LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
SA lazima wasiwapende Jews sababu kulikua na white Jews wa kutosha SA, pia serikali ile ya weupe ilikua na uhusiano mzuri sana na Israel.
Pia Israel iliwasaidia sana Jews wa South Afrika kufanya establishment kubwakubwa kimaendelea, kiulinzi n.k
Hata serikali ya SA ilipowekewa vikwazo bado mambo mengi yalifanikiwa kupitia Israel, US pia aliendelea kufanya mambo na biashara nyingi na kubwa SA kwa kupitia Israel
Upo sahihi Mkuu hata ukipita zile bara bara zao kubwa kama Alibetina Sesulu utaona Mabango mengi ya kuipinga Israeli..
 
Inashangaza sana lakini kwa video za Jana Wacha palestina walipe gharama we unaua mtu Hana bunduki yupo kwenye gari, utalii unampigia shaba so ugaidi huo
Zile video zinaumiza sana maana niliona mwanzo wanaouawa ni raia tuu sio Wanajeshi pana dada mmoja walimuweka kwenye boot ya gari harafu baadae wakamuua wazi wazi huku wakijirekodi aisee sasa wanaokufa huko Palestine ni watoto na wanawake sio wale Hamas wauaji wao wanarudi kwenye mahandaki...
 
Vifaru vyakutosha vinasogezwa mpakani na Gaza, kuna uwezekano Gaza yote ikawa RIP.
kama wameshindwa kukaa kwa amani watimuliwe tu, wakaishi ukimbizini magaidi hao wanaotumia raia kama kinga yao, gaza itekwe tu, kama mbwa na iwe mbwa, uchokozi hauvumiliki
 
Kumuzuia mtu anawaza kufanya au wanacho panga kufanya ni ngumu sana angalia Pakistan ambayo tunaaminishwa ina ujasusi mzuri lakini inavoteswa na ugaidi naamani hata marekani anaweza pigika vizuri tu kwa shambulio la kushtukiza kama la Israel shida tunapewa hofu tu kuwa marekani wapo vizuri kwenye ujasusi
september 11,2001
 
Hawa hamas wamepiga mshtuko mkubwa sana ni kama Israel hawakujua kinachotokea.
Hapana msituko, kutakuwa na kutokuelewana miongoni viongozi wa serikali ya Israel. Na watu wa intelijensia lazima walikuwa wanajua kila kitu but inawezekana kuna kitu kilitokea labda walinyimwa budget, walikuwa wanadharauliwa etc. Na hivi vitu hutokea kila sehemu kwa sababu watu wa intelijensia siyo watawala
 
Zile video zinaumiza sana maana niliona mwanzo wanaouawa ni raia tuu sio Wanajeshi pana dada mmoja walimuweka kwenye boot ya gari harafu baadae wakamuua wazi wazi huku wakijirekodi aisee sasa wanaokufa huko Palestine ni watoto na wanawake sio wale Hamas wauaji wao wanarudi kwenye mahandaki...
Aisee hii vita ni ngumu kutokuhusisha hata kama hawana hatia lazima wafe Hamas wanatumia sana makazi ya watu kijifucha na kufanyia mashambulizi Israel inatuma tu kombola litembee na jengo nzima
 
Netanyahu aapa kuigeuza Gaza kifusi..🤔
.....
PICHANI:JENGO LA WATAN TOWER,GAZA CITY,LIKIWA LIMEGEUZWA KIFUSI NA MASHAMBULIZI YA NDEGE ZA ISRAEL
WATAN TOWER IN GAZA CITY.jpeg
WATAN TOWER GAZA CITY 1.jpeg
WATAN TOWER GAZA CITY 2.jpeg
WATAN TOWER GAZA CITY 3.jpeg
WATAN TOWER GAZA CITY 4.jpeg
 
Waislamu na wakristo wengine hasa tz ni wehu hao wanavita yao ya ardhi huku nyie mnaanza taifa teule nyie wapumbavu huyo mungu angelibakisha taifa hlo na mengne yote yasiwepo.
Hizi dini zimetufikia wakati elimu bado hata kwa akili ya kawaida MUNGU/ allah atabariki hayo mauaji hiyo ni vita ya ardhi tu
 
Waislamu na wakristo wengine hasa tz ni wehu hao wanavita yao ya ardhi huku nyie mnaanza taifa teule nyie wapumbavu huyo mungu angelibakisha taifa hlo na mengne yote yasiwepo.
Punguani wanasimama na magaidi, wateule tunasimama na TAIFA TEULE. MUNGU WA ISRAELI, YULE YULE ALIYEWAZABA KOFI PALE REDSEA Farasi na mpanda Farasi akawabwaga baharini ndio yupo kazini. Ee Yehova, mbariki Israel na watoto wake. Shalom Israel.
 
Hezhbollah fires rockets against Israel from Lebanon
A full-scale clash with Hezbollah in Lebanon would be 10 times more serious than the coming Israeli ground offensive into Gaza and the battles against Hamas there
 
Kundi la wapiganaji wa HezboLlah wameitikia rasmi wito uliotolewa na viongozi wa kipalestina juu ya kuungana nao kuishambulia Israel.
Mapema leo makombora ya masafa marefu ya Hezbollah kutokea kaskazini yalirushwa kuelekea vituo vya kijeshi vya Israel karibu na mashamba ya Bersheba.
Kwa upande mwengine Israel imekiri kuwa miongoni mwa askari wake waliouliwa ni mwenye cheo cha major na huku meya wa jimbo mmoja akiwa miongoni mwa waisrael hao waliokwishakufa.
Sambamba na hilo mapigano yanaendelea maeneo ya kusini ya Israel yanayopakana na Gaza huku wapalestina zaidi wakimiminika maeneo hayo.
Kwa mara ya mwanzo wapiganaji wa Hamas na wenzo wa Islamic jihad wameonekana wakimiliki na kuendesha magari ya kivita ya Humvee waliyoyateka kutoka jeshi la Israel.
1696749324051.png
 
Dear citizens of Israel, this morning, Hamas forces entered Israeli territory on a holiday and Sabbath morning, killing innocent civilians, including children and the elderly. Hamas has initiated a cruel and ruthless war. We will prevail in this war, but the price is heavy to bear. It's an incredibly tough day for all of us. Hamas wants to kill us all—an enemy that murders children and mothers in their homes, in their beds. An enemy that kidnaps the elderly, children, and young girls. They commit heinous acts against our citizens, our children, who simply went out to enjoy the holiday. What happened today in Israel is unprecedented, and I will ensure it does not happen again.

The entire government stands behind this decision. The IDF will use all its strength to eliminate Hamas capabilities. We will strike them until they relent and pay a heavy price for this black day they brought upon the State of Israel and its citizens. As Bialik said, "The blood avenger of a little child has not yet been created by Satan." We will turn all the places where Hamas operates, the strongholds of this evil city, into rubble. I say to the residents of Gaza: leave now, for we will act in every place and with full force.

At this moment, IDF forces are clearing settlements from terrorists. They go from settlement to settlement, house to house, and restore control to our hands. I send hugs and condolences from the bottom of my heart to the grieving families whose loved ones were brutally murdered today. We all pray for the recovery of the wounded and for everyone holding on like the sons of Arova. I say to Hamas: you are responsible for their well-being. Israel will hold accountable anyone who harms it in any way.

I address the residents of the South—We all stand by your side, we are all proud of your courage, of your fight. To the beloved soldiers of the IDF, to the police, to the security personnel—remember that you continue the lineage of Israel's heroes, of Joshua bin Nun, of Judah the Maccabee, of the heroes of '48 and all of Israel's wars. You are fighting now for the sake of our home, for the future of all of us. We are all with you, we all love you, and we all salute you.

To the medical and rescue teams, and to the many volunteers who stood ready in full force in a long line of locations—Israel salutes you. With your spirit, we will overcome our enemies. I spoke a few hours ago with President Biden and with leaders of world countries to ensure Israel's freedom of action in this ongoing battle. I thank President Biden for his clear and strong words. I thank President Macron, Prime Minister Johnson, and many other leaders for their unwavering support for Israel.

Now I address all citizens of Israel: we stand together in this battle. This war will take time. It will be tough. Challenging days are still ahead of us. But I can promise one thing: with the help of God, with the help of our joint forces, with our belief in the eternity of Israel—we will prevail.
Maweeee
Palestina pale Gaza inaenda kufutika.

Wakimbie tu kwa kweli
 
Back
Top Bottom