LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Aisee, inahuzunisha sana..... Binadamu kwanini kuua wengine tunaona ni kawaida sana? Yaan daa
Mpaka sasa wamekufa zaidi watu 1000 na idadi inaendelea
Tatizo hawataki kuelewana na mbaya zaidi ni Netanyahu amewaondoa kwa nguvu wapalestina kwenye makazi yao na kuwapa wayahudi na kawajengea makazi ya kudumu
Ukiangalia BBC leo wameamua kufunguka ukweli na kuongea mambo yanayoendelea huko

Ni haki kuwachomea mashamba yao ya Olive na kujenga majumba sio sawa
Sasa mateka wanakufa na wanauwawa na majeshi yao
 
Mpaka sasa wamekufa zaidi watu 1000 na idadi inaendelea
Tatizo hawataki kuelewana na mbaya zaidi ni Netanyahu amewaondoa kwa nguvu wapalestina kwenye makazi yao na kuwapa wayahudi na kawajengea makazi ya kudumu
Ukiangalia BBC leo wameamua kufunguka ukweli na kuongea mambo yanayoendelea huko

Ni haki kuwachomea mashamba yao ya Olive na kujenga majumba sio sawa
Sasa mateka wanakufa na wanauwawa na majeshi yao
Hakika Dunia imekuwa mahali palipokosa usalama kabisa
 
The U.S. Aircraft Carrier, USS Gerald R. Ford (CVN-78) as well as the other Ships in Carrier Strike Group 12 which includes Ticonderoga-Class Cruiser USS Normandy (CG-60), as well as Arleigh Burke-Class Destroyers USS Ramage (DDG-61), USS McFaul (DDG-74), and USS Thomas Hudner (DDG-116) are reportedly heading towards the Eastern Mediterranean in a “Show of Support” for Israel and to also assist with the possible Evacuation of U.S. Citizens from the Country if the need arises.
America aondoe watu wake awawache mayahudi wakereketwa wapigane wenyewe.
 
Wale mnao muunga mkono muisraeli jaribuni kuvua kilemba cha udini kidogo kisha mpate habari za ukweli na uhalisia. Taifa la Israel ni mkoloni pale huku akitumia sera za ubaguzi wa rangi dhidi ya raia wa palestina,mwisho wa siku mpalestina hana cha kupoteza isipokua kupigana mpaka kufa.
Gaidi ni nani? Anc waliitwa magaidi kama Al Qaeda tu kipindi wanapambana dhidi serikali ya ubaguzi wa rangi nchini kwao. Israel imekua inafanya ugaidi na ukatili wa kutisha dhidi ya hawa watu lakini media za magharibi zimekua kimya na mara nyingi wakiripoti kama Israel ndiye mhanga wakati ni chief culprit wa violence .

Hatapatikana mshindi hapo isipokua misiba mingi pande zote mbili ,pole kwa wafiwa wote .
 
Why full-scale Israeli assault on Gaza not starting yet:
1. Finalizing battle plans & logistic prep.
2. Building large forces in case Hezbollah joins.
3. Trying to arrange release of children & elderly held in Gaza.
Hii ngoma kwa Israel bado ngumu kwa sababu anachokipanga tayari kama Hamas kamuwahi sasa sijui atafanyaje?

Ngoja tuone mikakati yao ili tujifunze kitu katika hili!
 
Hebrew media have admitted to the death of at least 700 settlers up until this moment.

Considering their admission of many missing individuals and their general tendency not to disclose accurate numbers, it is likely that the actual number of settlers killed in the Al-Aqsa Flood battle so far is much higher.
 
Hebrew media: There is chaos in the Gaza Cover. Injuries and accidental killings are increasing, as the settlers refuse to stop for their army, thinking that they are Hamas members disguised in Israeli army uniforms, and the army responds with fire when the settlers refuse orders to stop because they believe that the settlers are Palestinians.
 
France 24 expert:

📍 Israel had painted an image of itself for the Arab countries that it is a military and intelligence power and wants to support them against Iran, but with what happened today, this image collapsed.
 
Israeli media: The border with Lebanon is not like the border in the south, its situation is worse, Hezbollah is more trained and developed, and “Israel” does not want a battle with it in the north.
 
Mungu wa Yakobo akalifanye agano lake kuwa imara zaidi na zaidi! Mwanaharamu hatorithi na mwana wa ahadi! Ibarikiwe nyumba ya Yakobo! Amen.
 
Israeli media: Fighting between IDF and Palestinian Militants is still ongoing in several towns, including Mevkeim, Sderot, Raim, Nir Am, Kfar Azza, Kissuvim, and Nahal Oz.
 
Back
Top Bottom