LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Gazeti la Sunday News la tarehe 07 October mwaka 1973
IMG_20231008_081516.jpeg
 
Ndugu yangu Manjidanganya tuu.

Yale mahekalu waliyokuwa wanajenga King Solomon pale Yerusalem(950 B.C) na masinagogi yaliyojaa pale Israeli, yalijengwa na wapelistina sio??

Palestina ni waislamu, kwann wajenge hekalu yerusalem kama wao ni wenyeji?
Wanajitoa ufahamu
We waache ni suala la muda
 
Saaaaaana sana sana Leo wanangu wameniomba wakale kitimoto ya kuchoma Kwa asali pale Riverside
Waislam wengi na waumini wa sheria za lawi hawajui ukweli wa kwanini nguruwe alikatazwa kuliwa na je kuna madhara gani kula mnyama aisiye cheua au ambaye kwato zake hazija gawika hawana majibu ,

Nanhawatuambii ni nani aliye hakiki wanyama wanao cheua na wasio cheua kwa sababu samaki wanaliwa kwa makundi yao na hawa cheui

ila wanatakiwa kujua kwamba moja ya sababu ya kitimoto kuzuiwa katika uislam ni baada ya ma sheikh kuificha ili wale pekeyao kwa hiyo hawakuipanga mezani baada ya kuona ni nyama iliyo nona sana hivyo wakaingiwa na choyo wakaificha wakiwa kwenye sherehe zao huko.
 
Ss yeye ndo hatakaa Kwa raha,suala la. muda tu
Mungu sio mzungu, wanatamani iwe hivyo ila hawana uwezo huo na wataishi kwa wasi wasi maisha yao yote, palestine wamedhulumiwa na wamezoea kunyanyaswa ila israel anategemea utalii na kutaka kuifanya iwe kama europe kitu ambacho kimefail kutokana na kutokuwa salama so kwa kiendeleacho israel ndio anaepoteza wakati palestine hana cha kupoteza
 
Waislam wengi na waumini wa sheria za lawi hawajui ukweli wa kwanini nguruwe alikatazwa kuliwa na je kuna madhara gani kula mnyama aisiye cheua au ambaye kwato zake hazija gawika hawana majibu ,

ila wanatakiwa kujua kwamba moja ya sababu ya kitimoto kuzuiwa katika uislam ni baada ya ma sheikh kuificha ili wale pekeyao kwa hiyo hawakuipanga mezani baada ya kuona ni nyama iliyo nona sana hivyo wakaingiwa na choyo wakaificha wakiwa kwenye sherehe zao huko.
Kuna andiko la kusapoti ulichoandika au Mahaba binafsi.
 
Mtoto analilia Nini?
Mtoto analilia jeshi
Muache ataona mwenyewe ×2

Akitembelea shoto, kulia mliama atakaoupanda ×2 🎶🎻

Magaidi watajutia ugaidi wao
 
Israel-Palestine Conflict Update as of Morning, October 8, 2023The IDF (Israel Defense Forces) has struggled to fulfill its promises of clearing all territory captured by the enemy by nightfall. While clearances are ongoing, it has become evident that non-professional groups, rather than the ones responsible for yesterday's early morning breach (who later took hostages and retreated), are falling into Israeli captivity. These groups are engaging in acts of violence and looting.Israeli cities are currently dealing with the aftermath of these groups, exposing another facet of the modern Israeli army - the lack of communication between units, resulting in some encountering friendly fire while sweeping neighborhoods. This, combined with an unusual clearance tactic of large group movements through the city without intense engagement, raises questions about the disappearance of the skills traditionally associated with the Israeli military. It's truly puzzling.The third major concern is the rising casualty count among Israelis, which has surpassed 200 people by evening (with around 1,600 wounded). This makes the current conflict the bloodiest for this side since 1982.Among Palestinians, the number of casualties, officially under 300 (though likely higher), continues to rise. However, if the IDF launches a ground operation in the Gaza Strip in the coming days, losses could escalate significantly. Furthermore, there's the potential for a second front to open in the north, given the Israeli military's evident clumsiness - it's unlikely to change in these few days.However, the most crucial development is the change in perception among Israeli citizens. Since yesterday, they no longer feel safe and no longer have unwavering confidence in their army's ability to protect them. This marks a significant shift in the country's reality, which it will have to confront moving forward.Source: yurasumy TG
Netanyahu Warns: "I say to the residents of Gaza: Leave there immediately, because we will operate everywhere, and with full force.”
 
wanaopigana ni kundi la Hamas na jeshi la israel. na waka sio raia wa israel na palestina.
 
Komredi tofautisha msimamo wa kiongozi ambao mara nyingi unakuwa msimamo wa nchi na ule msimamo wa mtu mmoja mmoja, kikundi au jamii ambayo haina nguvu sana.
Sasa msimamo wa Mwalimu Nyerere sio Nchi Today's vip ndugu yangu kama sio wa Nchi mbona hatukuweza kuwa na balozi kwa kipindi chake na Ubalozi wa Israel umekuja juzi tu hapa.
 
Back
Top Bottom