LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Seems haujui watu wa race Ile mentality yao
Usianzishe ugomvi wa Kifo ikiwa unatia huruma ukipelekewa Moto endelea kucheka km ulivyoanza kucheka usilie forget about religion we're talking about life & death right here
 
IAF have reportedly struck 3 Hezbollah observation posts.
 
🇺🇸🇮🇱🇵🇸Israel does not seek to expand the geography of the conflict, Blinken said

Israel is entirely focused on the Gaza Strip and does not seek to expand the geography of the conflict, including Iran, said Secretary of State Anthony Blinken.

"Israel is focused entirely on Gaza, on securing its citizens, some of whom remain under direct threat right now on Israeli territory proper, and, as I said, on doing everything necessary to bring to justice (the perpetrators - ed.) and prevent a repeat. Israel is focused on this," Blinkin said in an interview with CBS, answering a question about whether Israeli strikes are possible against "sponsors of Hamas, such as Iran."

At the same time, Blinken said that the United States did not ask Israel not to attack Iran. "The only thing we have told Israel is that we are here, we support you, we want to provide you with all the necessary support," he said.

🔴@DDgeopolitics
 
Manowari ya kivita ya America inaelekea kwenye eneo hilo.
 
Kama huelewi wapo wa isiraeli ambao sio wayahudi
Kwa ufafanusi wayahudi ni ukoo wa yuda mwana wa isiraeli Kati ya watoto kumi na mbili wa yakobo ambaye ndiye isiraeli hivyo watoto wengine kumi na moja pia ni Wana wa isiraeli
Poa Kwa nyongeza kuna tofauti Kati ya waebrania na wa Ibrahim
Kumbe Ibrahim alikua muebrania akazaa watoto wakawa Wana wa Ibrahim
ishimael mtoto wa hagiri mmisli
isaka mtoto wa sala muebrania
Pia Akawazaa watoto Kwa ketura suria wake Ibrahim zimrani na yokshani na medani na midiani na ishabaki na shua
Wana wote wa Ibrahim walikua wanane
hai

Hayo walikua Wana wa Ibrahim I na pia walikua waebrania Kwa kua Baba Yao ni muebrania
Vivyo hivyo Kwa Wana wa Israel walikua kumi na wawili mtoto wa mke mkubwa wa yakobo Leya alizaa mtoto wake wa nne aliye muita yuda ambaye huyo kwake aliandaliwa kuzaa wafalme watakao watawala Wana wote wa isiraeli
Kwa huyo yuda walitoka kabila la wayahudi ambao Leo wote wanaitwa wayahudi Kwa kua myahudi ndiyo alikua mtawala wao
Kwa hiyo wote Kwa ujumla wao ni waebrania Wana wa Ibrahim
Kati Yao kuna wa Ismael(nebayoth/kedari/abdeel/mbisam NK)
Kuna wa isihaka(waedom na waisrael)
Kuna wa zimrani Kwa ketura na ndugu zake
Hivyo ipo tofauti ya waisrael wayahudi na Jamaal zao Kwa kuwaunganisha wote waite waebrania hapo hayupo atakaye kataa
 
Wenzio sasahvi wanakaangwa kama kuku wa kuchoma we unapiga kelele huku.
Kijana pole sa warabu hawafich maiti zao wanaona sifa kuwa wamekufa kishujaa, sio waisrael wanablocked kila kitu hawatoi aibu zao ndio sababu safari hi Hamasi wameingia na na camera ili Warecord ingekuwa hawajarecord Israel wangesema wamekufa watu wawili tu 😂 kama kawaida yao.

Taifa teule wacha wasubiri Ujeruman pia awapeleke silaha kama uingereza, Faransa, Canada, Australia,Japan na labda tutasikia na India pia 😂

Hi safari wanajidai wa kweli lakini bado hawasemi ukweli wote, wanaficha kusema wa Israel wangapi wamekufa hata kuna badhi ya wandishi wamagazeti ya Israel wanasema Israel anaficha numbers za ukweli,wanachosema cha ukweli labda ni 15% yawalio kufa na kujehuriwa.

Tazama kipigo cha leo hi wanaume wanaingia camp za jeshi so hao mafala wanapiga majumba na vitoto vikicheza mpira haha


View: https://youtu.be/M6ZHLEUnLEY?si=eROQdk2VhsiXfbY5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…