LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Kijana pole sa warabu hawafich maiti zao wanaona sifa kuwa wamekufa kishujaa, sio waisrael wanablocked kila kitu hawatoi aibu zao ndio sababu safari hi Hamasi wameingia na na camera ili Warecord ingekuwa hawajarecord Israel wangesema wamekufa watu wawili tu 😂 kama kawaida yao.

Taifa teule wacha wasubiri Ujeruman pia awapeleke silaha kama uingereza, Faransa, Canada, Australia,Japan na labda tutasikia na India pia 😂

Hi safari wanajidai wa kweli lakini bado hawasemi ukweli wote, wanaficha kusema wa Israel wangapi wamekufa hata kuna badhi ya wandishi wamagazeti ya Israel wanasema Israel anaficha numbers za ukweli,wanachosema cha ukweli labda ni 15% yawalio kufa na kujehuriwa.

Tazama kipigo cha leo hi wanaume wanaingia camp za jeshi so hao mafala wanapiga majumba na vitoto vikicheza mpira haha


View: https://youtu.be/M6ZHLEUnLEY?si=eROQdk2VhsiXfbY5

Hao unaowasifu ndio wametuma barua UN council wakilalamika kipigo. We subiri tu si tupo hapa utaona kelele zinatoka upande upi
 
Fighting is reportedly occurring between Israeli forces and Palestinian militants near Mishmar HaNegev and Rahat in southern Israel
20231009_203813.jpg
 
Al Qasam imetoa onyo la mwisho kwa Israel kwamba itachinja mateka mmoja baada ya mwingine kwa kila shambulio litakalofanywa na Israel Bila tahadhari

Uchinjaji huo utarekodiwa na kurushwa kwa Dunia Nzima, wamesema

Source Al jazeera news
NDIO watazidi kuuliwa Sasa, woga wangu ni Kwa Watoto, wazee, Wagonjwa na Walemavu
 
Hezbollar wamejazwa ujinga wakajaa, sasa na wao wameanza kufyekwa.

Haba walijaribu kutaka kuvuka mpaka, wakazimishwa


Huyu ni mmoja wa Makamanda wao. Ameuawa leo.
IMG_20231009_203349_790.jpg

⚡️#BREAKING Hezbollah announced the death of “martyr Mujahid Hossam Muhammad Ibrahim “Hussam Aitaroun” from the southern town of Aitaroun, who passed away as a result of the Zionist aggression against southern Lebanon this afternoon, Monday 10/9/2023.”


⚡️#BREAKING Ambulances ikiondoka Beirut kuelekea kuelekea kusini mwa Lebanon baada ya shambulizi la Israel dhidi ya Hezbollar.
 
Al Qasam imetoa onyo la mwisho kwa Israel kwamba itachinja mateka mmoja baada ya mwingine kwa kila shambulio litakalofanywa na Israel Bila tahadhari

Uchinjaji huo utarekodiwa na kurushwa kwa Dunia Nzima, wamesema

Source Al jazeera news

More wanachinja wanazidi kumpa israel sababu ya kutekeleza genocide
 
Szymon Holownia, head of Poland's 3rd largest party (3rd Way) draws anger with controversial statement at tonight's televised debate ahead of Sunday's election.

He said Netanyahu had weakened Isreal by dividing it through the judicial reform, making the attack by Hamas possible
20231009_204210.jpg
 
Back
Top Bottom