya IDF kabla hawajaanza mashambulizi. Wenda wanapata msaada kutoka sehemu nyingi.
Nimeona video hapa wameingia Tel aviv mguu kwa mguu hamas wanamwaga njugu kwa kila wanaeonana nae.Haswa. Israel achutame safari hii Hamas Wana Kazi nzito.
Mara paaap wameichukua tel Aviv. Shida sana kupambana na ground forcesNimeona video hapa wameingia Tel aviv mguu kwa mguu hamas wanamwaga njugu kwa kila wanaeonana nae.
Haijawahi na haitakaa itokeeHaswa. Israel achutame safari hii Hamas Wana Kazi nzito.
Kwa hiyo watu wengine duniani ambao pia ni watoto WA Mungu hawana haki ya kuishi wala kukaa popote isipokua Israel?Kuwa watu wa Mungu ni tofauti na kuwa watoto wa Mungu. Israel ni mzaliwa wa kwanza wangu mimi alisema yehova. Amgusaye ni kama ameigusa mboni ya jicho lake muumba. Mungu wao yu hai, halali wala hasinzii. Shalom Israel
Kahawa imekuingia kisawasawaNi mpango walioupanga mda mrefu sana halafu usiri walioufanya ni wa hali ya juu hakuna siri kutoka mpaka wamemaliza kazi
Hamas hawana kuremba mambo na hata kama Israel anapiga sehemu zao huko wameweka human shields na wanauwa watu wao pia
Kuna sehemu walikuwa wanacheza na kufurahi wamekuta maiti 200 za Israel
Yaani Netanyahu kachanganyikiwa mpaka anampigia simu comedy Zele wa Ukraine
Maombi ya kuua watu wengineTIimu Israel karibuni kwa maombi ya kufa mtu bila kusahau kupeana update kuhusu mafanikio ya Israel.
Moods naomba Uzi huu usiunganishwe na Uzi mwingine wowote.
Kuna watu wanajizima data kwa ukatili ambao miaka mingi Wapalentina wamekuwa wakishuhudia dhidi ya Israel ..Maombi ya kuua watu wengine
"Ee Mungu tunaomba uue WA palestina '
You guys are not siriaz
Hakuna binadam astailiye kifo ...
Hapa ni kuomba amani Kwa sababu Kuna matukio hayawezi kurudishwa nyuma....kama ku undone walowezi WA kizayuni...
Hakuna maombi kama hayo ya kutaka mwingine auwe mwingine,Maombi ya kuua watu wengine
"Ee Mungu tunaomba uue WA palestina '
You guys are not siriaz
Hakuna binadam astailiye kifo ...
Hapa ni kuomba amani Kwa sababu Kuna matukio hayawezi kurudishwa nyuma....kama ku undone walowezi WA kizayuni...