LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Residents of Palestine took to the streets to celebrate the start of Hamas' operation against Israel.

The shelling of the Gaza Strip and Israel continues, the number of dead and wounded on both sides is growing.

About 1,500 people were injured in the Gaza Strip due to Israeli strikes, TV reported citing the Palestinian Red Crescent.
 
Hamas has occupied an area larger than the Gaza Strip
20231019_123748.jpg
 
Press coverage: A mass escape of #settlers after resistance fighters approached the place where they were holding a party in the #Gaza Strip corridor.
 
Wananchi "Watanzania bado wana uoga, wasiwasi na hawana hakika kama maamuzi yaliyofanywa na serikali ni kwa faida ya nchi yao"
Watanzania wanasema '....hatujardhika na mkataba wa Bandari baina ya Serikali na DPW...'

Si ajabu, kila wakati karibia na chaguzi kule Marekani, tunaanza kuona vurugu ukanda wa mashariki ya kati. Vurugu hizo huwa zinaleta majanga, lakini huwa zinawafanya wahanga hao kuwa na mshikamano, haswa ukizingatia jinsi mataifa husika, yamo kwenye mipasuko ya kisiasa.

Hatahivyo, ni vizuri tuka kumbushana, suala la Bandari limetugawa Watanzania, na kusababisha mipasuko ya kisiasa. Vilevile, tukumbushane kwamba, Wana wa Israeli na Wana wa Palestina huwa wanakuwa na mshikamano, wakati wa majanga katika maeneo yao.

Ugawiaji wa Bandari ni janga kwa Taifa letu.

Tunapaswa kuwa na mshikamano thabiti kukabiliana na adui wetu mmoja. Wale wote wanaotaka kutugawa ili kufikia malengo yao. Ukoloni mamboleo.

Amani itawale ulimwengu.
 
Natumai mliokua mnashabikia ugaidi wa HAMAS kisa mahaba kwa muarabu hamtaanza kulia kwamba mnaonewa, haya majibu yameanza, ukitizama hii video yaani mabomu kwa kwenda mbele, watu wanakimbia na mikanzu huku wakilipuliwa na kuwahishwa kule kwa thawabu....

==========================
IDF says it struck 17 military compounds and four headquarters belonging to Hamas in the Gaza Strip, among other targets.
 
Hawa Hamas leaders and group watafutwa wote watakuwa majivu soon, within 3 to 4 days,
najua hamuelewi, sasa subirini, kuna more than 100 IDF commandos wameingia southern Israel wanaenda kuangamiza Hamas
Kuna makubaliano ya kutomuua Ismail Haniyeh labda wakiamua kutoyazingatia.
Kiuhalisia baadhi ya viongozi wa Hamas ni kama hostages wanafuata kile wengi wanataka ila madhara wanayajua. Mwaka jana Hezbollah ilivyorusha maroketi ikawataka Hamas waungane Haniyeh na wenzake wakagoma hawakuwa wamejipanga.

Ukishamuua Haniyeh hao Hamas wanakosa kiongozi hata control inakosa, vijana wake wataanza kukaa hospitali na sokoni ndio wanafanyia mashambulizi kutoka kule. Ukimuua jipange kuua raia wengi zaidi
 
Kuna makubaliano ya kutomuua Ismail Haniyeh labda wakiamua kutoyazingatia.
Kiuhalisia baadhi ya viongozi wa Hamas ni kama hostages wanafuata kile wengi wanataka ila madhara wanayajua. Mwaka jana Hezbollah ilivyorusha maroketi ikawataka Hamas waungane Haniyeh na wenzake wakagoma hawakuwa wamejipanga.

Ukishamuua Haniyeh hao Hamas wanakosa kiongozi hata control inakosa, vijana wake wataanza kukaa hospitali na sokoni ndio wanafanyia mashambulizi kutoka kule. Ukimuua jipange kuua raia wengi zaidi
Lakini kuna imani inakufanya nyumbu sana
 

Netanyahu: 'We are at war and we will win'​

Israeli Prime Minister Netanyahu has just released a statement, saying that "we are at war and we will win".

In a statement released on his social media channels, he said Hamas would "pay a price the type of which it has never known".

The Israeli Defence Forces (IDF) are fighting Hamas in a number of locations, with an unknown number of casualties.

===========================

Mwishowe Israel itajibu kwa nguvu kubwa na atadhibiti maeneo mengi zaidi ya Wapalestina, hata Gaza huenda ikarudi kwenye udhibiti wa Israel........ardhi kubwa zaid ya Wapalestina itakaliwa na Israel kimabavu.

Raia wa kawaida wa Wapalestina wataishia kuwa wahanga wa huu uhuni uliofanywa na Hamas.

Israel-Gaza latest: Hamas fighters on the ground after '5,000 rockets' fired; 'We are at war', says Netanyahu
We ota tu kama Israel atashinda hii vita au kuchukua aradhi ya wa Palestine
 
Mmmmh Time to play the victim card

BREAKING: Al-Arabiya reports that the Palestinian health ministry says 161 people have been killed in Israeli strikes on Gaza
 
Kuna makubaliano ya kutomuua Ismail Haniyeh labda wakiamua kutoyazingatia.
Kiuhalisia baadhi ya viongozi wa Hamas ni kama hostages wanafuata kile wengi wanataka ila madhara wanayajua. Mwaka jana Hezbollah ilivyorusha maroketi ikawataka Hamas waungane Haniyeh na wenzake wakagoma hawakuwa wamejipanga.

Ukishamuua Haniyeh hao Hamas wanakosa kiongozi hata control inakosa, vijana wake wataanza kukaa hospitali na sokoni ndio wanafanyia mashambulizi kutoka kule. Ukimuua jipange kuua raia wengi zaidi
Aliuliwa Ahmad Yassin yule kiongozi wao kipofu na Hamas ikaendelea atakua huyo Ismael Haniya ndg
 
Wakati Rais wa JMT anaweka Misimamo wa kipekee kabisa duniani katika mapambano dhidi ya Covid-19 Dunia Nzima ilienda na msimamo wa Marekani ambao kimsingi Ndio Waisrael

Watu wakasema Marekani wako sahihi kwa sababu Taasisi Zao za Usalama hazifanyagi makosa

Leo Israel amerudia makosa ya Marekani aliyofanya miaka 20 iliyopita dhidi ya Al Qaida na imelipuliwa na Hamas kitutusa kabisa

Mungu wa mbinguni mrehemu Julius Nyerere kwa kutujengea misingi Imara ya Usalama!
Leo nipo against Israel, acha wachapike vyema. Kwenye social platforms zao tulikua tunawaonya kuwa huu ututusa wanaouendekeza wa kudhani wapo imara sana na kujisahau hadi kuanza kujishughulisha na vimambo vya kero kabisa vitakuja kuwagharimu.
Sasa yamewatokea, ngoja wanyooshwe ili wajue kusimama imara. Haya mambo yalikua na dalili zote lakini wanasiasa wakayapuuza.
Wakajisahau hadi wakawapa nguvu waarabu na kujiunga katika kuunda serikali na hata matamshi na msimamo ukawa na ukakasi.
Yule waziri mkuu alikua anataka kuridhisha majukwaa ya kimataifa na akasukwasukwa na Biden akalainika.
 
Sasa kambi yenye vifaru zaidi ya 30 inavamiwa kizembe IDF walikuwa wapi?

Hii kitu sijaielewa, Ngoja tusubiri.
 
Back
Top Bottom