WrestlerRSF254
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 1,196
- 2,012
Nguvu uliokwisha tumia hapa bibie, ungeielekeza kwenye kutatua changamoto za nchi yako nafikiri saiz tungeshapata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.Kule drone moja tu, inazamisha mzigo wote wamatrillioni.
Nimeona vifaru vya israel vimejipanga wazi kama wanafunzi wa shule ya msingi parade. Warusi wanavipiga majungu wanasema ingekuwa ni Ukraine hapo sekunde tu, vyote vingekuwa scrapper, vita vya drone inabisi uwe mtaalam wa kuficha silaha zako. Ukiziweka hadharanzi zinageuzwa scraper
Hatujaambiwa kuwa wapalestina pale sio kwao na hatujaambiwa wapalestina walitokea wapi?
Roman Empire walichukua eneo la Wayahudi wakawatawala likawa ni jimbo la Roman EmpireMmiliki halali wa eneo Hilo ni palestina, hata mataifa makubwa duniani Kama US wanalijua Hilo, lakin kwakua wanaoishikilia US ni watu wenye nguvu walionyuma ya pazia ndio, waliowapeleka hawa wayahudi feki wa kizungu eneo hilo napia mwanzo walitaka wawapeleke Uganda cjui ikawaje wakagoma.
Lakini nachojua hii ilikua danganya toto maana lengo maalumu la kupelekwa hawa wayahudi feki wa kizungu hapo Israeli ni kuisadia marekani chini ya ma elites ili kuiharibu mashariki ya kati mpaka kupatikane matokeo chanya wanayotaka wakubwa wa dunia hii.
Wewe ndie mjinga wa mwisho, walio uawa wengi walikuwa kwenye tamasha la muziki watu zaidi 300 walikufa pale on spot, watu wamevamiwa kwao watoto, wazee, wanawake unashangilia si ndio?Mara nyengine katika vita kuna vichekesho sana.Nimewahi kuona bondia kapigwa kaanguka chini kizunguzungu tele halafu anafanya kama anainuka akapigane tena.Muamuzi wa pambano ndiye anayejua huyu mteja wangu akubali tu.
Wanasiasa nao wa mataifa makubwa na madogo wanapopata upinzani au kushambuliwa hujaribu kuwapaka matope wapinzani wao mbele ya macho ya wananchi.
Katika mashambuzi ya juzi Jumamosi yaliyofanywa na Hamas na wenzao wa Palestina kuna watu wanasema mashambulio yale ni ya woga. Eti wanasema mashambulio hayo yamefanyika rena bila wapalestina kuchokozwa.
Sijui woga huo uko wapi kwa kikundi kidogo cha wapiganaji kwanza kubomoa kituo kizima cha mpaka wa Erez halafu kusonga mbele kwa piki piki tu ndani ya nchi inayosifika kwa walinzi wakali.
Woga huo sijui ukoje kwa kikundi kidogo kuteka kambi nzima ya jeshi la Israel na kuua askari halafu kuteka vifaru na magari ya deraya
Woga huo umekaaje kwa wapiganaji wachache kubeba askari na raia kama mateka kurudi nao Gaza
Kama ni shambulia na mtu muoga mbona America anapeleka meli za kivita kadhaa mpakani na Israel ili kuilinda nchi hiyo kutokana na hofu ya wapiganaji hao wachache
Ila huenda ilikuwa ngumu sana kwao kukubali hiloWarabu ni wajinga kumbuka UN 1947s walitaka kugawa nchi hiyo iwe nchi mbili Israel na Palestina, Israel walikaribisha mpango huo ila sasa muarabu akisapotiwa na muarabu wa mbali alikataa.
For now hata huo mpango haupo tena, kifupi no nchi ya Palestina, ebu tuone hatua zinazoenda kuchukuliwa na makomandoo wa pande zote mbili ok
Unaombeaje amani nchi inayoua wengine?nchi inapinga vitabu vyote vya diniHakuna maombi kama hayo ya kutaka mwingine auwe mwingine,
Sikuzote isarel inaombewa amani sawasawa na neno lilivyosema!
Yaani wabongo noma🤣🤣🤣Mbona picha hii umetoa Ukraine vipi mama umechanganyikiwa!!!?
Imeua wengine?Unaombeaje amani nchi inayoua wengine?nchi inapinga vitabu vyote vya dini
Na wala hakuna atakaeweza kuwasaidia kumalizaSasa mkuu umezaliwa ukakuta wanauana utawasaidiaje sasa
Sasa vitabu vyote ni vya kwao. Anayeweza kumbishia ni Mmosri tuUnaombeaje amani nchi inayoua wengine?nchi inapinga vitabu vyote vya dini
Hujui historia bibie, Israel kila siku hipo vitani na Arab countries ok so ukiona hivyo ni maandalizi ya uhakika kujiweka tayari kwa lolote.Nimeshangaa yaani mpaka reserve na wastaafu wameibuliwa na hapo wanapambana na kikundi kidogo cha Hamas
We punguza mahaba na hasira hizo media sio kila kitu wanachosema ni kweli alafu huo ukatil kila cku wapalestina wanafanyiwa mbona hukutoa hizi kauliEt na ww unajihita GT humu, unafikiri kwa mawazo yako haya utafanikiwa japo hata kurejesha inchi moja ya ardhi iliokwisha kuchukuliwa na Israel?
Tunasubiri kuona kati ya Iran na Israel nani ana majeshi waoga, wamevizia raia wameua wamebaka wameteka wazee, watoto, wanawake sasa wamefikia wapi?
Ardhi tayari imerudi? au ndo Gaza inaenda kunyakuliwa na wanaume, mimi na wewe tusubiri tuone huo uoga usemao ok
Yes uko sahihi,wanawake na watt wasaidiwe!Hujui historia bibie, Israel kila siku hipo vitani na Arab countries ok so ukiona hivyo ni maandalizi ya uhakika kujiweka tayari kwa lolote.
Mimi niombe Dunia isimame na wanawake, watoto na wazee wa Gaza Israel wanapanga na wamepanga kitu kibaya Gaza.
Hamas sijui Hisbollah hawana uwezo wowote kuwazuia Israel kuingia Gaza, wao kazi yao ni kutumia tu kama subwoofer ya Mayatollah
Nothing to sayHebu toa suluhu
Si kweli mkuu, yaaqub mwenyewe ambaye ndio israeli alikaribishwa na waarabu wa kanaan hapo palestine na mmoja wa wake zake ni mkanaani, hawa waarabu ndio wenyeji wa mahali hapo tangu kale.Kuamua ile ardhi inayogombaniwa kati ya Israel na Palestina ni ya nani ni suala gumu kulitatua
Mwaka 70 A.D Waisraeli walitawanyika kutoka hapo wakati wa utawala wa Roma pakabaki hapana mmiliki (maandiko yanasema palibaki ukiwa)
Wapalestina wakaingia kwenye ardhi hiyo wakaanza kuishi hapo vizazi na vizazi
Miaka 2000 baadaye yaani 1948 Waisrael wanarudi kutwaa eneo hilo wakisema ardhi ni yao na kuanzisha taifa la Israel.
Ugomvi unatokea kati ya Israel na Palestina kila mmoja akidai ni eneo lake
Ikiwa wewe ungepewa kesi hii uisuluhishe ni nani ungempa umiliki halali wa eneo hilo?
Israel Kuna dini tofauti km ilivyo mataifa mengine.We punguza mahaba na hasira hizo media sio kila kitu wanachosema ni kweli alafu huo ukatil kila cku wapalestina wanafanyiwa mbona hukutoa hizi kauli
Unaitetea israel kisa udini afu mbaya zaid wayahudi sio wakristo
Je wapalestina walitokea wapi kuishi hapo?Kuamua ile ardhi inayogombaniwa kati ya Israel na Palestina ni ya nani ni suala gumu kulitatua
Mwaka 70 A.D Waisraeli walitawanyika kutoka hapo wakati wa utawala wa Roma pakabaki hapana mmiliki (maandiko yanasema palibaki ukiwa)
Wapalestina wakaingia kwenye ardhi hiyo wakaanza kuishi hapo vizazi na vizazi
Miaka 2000 baadaye yaani 1948 Waisrael wanarudi kutwaa eneo hilo wakisema ardhi ni yao na kuanzisha taifa la Israel.
Ugomvi unatokea kati ya Israel na Palestina kila mmoja akidai ni eneo lake
Ikiwa wewe ungepewa kesi hii uisuluhishe ni nani ungempa umiliki halali wa eneo hilo?