Sasa why mnaona WA palestina hawastaili ardhi Yao?Hakuna maombi kama hayo ya kutaka mwingine auwe mwingine,
Sikuzote isarel inaombewa amani sawasawa na neno lilivyosema!
Wamewanyang'anyq wapi mkuu?Hao wapalestina hawaogopi kifo wameshateseka sana mpaka wamesema liwalo na liwe. Wameonewa sana wamenyanganywa ardhi na wanauwawa kila siku. Sometimes bora kufa shujaa kuliko kufa kifala.
lakini hao waisrael wenyewe wanaogopa kufa na wanapenda maisha kwa sababu wao wana maisha mazuri wamewanyanganya wenzao ardhi zenye rutuba na wamejenga mahekalu. Wapalestina hawana cha kupoteza ila waisrael wao hawapendi kufa sbb wana mali na makazi mazuri.
Ila sasa hapo ni ama warudishe ardhi waliyonyanyanga au waishi bila amani.
Ni kujibebea laana kabisa....Kuna watu wanajizima data kwa ukatili ambao miaka mingi Wapalentina wamekuwa wakishuhudia dhidi ya Israel ..View attachment 2776031
Mwaka huu Israel walifanya operation kali Jenin na kufanya uharibifu mkubwa.View attachment 2776036
Hili mwaka jana walipofanya uchokozi.View attachment 2776041
Hatuwezi ongea lugha moja sbbSasa why mnaona WA palestina hawastaili ardhi Yao?
Tuanzie hapa maana hata yoote yanatokana na hicho chanzo..
Baada ya furaha sasa ushabadilisha uelekeo tenaAkitakq Israel ashinde atafute sababu aishambulie iran na kuipotezea nguvu ya kusupport maadui zake.
Hapa anahangaika tu. Dunia nzima tumeona ameabika na hakuwa makini kulinda raia wake kwa haraka wakati wa kushambuliwa.
Anataka kuua raia wengi ili kurudisha matumaini kwa raia wake.
Usizunguke mkuuu..Hatuwezi ongea lugha moja sbb
Kila mmoja anatetea kutoka Kona tofauti!
Kuna hii ya Imani
Na Kuna wengine hawaangalii hii....shida Iko hapa kwenye tofauti!
Mi nikisoma kitabu Cha Hesabu 33 pale , Palestine sio pake hapo!
Haya ukija kwenye siasa huku nako Kuna sbb zao, Bado hujaenda Imani ya Muslim.
Ndo maana Hawa watu Mungu pekee ndo atamaliza hii, na hii haitakaa iishe mpk Yesu anarudi,itakua unapumzika tu ...
Another video, this says alot about these guys.
A land conflict but they kill in the name of God, Is this land conflict or a religious conflict.
How Ironic!!!
View: https://twitter.com/MrSinha_/status/1711073014878712093?t=UVVvLbjDld0cM1rEH4YXCg&s=19
Yet again they call themselves victims.These people are animals and nothing else, kuna ushujaa gani unapo chinja mtoto aliyefungwa mikono na miguu.
View: https://twitter.com/MrSinha_/status/1710953352496836721?t=6YffdD1C9_fhyyNznAi11w&s=19
Nadhani hujanielewaUsizunguke mkuuu..
Unafurahia uzulumati WA wazi wazi na matendo ya Israel kuua wengine ni haki Yao....
Umeona Ile video wakipiga watu msikitini hao jamaa kipindi Cha mwezi ramadhani...?
Ukiacha ukaribu uliyopo baina ya US na Israel ni kwamba: Miongoni mwa duru nyengine zinasema Israel nayo ni miongoni mwa mataifa yaliyokuwa yanaisadia Ukraine silaha kisiri.Mkuu kwa nini israel ipewe msaada wa kijeshi wakati haijatumia chochote bado na inapigana na vikundi vya kiraia tu. Nimesikia Biden anataka kumpa msaada wa kutosha. Au kuonyesha support tu.
Asante sana. Yap wao walipeleka silaha indirectly. Waliwauzia watu wa poland na nato wao ndio wanazipeleka Ukraine. Walikwepa bifu na Russia.Ukiacha ukaribu uliyopo baina ya US na Israel ni kwamba: Miongoni mwa duru nyengine zinasema Israel nayo ni miongoni mwa mataifa yaliyokuwa yanaisadia Ukraine silaha kisiri.
Duru zinasema;sababu hiyo imepelekea Israel kwa kiasi fulani kuwa na upungufu wa silaha. Na kilichotokea kwa Hamas kinahitaji nguvu kubwa kukituliza kwa sababu ni war.
Binafsi naendelea kufuatilia. Chochote nitakachokipata zaidi kwenye hili swali lako, nitajaribu kuku tag kwa kadri ya nitakavyoweza.
Ngumi ya muoga inaumiza sana... Maana anakuwa kakusanya nguvu zake Kwa hiyo blow Moja matata....Wayahudi kutoka tandale hawa amini wanacho kiona mpaka sasa maana wateule wao wame pigwa pigo moja takatifu na mujarabu alafu la aibu.
Si wapeleke Ukraine .... Si wanamsupport piaUS military is planning to move US Navy ships and US military aircraft closer to Israel as a "show of support"
Ndiyo hivyo ndugu yangu, kitendo kilichotokea kuanzia jana na kuendelea mpaka leo kimewavua nguo sana Israel. Kuanzia ubora wa idara zao za kijasusi, ubora wa jeshi lao na zana za kivita.Dah!....