WrestlerRSF254
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 1,196
- 2,012
Iran ni wachumba tu mbele ya Israel, kama Israel iliwahi piga nchi zote za arabs wakiwa wameungana sembuse Iran???Iran imesema ikishambuliwa itaelekeza mashambulizi Israel kutokea Iraq Yemen Lebanon na Syria
BREAKING:
Iranian officials say that if their country is attacked, there will be strikes on Israel from Lebanon, Yemen and Iraq, as well as the sending of fighters from Syria.
Bhangi ni kweli haijawahi kumwacha mtu salama,Baada ya magaidi aliyoyafadhili kufurushwa na kuuliwa anapiga mkwara kama kibisa ndani ya shimo Hazbullah wameshatulizwa sasa hivi Hamas inapokea kichapo cha mbwa koko. israel ipo busy kuifuta Hamas kwanza round inayofuata ni yeye
Nimeanza kusoma comment yako vzr nilipofika katikati nikagundua wewe ni bonge la kilaza.Iran ni wachumba tu mbele ya Israel, kama Israel iliwahi piga nchi zote za arabs wakiwa wameungana sembuse Iran???
Tunahitaji suluhu ili ndugu zangu wa Palestina waishi kwa amani na Waisrael pale, ila blaa blaah za Iran tumezoea!
Kwanini asubiri ashambuliwe, why asishambulie yeye ili tumuone?? hawa washia ni wajinga sana wao ndio wamesababisha Gaza hali mbaya leo but huwezi waona
Israeli is over rated, especially with fanatics.Dunia nzima imeshuhudia Israel ikichokozwa na Wapalee. Hakuna hata mmoja alielaani hiki kitendo. Sasa tusijelaumiana baadae kwa kile kitakachowakuta wapalee
Hivi unaumia ukiwa wapi binti? Israel ni taifa linalopenda amani, ila washia hawataki amani, unashangilia kuuwa raia?Haya niwaulizeni mliokua mnashabikia kuwa eti kuwa Gaza itageuzwa majivu na wapalestina wanaenda kufutwa mko wapi?Yashapita masaa 48 sasa
Ni kipi Israel wameweza kufanya cha maana?
Taifa teule la Mchongo haya uko wapi usuperpower?
Tuliwaambia Israel sio chochote wala lolote mkabisha
Waisrael karibia 1000 washauawa sasahivi wanatapatapa kupiga majengo na open space tu??
Hawa ndo wale mnasema wangekua na ubavu wa kuishambulia Iran au kupigana na Hezbollah?
Taifa linalopewa misaada ya hali na mali linachakazwa na vitoto ya Hamas ambao hata 3000 hawafiki
Ndo maana Snowden alisema Israel sio lolote bali linakuzwa kwa propaganda tu
Mambo mengine ni fedheha tu na vichekesho imagine kamanda wa jeshi komandoo nzima anadakwa kizembe hivi na Hamas[emoji1313][emoji1313]
Mko wapi mliokua mnasema Hamas na Palestine inaenda kufutwa??View attachment 2776673
Jambo la hawa watoto wa israeli limeelezwa kwenye Qur'an na vitabu vya historia vya kiislamu vimeandikwa kuelezea rise and fall ya utawala wao.Hizi story unazitoa wapi?
Sasa mkuu unaongelea historia ya miaka zaidi ya 4000 iliyopita kutumia reference ya kitabu kilichoandikwa miaka 1000 na kidogo tu iliyopita...Ina make sense kweli???Jambo la hawa watoto wa israeli limeelezwa kwenye Qur'an na vitabu vya historia vya kiislamu vimeandikwa kuelezea rise and fall ya utawala wao.
Hata Iraq ilikuwa na mikwara dhidi ya Iran, Kuwait, Saudi Arabia na Marekani. Leo hii Iraq ni uchochoro wa Iran kupeleka wanamgambo.Unafikiri Iran hana hizo silaha za maangamizi?Unafikiri wangekua na jeuri ya kuwavimbia Wamarekani na Waisrael feki?
huu mkwara tumeusikia sana hata kwa Putin, muulize mbona hajaisafisha Ukraine hadi leo ?If the US and Israel stumble into a conflict with Iran, it will be unlike anything either has faced since the 1970s. Iran has sophisticated missiles that could cripple US CENTCOM assets in the wider region and strategically bombard Israel.View attachment 2776742
Najiuliza hivi nyie wanawake wa humu jamii forum mmefuata nini hapa? coz mnachokifanya ni umbea tu na ushabiki maandazi hapa sio fb jamnMungu huyo hayupo.
Angekuwepo, Na ingekuwa kweli Israel ni Taifa lake teule, Ange zuia Roketi za makombora ya wapalestina zisiwafikie waisraeli.
Lakini Nothing happened.
Waisraeli hao wanakufa kama kumbikumbi.
Kama vile mnavyolaumu Russia kushambulia makazi ya watu ee 😂😂Watafyatua maroketi kisha wajifiche kwenye shule, zikishambuliwa watatoka walalamike Israel inashambulia shule
Kitaeleweka tuHaya niwaulizeni mliokua mnashabikia kuwa eti kuwa Gaza itageuzwa majivu na wapalestina wanaenda kufutwa mko wapi?Yashapita masaa 48 sasa
Ni kipi Israel wameweza kufanya cha maana?
Taifa teule la Mchongo haya uko wapi usuperpower?
Tuliwaambia Israel sio chochote wala lolote mkabisha
Waisrael karibia 1000 washauawa sasahivi wanatapatapa kupiga majengo na open space tu??
Hawa ndo wale mnasema wangekua na ubavu wa kuishambulia Iran au kupigana na Hezbollah?
Taifa linalopewa misaada ya hali na mali linachakazwa na vitoto ya Hamas ambao hata 3000 hawafiki
Ndo maana Snowden alisema Israel sio lolote bali linakuzwa kwa propaganda tu
Mambo mengine ni fedheha tu na vichekesho imagine kamanda wa jeshi komandoo nzima anadakwa kizembe hivi na Hamas[emoji1313][emoji1313]
Mko wapi mliokua mnasema Hamas na Palestine inaenda kufutwa??View attachment 2776673
Imani zingine huondoa akili.Kila siku raia wa Palestina wanapigwa watoto, wanawake mpo kimya acha walipize kisasi potelea mbali.